Tetesi: Siri nzito yafichuka kubadili katiba ya CCM habari kamili hii hapa

Tetesi: Siri nzito yafichuka kubadili katiba ya CCM habari kamili hii hapa

Hakuna sehemu yoyote duniani uenyekiti wa chama labda nimekosea nisahihishe,Uraisi ni serkali ndiyo katiba ni kitaifa.Chama ni kikundi cha watu wanaanzisha wengine wanafuata.
 
Ya ccm yanakuuma vipi!!
MR. ZERO
alibadili katiba kufuta ukomo wa yeye kuwa Mwenyekiti mbona haijakuuma!!
CCM ni chama tawala na ndicho kinacho iongoza serikali kwa sera za chama ,hivyo ni mjinga na mpumbavu pekee atake shangaa watu wanao fuatilia taarifa na mwenendo wa CCM huku akiamini kuwa wanao paswa kufuatilia ni wana ccm pekee.
 
Mimi si mfuasi wa mbowe wala kundi lake usikalili kiwa kila msema ukweli ni mfuasi wa mbowe , ukizoea kukaa katika giza huwezi kuyaona ya nuruni , ni wajinga pekee wanao amin kila anaye pinga ujinga ni mpinzani hadi huwa najiuliza kuwa mwanachama lazima uungane na ujinga??

Huo ujinga unaopinga upo ccm pekee!!
Ujinga wa Mbowe kubadili Katiba kufuta Ukomo wa yeye kugombea hujauona!!
Ujinga wa cdm kutetea wauza madawa hujauona,
Wewe mamluki huna lolote
 
Ni sahihi kabisa lakini nae ana tuhuma kama ya RC wetu kipenzi ambae alibashitika O level na sasa ana bachelor kwa cheti kingine? NILIJUA TU...
 
Nsikiaga tu kuna mabadiliko ya Katiba ndani ya Chama Chetu ila kiukweli mwanachama wa chini kabisa hajawahi kushirikishwa..acha mimi ninayeona kwenye mitandao tu na pia kwa vyombo vya habari. Lakini tunaunga mkono hivyo hivyo hatuna namna.
 
Ya ccm wewe yanakuhusu nini!!
Mbona Chagadema walibadili katiba wakatoa ukomo wa Mbowe!!
Katiba ya zamani ilitoa haki ya mwanachama kwenda mahakamani
kwanini Mr. ZeRO aliondoa !!
Tumia akili hata za kuvukia barabara we pimbi kila kitu unakubali tu
 
Ya ccm yanakuuma vipi!!
MR. ZERO
alibadili katiba kufuta ukomo wa yeye kuwa Mwenyekiti mbona haijakuuma!!
Wa Chimwaga wanagusa hadi familia yangu,maana Mwenyekiti wao ndio yupo pale ofisi namba moja Magogoni.Akiuma maumivu tunayasikia sote.
 
CCM ni chama tawala na ndicho kinacho iongoza serikali kwa sera za chama ,hivyo ni mjinga na mpumbavu pekee atake shangaa watu wanao fuatilia taarifa na mwenendo wa CCM huku akiamini kuwa wanao paswa kufuatilia ni wana ccm pekee.

Wacha kuruka kiunzi
Siyo ujinga Kufuatilia
kwanini Mbowe Kafuta kipengele cha Ukomo wa mwenyekiti!!?
Kwanini alifuta mtu kwenda Mahakamani!!?
kama chama cha mfano
kinacho ikosoa Ccm
kwanini Maamuzi yake hufanyika Chumbani watu 3 pekee!!!
Siyo Upumbavu kumpata Mgombea Urais 2020
Mwaka 2015!!?
mkutano upi
wajumbe wapi walio mpitisha mgombea huyo 2020!!?

ANZA KUFICHA UPUMBAVU WAKO
KABLA HUJAFICHUA UPUMBAVU WA MWENZIE
 
ukisoma kichwa cha habari unaweza jua ni habari nzito ukifungua ndani umbeya tupu. mwanahabarihuru jipange tafuta habari iliyoshiba sio habari za udaku
kwa hiyo ww habari nzito ni yenye maaneno meeengi....uzito wa habari ni kilichomo na uwingi wa maandishi...halafu ni umbea na si umbeya
 
Miongoni mwa Mabadiliko ya katiba ya ccm nipamoja na Mchakato wa kumpata mgombea Urais Kufanyika kila baada ya miaka 10,
5205ab2a187bf00a37e4ee2249633210.jpg
kabla ya hilo Magufuli achunguze cha cha pesa zilizojenga hili jengo na ni mwska gani jengo lilijengwa
 
hahahahah, wewe unashadadia nini? Yaani kuna watu mwaka huu lazima muende sero na Mr. Dj, a.k.a Mr Zero.
Haipendezi mtoto wa kike kuwa na roho mbaya kiasi hiki. Badilika ushauri wa bure nakupa
 
5205ab2a187bf00a37e4ee2249633210.jpg
kabla ya hilo Magufuli achunguze cha cha pesa zilizojenga hili jengo na ni mwska gani jengo lilijengwa
(Magufuli achunguze cha cha pesa zilizojenga hili jengo na ni mwska gani )

Hahaha Lugha yawapi hii!!
 
Anajadili mambo ya ccm ni ccm wenyewe hakuna ukawa anayejadili issue za waendesha nchi kwa visasi....kwanza tunajua kura za wananchi na maamuzi yao huwa yanageuzwa....iwe udiwani,ubunge na hata uraisi kwa kupitia wakurugenzi na tume ccm ila ni swala la muda tu kwani hata Idd Amin,Sadam,Gaddafi ,Mubarak,Yahya Jamme na wengineo walijihakikishia utawala wa kudumu lkn leo hii hakuna anayeamini yaliyowatokea kila jambo na wakati wake.....nani alijua mtu mweusi angeweza kuitawala Marekani lkn si ilitokea kwa Obama?so is a just matter of time.
 
Back
Top Bottom