Tetesi: Siri nzito yafichuka kubadili katiba ya CCM habari kamili hii hapa

Tetesi: Siri nzito yafichuka kubadili katiba ya CCM habari kamili hii hapa

Hakika ccm ni chama makini sana.sio wale wanaofanyia mikutano yao chumbani kwa mbowe.
 
Nadhani na Chadema inabidi wafanye ammendment kwenye katiba yao. Binafsi naona kuna walakini Mwenyekiti wa chama kutokuwa na ukomo, hili linaleta ukakasi unapojaribu kuli justify hasa hasa pale mtu anapotaka kukosoa udikteta wa Dr Yohana.
 
Akifanikiwa hapo,atahamia na kwenye kubadili katiba ya nchi iwe ni miaka 7 kukaa madarakani badala ya miaka 5 na hiyo miaka 7 ikiisha mjiandae kwa mengine makubwa zaidi.

Na hapa atakuja na kisingizio cha kubana matumizi hivyo atasema ni bora iwe miaka 10 kupunguza gharama.
 
Hivi CCM wakiharibu si ndio ushindi wenu? Kelele za nini wakifanya mabadiriko ya kujiharibia? Agizeni popcorns muendelee kusubiri ushindi wenu 2020.
Mbona na nyie mnamuandama mwenyekiti wao kuwa aondoke na ni Mr.zero?
Huoni wao kuongozwa na Mr.zero ni mtaji kwenu?

Mbowe ndio kiboko ya nyie fisi
 
Cha ajabu Wao wanataka kuonyesha watanzania kuwa ndio mfano wakuigwa!!
Mkapa kamuacha Mbowe, Jk kamuacha Mbowe,
na hata Magu atamuacha Mbowr!!
Kifungu cha ukomo wa Mwenyekiti kilifutwa
Chumbani
wamekaa kama mke na mme
wana amua maamuzi ya Chama kizima!!

MKIONGOZWA NA ZERO
NANYI LAZIMA MUWE MA ZERO
Hilo linatakiwa kufanyiwa marekebisho , sio siri. Linaharibu taswira ya chama.
 
Ya ccm wewe yanakuhusu nini!!
Mbona Chagadema walibadili katiba wakatoa ukomo wa Mbowe!!
Katiba ya zamani ilitoa haki ya mwanachama kwenda mahakamani
kwanini Mr. ZeRO aliondoa !!
Hivi wewe huwa ni tarumbeta la Act au la lumumba?
 
Kipi unachokijua wewe unayethink big
Najua kusimamia ukweli halisi na sio unafiki na kujipendekeza kwa wenye vyeo, lakin pia natumia akili yangu zaid kuliko kusubiri kuunga mkono atakacho kisema fulani,
 
Mkuu Motojuu unamaanisha kuwa wakiongozwa na BASHITE na wao lazima wawe BASHITE sio!!!....NILIJUA TU.
 
Sawa ni mabadiliko mazuri ila yaanzie kwa mgombea ajaye na kama wakifanya hivyo itawagharimu sana
 
Wakimaliza ya kwao watahamia ya kwetu wote.
Huu ni wakati wa kuondoa kuoneana soni,kuna watu tukiendelea kuwaonea haya wanaipeleka nchi pabaya.
 
Ya ccm wewe yanakuhusu nini!!
Mbona Chagadema walibadili katiba wakatoa ukomo wa Mbowe!!
Katiba ya zamani ilitoa haki ya mwanachama kwenda mahakamani
kwanini Mr. ZeRO aliondoa !!
Haya ni mawazo ya kizamani sana kuhusisha chadema na ukabila, kwa analysis naona chadema sasa ipo beyond ukabila. Ni chama cha utaifa zaidi na uzalendo. Ni vyema tukaepuka upofu wakati tukiona kitu kizuri kwa taifa kinacholeta matumaini kinakua. Ona vijana kama kina wema wanavyopata matumaini.
 
Wakimaliza ya kwao watahamia ya kwetu wote.
Huu ni wakati wa kuondoa kuoneana soni,kuna watu tukiendelea kuwaonea haya wanaipeleka nchi pabaya.
Ya ccm yanakuuma vipi!!
MR. ZERO
alibadili katiba kufuta ukomo wa yeye kuwa Mwenyekiti mbona haijakuuma!!
 
Kwanini Mnaukubali Ujinga Wa Mbowe kubadili katiba kufuta ukomo wa yeye kugombea!!
Mimi si mfuasi wa mbowe wala kundi lake usikalili kiwa kila msema ukweli ni mfuasi wa mbowe , ukizoea kukaa katika giza huwezi kuyaona ya nuruni , ni wajinga pekee wanao amin kila anaye pinga ujinga ni mpinzani hadi huwa najiuliza kuwa mwanachama lazima uungane na ujinga??
 
Mkimaliza Kufanya mabadiriko katiba ya CCM, tunasubiri Marekebisho ya katiba ya Jamhuri!
 
Haya ni mawazo ya kizamani sana kuhusisha chadema na ukabila, kwa analysis naona chadema sasa ipo beyond ukabila. Ni chama cha utaifa zaidi na uzalendo. Ni vyema tukaepuka upofu wakati tukiona kitu kizuri kwa taifa kinacholeta matumaini kinakua. Ona vijana kama kina wema wanavyopata matumaini.

Ficha ujinga wako
Chama chautaifa kipi!!
Mtu mmoja anakuwa MUNGU MTU
unasema chama chakitaifa!!
Nikuulize kwanini Mbowe alifuta ukomo wa Mwenyekiti?
 
Back
Top Bottom