Tetesi: Siri nzito yafichuka kubadili katiba ya CCM habari kamili hii hapa

Tetesi: Siri nzito yafichuka kubadili katiba ya CCM habari kamili hii hapa

Wacha kuruka kiunzi
Siyo ujinga Kufuatilia
kwanini Mbowe Kafuta kipengele cha Ukomo wa mwenyekiti!!?
Kwanini alifuta mtu kwenda Mahakamani!!?
kama chama cha mfano
kinacho ikosoa Ccm
kwanini Maamuzi yake hufanyika Chumbani watu 3 pekee!!!
Siyo Upumbavu kumpata Mgombea Urais 2020
Mwaka 2015!!?
mkutano upi
wajumbe wapi walio mpitisha mgombea huyo 2020!!?

ANZA KUFICHA UPUMBAVU WAKO
KABLA HUJAFICHUA UPUMBAVU WA MWENZIE
Akili yako ndogo mkuu nikwambie wazi bila kificho tena ni ndogo sana na unaonekana u mweupe kabisa kichwani , na ndio maana hujui impact ya kucheza na katiba hizi za vyama viwili hivi na uzito wa kila katibakwa kila chama kwa mustakabali wa taifa la tanganyika .wewe si mjenga hoja bali ni mjinga na shabiki wa ujinga, ukiweka ushabiki wa kijinga pembeni tunaweza kwenda pamoja kinyume na hapo tusipakazane ujinga kaa nao mwenyewe
 
Ficha ujinga wako
Chama chautaifa kipi!!
Mtu mmoja anakuwa MUNGU MTU
unasema chama chakitaifa!!
Nikuulize kwanini Mbowe alifuta ukomo wa Mwenyekiti?
Mkuu kumbe Chadema sio cha kitaifa,sasa mbona unahangaika na Mbowe?Si umuache tu,tuzungumzie wale "wa kitaifa" wanaotugusa sote,yaani CCM.Kwa hiyo usiendelee kutulalamikia kwanini tunahoji mambo ya CCM,sivyo?Ni haki yetu kujadili.Haya mjadala umeufungua mwenyewe huo!
 
Mtoa mada ujue kuwa juha sio lazma uambiwe na mtu, ukijitazama tu na kusoma maandishi yako unajijua kabisa wewe ni bonge moja la kilaza kuwah kutokea East and Central Africa
 
Aiseee huyu dicteta..bado katiba ya taifa aruhusiwa kuongeza mihula mitatu kama nkurunziza hahahahahaaaa
 
Wenzenu wanabadilishia katiba kwenye vikao vya chama, nyie mnabadilishia stationery!!
Kweli maono ni macho, kama una makengeza, hauna maono...
Bora umewaambia maana Mfaleme Mbowe aliedit katiba na sasa amekuwa M.kiti wa maisha
 
Miongoni mwa Mabadiliko ya katiba ya ccm nipamoja na Mchakato wa kumpata mgombea Urais Kufanyika kila baada ya miaka 10,
Sasa tatizo nini ikiwa watakubaliana? Maana utaratibu huo ulikuwepo ingawa siyo kwa katiba yao, yaani mazoea. Sasa kama wameamua kuweka rasmi katika katiba Hakuna tatizo
 
Miongoni mwa Mabadiliko ya katiba ya ccm nipamoja na Mchakato wa kumpata mgombea Urais Kufanyika kila baada ya miaka 10,

Kiongozi wa Chadema anachaguliwa kila baada ya miaka mingapi na anaruhusiwa kugombea vipindi vingapi? Halafu mgombea wa kiti cha urais kupitia CHADEMA anapatikana kwa utararibu upi - kubadili gia angani? Ajabu jina la chama lina neno - DEMOKRASIA!
 
e4369938cd47d2691c16970afd85010d.jpg
 
Kiongozi wa Chadema anachaguliwa kila baada ya miaka mingapi na anaruhusiwa kugombea vipindi vingapi? Halafu mgombea wa kiti cha urais kupitia CHADEMA anapatikana kwa utararibu upi - kubadili gia angani? Ajabu jina la chama lina neno - DEMOKRASIA!
Haya nimwiba ukiwauliza hawa Vibendera
hawana majibu
 
Miongoni mwa Mabadiliko ya katiba ya ccm nipamoja na Mchakato wa kumpata mgombea Urais Kufanyika kila baada ya miaka 10,
Naona umecopy kutoka kwa Mange kimambi na ukaja iweka hapa jf nawe utajiita great thinker ku copy kwa Mange du hii balaa.
Labda nikusaidie kidogo mabadiliko ya katibu ya ccm yalishafanyika tangu mwezi wa kwanza ktk kikao cha Halmashauri Kuu kiichofanyika ikulu na sasa kwenye mkutano Mkuu ni kupitisha tu vifungu viivtobadilishwa
 
Back
Top Bottom