Kkimondoa
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 4,453
- 4,933
Akili yako ndogo mkuu nikwambie wazi bila kificho tena ni ndogo sana na unaonekana u mweupe kabisa kichwani , na ndio maana hujui impact ya kucheza na katiba hizi za vyama viwili hivi na uzito wa kila katibakwa kila chama kwa mustakabali wa taifa la tanganyika .wewe si mjenga hoja bali ni mjinga na shabiki wa ujinga, ukiweka ushabiki wa kijinga pembeni tunaweza kwenda pamoja kinyume na hapo tusipakazane ujinga kaa nao mwenyeweWacha kuruka kiunzi
Siyo ujinga Kufuatilia
kwanini Mbowe Kafuta kipengele cha Ukomo wa mwenyekiti!!?
Kwanini alifuta mtu kwenda Mahakamani!!?
kama chama cha mfano
kinacho ikosoa Ccm
kwanini Maamuzi yake hufanyika Chumbani watu 3 pekee!!!
Siyo Upumbavu kumpata Mgombea Urais 2020
Mwaka 2015!!?
mkutano upi
wajumbe wapi walio mpitisha mgombea huyo 2020!!?
ANZA KUFICHA UPUMBAVU WAKO
KABLA HUJAFICHUA UPUMBAVU WA MWENZIE