Umeandika kwa Mbwembwe kumbe msisimko tu
Ni kipi hujaelewa hapo? Au wewe ndie Mbwembwe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeandika kwa Mbwembwe kumbe msisimko tu
Cdm yanawahusujeMiongoni mwa Mabadiliko ya katiba ya ccm nipamoja na Mchakato wa kumpata mgombea Urais Kufanyika kila baada ya miaka 10,
Akifanikiwa kuwarubuni na akafanikiwa kurudi ( Mungu apishe mbali ) , baada ya miaka 10 atakataa kuondoka ( Kagame style ) .Miongoni mwa Mabadiliko ya katiba ya ccm nipamoja na Mchakato wa kumpata mgombea Urais Kufanyika kila baada ya miaka 10,
Bila shaka utakuwa uamuzi wa busara, kama kifungu hicho kipo kwenye mabadiliko hayo, na wajumbe wa Mkutano Mkuu wataridhia. Maana, kipindi cha Urais huwa ni viwili, vya miaka mitano mitano. Hivyo basi, kama mteuliwa wa kugombea Urais kwa tiketi ya chama, atakuwa ameshinda uchaguzi, ni sahihi apewe na chama nafasi ya kutetea Urais. Siyo Tanzania peke yake vyama vya siasa hufanya vile.Miongoni mwa Mabadiliko ya katiba ya ccm nipamoja na Mchakato wa kumpata mgombea Urais Kufanyika kila baada ya miaka 10,
Kama wenzake walifanikiwa bila kubadili katiba , yeye anaogopa nini ?sasa mbona ni kawaida tuu,hata wakiondoa kuna tatizo gani maana marais karibia wote walioteuliwa walitimiza miaka 10 sasa kwanini uone kwa huyu ni udikteta??
Hapana, sio raha yetu. Ni hatari sana chama kilicho madarakani kikiharibikiwa kwa mtindo unao weza kuleta machafuko.CHADEMA WENZANGU TUWE SERIOUS..HIVI WAKIHARIBIKIWA CCM SI INAKUWA RAHA YETU .
Yuko mzee mmoja alishanidokeza jambo hilo miezi 6 iliyopita .Akimaliza kubadili ya hicho chama kilichooza aje ba ya nchi aondoe ukomo awe kama Mugabe,kagame na Nkurunzinza.
Ye ye si alisema urais ni mgumu na kwamba angejua asingerichukua form? Sasa vipi tena anataka kuongeza muda wakati anajua kuwa kazi hiyo ni ngumu? Au utamu umeishakolea? Hapo hata mimi napinga.Aisee kweli hii ni siri nzito, sizonje anahofia wanaweza kumtoa 2020
Sasa hapo shida iko wapi. Maana hivyo ndivyo ilivyokuwa ikitendeka toka awali. Wewe chadema una matatizo gani. Unakosa usingizi kuwafatilia ccm badala ya kujiuliza kwanini Mwenyekiti atuhumiwe pamoja na akina chid Benz?Miongoni mwa Mabadiliko ya katiba ya ccm nipamoja na Mchakato wa kumpata mgombea Urais Kufanyika kila baada ya miaka 10,
kwi!kwi!kwi!
Sio Toba, anauliza , Siri Nzito hii imetengenezwa na Kampuni gani? White House, ......HahahahaaaaaaaTobaaa
Demokrasia ya mfano ndani ya chama tawala, laahMiongoni mwa Mabadiliko ya katiba ya ccm nipamoja na Mchakato wa kumpata mgombea Urais Kufanyika kila baada ya miaka 10,
Kwani wanaotawala Tanzania ni nani na Chadema wako nchi gani?Maamuzi yeyote ndani ya chama cha mapinduzi ,mazuri au mabaya yanaathiri watanzania wote.Hayo maamuzi yenu mabovu yafanyeni mkishatoka magogoni,enyi CCM!Ya ccm wewe yanakuhusu nini!!
Mbona Chagadema walibadili katiba wakatoa ukomo wa Mbowe!!
Katiba ya zamani ilitoa haki ya mwanachama kwenda mahakamani
kwanini Mr. ZeRO aliondoa !!