Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miongoni mwa Mabadiliko ya katiba ya ccm nipamoja na Mchakato wa kumpata mgombea Urais Kufanyika kila baada ya miaka 10,
CCM ni chama tawala na ndicho kinacho iongoza serikali kwa sera za chama ,hivyo ni mjinga na mpumbavu pekee atake shangaa watu wanao fuatilia taarifa na mwenendo wa CCM huku akiamini kuwa wanao paswa kufuatilia ni wana ccm pekee.Ya ccm yanakuuma vipi!!
MR. ZERO
alibadili katiba kufuta ukomo wa yeye kuwa Mwenyekiti mbona haijakuuma!!
Mimi si mfuasi wa mbowe wala kundi lake usikalili kiwa kila msema ukweli ni mfuasi wa mbowe , ukizoea kukaa katika giza huwezi kuyaona ya nuruni , ni wajinga pekee wanao amin kila anaye pinga ujinga ni mpinzani hadi huwa najiuliza kuwa mwanachama lazima uungane na ujinga??
Forgery maarufu duniani ni ya Rc wa Mzizima.Huyo Bashite ndio nani!!
Zero Maarufu Duniani ni MBOWE PEKEE
Tumia akili hata za kuvukia barabara we pimbi kila kitu unakubali tuYa ccm wewe yanakuhusu nini!!
Mbona Chagadema walibadili katiba wakatoa ukomo wa Mbowe!!
Katiba ya zamani ilitoa haki ya mwanachama kwenda mahakamani
kwanini Mr. ZeRO aliondoa !!
Wa Chimwaga wanagusa hadi familia yangu,maana Mwenyekiti wao ndio yupo pale ofisi namba moja Magogoni.Akiuma maumivu tunayasikia sote.Ya ccm yanakuuma vipi!!
MR. ZERO
alibadili katiba kufuta ukomo wa yeye kuwa Mwenyekiti mbona haijakuuma!!
CCM ni chama tawala na ndicho kinacho iongoza serikali kwa sera za chama ,hivyo ni mjinga na mpumbavu pekee atake shangaa watu wanao fuatilia taarifa na mwenendo wa CCM huku akiamini kuwa wanao paswa kufuatilia ni wana ccm pekee.
kwa hiyo ww habari nzito ni yenye maaneno meeengi....uzito wa habari ni kilichomo na uwingi wa maandishi...halafu ni umbea na si umbeyaukisoma kichwa cha habari unaweza jua ni habari nzito ukifungua ndani umbeya tupu. mwanahabarihuru jipange tafuta habari iliyoshiba sio habari za udaku
Miongoni mwa Mabadiliko ya katiba ya ccm nipamoja na Mchakato wa kumpata mgombea Urais Kufanyika kila baada ya miaka 10,
Wa Chimwaga wanagusa hadi familia yangu,maana Mwenyekiti wao ndio yupo pale ofisi namba moja Magogoni.Akiuma maumivu tunayasikia sote.
Haipendezi mtoto wa kike kuwa na roho mbaya kiasi hiki. Badilika ushauri wa bure nakupahahahahah, wewe unashadadia nini? Yaani kuna watu mwaka huu lazima muende sero na Mr. Dj, a.k.a Mr Zero.
(Magufuli achunguze cha cha pesa zilizojenga hili jengo na ni mwska gani )kabla ya hilo Magufuli achunguze cha cha pesa zilizojenga hili jengo na ni mwska gani jengo lilijengwa![]()