Bepari
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 904
- 330
Huelewi kwa sababu umekaririshwa, bora hata ungekariri...Nafikiri elimu yangu ndogo maana sikuelewi. .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huelewi kwa sababu umekaririshwa, bora hata ungekariri...Nafikiri elimu yangu ndogo maana sikuelewi. .
Sasa tatizo nini, si wa CCM, we unakuhusu nini kama ni Chadema, kumbe kadi unayo ya Chadema ila moyo wako uko CCMMiongoni mwa Mabadiliko ya katiba ya ccm nipamoja na Mchakato wa kumpata mgombea Urais Kufanyika kila baada ya miaka 10,
kwakua siri yenu imejulikana mapemaMtoa mada ujue kuwa **** sio lazma uambiwe na mtu, ukijitazama tu na kusoma maandishi yako unajijua kabisa wewe ni bonge moja la kilaza kuwah kutokea East and Central Africa
Shauri yako Kama unaangalia puaHahahahaaaa!! Kumbe kuna watusi wenye pua kama yangu [emoji12] [emoji14] [emoji12] [emoji14]
Pia anataka kabila kubwa wapewe nafasi za upendeleo ie wasukumaMiongoni mwa Mabadiliko ya katiba ya ccm nipamoja na Mchakato wa kumpata mgombea Urais Kufanyika kila baada ya miaka 10,
Bora wabadili katiba yao huko huko. Sisi tutawasubiri ktk sanduku.Miongoni mwa Mabadiliko ya katiba ya ccm nipamoja na Mchakato wa kumpata mgombea Urais Kufanyika kila baada ya miaka 10,
NdioHuwa unatumia internate cafe ku comment .....
Unajua maana ya stationery???????????????Wenzenu wanabadilishia katiba kwenye vikao vya chama, nyie mnabadilishia stationery!!
Kweli maono ni macho, kama una makengeza, hauna maono...
Wao ndio wametufundisha umbea.JAMANI CHADEMA TUJADILI MAMBO YETU KWANI KUSHABIKIA VITU VYA CCM HAVITUSAIDII LABDA KAMA TUNAAMINI CCM NDIYO BORA KULIKO SISI
Eeeh ina maana hakubaliki ndani ya chama?Miongoni mwa Mabadiliko ya katiba ya ccm nipamoja na Mchakato wa kumpata mgombea Urais Kufanyika kila baada ya miaka 10,
Duuh mjomba uko bize hapa hatari!! Hivi ni wikiendi tu au ndo maamuzi ya mama Kairuki yamekuathiri?Unajua maana ya stationery???????????????
kwakuwa chadema walifanya.........................basi ni halali hata kwa ccm!...........ndo maana hatuendeleiYa ccm wewe yanakuhusu nini!!
Mbona Chagadema walibadili katiba wakatoa ukomo wa Mbowe!!
Katiba ya zamani ilitoa haki ya mwanachama kwenda mahakamani
kwanini Mr. ZeRO aliondoa !!
Umeulizwa swali, toa jibu.Duuh mjomba uko bize hapa hatari!! Hivi ni wikiendi tu au ndo maamuzi ya mama Kairuki yamekuathiri?
Duuh!!Umeulizwa swali, toa jibu.
Mbona unakwepa kama Bashite mwenzio?
Ya mama Kairuki utasubiri sana.
Mimi sichumii tumbo.
Wachumia tumbo hulia lia wakiombwa vyeti halali.
Wewe Kwa dodoki lako CCM inawenyeweAisee kumbe sizonje anataka kuwa dikteta mpaka ndani ya chama, mwafaaaa ccm
Mpo wengi si wewe peke yako.Duuh!!
Haya, sielewi maana yake...
Maana ya "stationery" tafadhali...Mpo wengi si wewe peke yako.
Ndiyo madhara ya kuwa ktk chama kilichotawala muda mrefu bila kuleta mabadiliko yenye mashiko katika jamii.