WilliK10
JF-Expert Member
- Jul 22, 2016
- 601
- 283
Neno lako hilo, twambie mwenyewe!Maana ya "stationery" tafadhali...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Neno lako hilo, twambie mwenyewe!Maana ya "stationery" tafadhali...
Wewe mwanamama naona bado hujajifunguaKama makao ya Mbowe!!
Malaya wa Ki siasaYa ccm wewe yanakuhusu nini!!
Mbona Chagadema walibadili katiba wakatoa ukomo wa Mbowe!!
Katiba ya zamani ilitoa haki ya mwanachama kwenda mahakamani
kwanini Mr. ZeRO aliondoa !!
Hahaha hii nzuriBila shaka utakuwa uamuzi wa busara, kama kifungu hicho kipo kwenye mabadiliko hayo, na wajumbe wa Mkutano Mkuu wataridhia. Maana, kipindi cha Urais huwa ni viwili, vya miaka mitano mitano. Hivyo basi, kama mteuliwa wa kugombea Urais kwa tiketi ya chama, atakuwa ameshinda uchaguzi, ni sahihi apewe na chama nafasi ya kutetea Urais. Siyo Tanzania peke yake vyama vya siasa hufanya vile.
Lakini hoja yako wewe Mwanahabari Huru ni ya umbea. Washauri wanachama wenzako kupigania uchaguzi huru na wa haki katika chama chenu ili mwondokane na wingu la tuhuma za kupeana vyeo kikanda na kujuana ndani ya chama chenu. Tunaona na kusikia vilio vyenu vya kunyimwa nafasi za uongozi ndani ya chama.
TOENI BORITI MACHONI KWENU KWANZA
Hahahaaa BAVICHA buana!!!Neno lako hilo, twambie mwenyewe!
Imekuuma JichomoeMalaya wa Ki siasa
Mara ACT mara CCM
Utakuwa ushazalishwa watoto wengi sana wewe
Na mimi lazima nikutafute nitupie Mbegu zanguImekuuma Jichomoe
hahaha
Atatolewa na wapiga kura. Upinzani waanze kujipanga kumtoa nd$&$$li huyu!Aisee kweli hii ni siri nzito, sizonje anahofia wanaweza kumtoa 2020
Unaona sasa!Hahahaaa BAVICHA buana!!!
Kuwa makini ndugu..JAMANI CHADEMA TUJADILI MAMBO YETU KWANI KUSHABIKIA VITU VYA CCM HAVITUSAIDII LABDA KAMA TUNAAMINI CCM NDIYO BORA KULIKO SISI
Wenzenu wanapanga ushindi 2020 mnashangaa tu, ikifika Julai 2020 ndiyo mwenye chama "anawateulia" mgombea kwa falsafa yake ile ile ya gia angani.Unaona sasa!
Wasalimie kada wenzio wa kijani.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tunawatakia mabadiliko mema ya "katiba" yenu.
Tukutane 2020.
Hiyo picha ya Mbowe inamaanisha niniMiongoni mwa Mabadiliko ya katiba ya ccm nipamoja na Mchakato wa kumpata mgombea Urais Kufanyika kila baada ya miaka 10,
Kkkkkkk!! DuhShauri yako Kama unaangalia pua
ulitaka nitapikeUmeandika kwa Mbwembwe kumbe msisimko tu
Cha ajabu Wao wanataka kuonyesha watanzania kuwa ndio mfano wakuigwa!!
Mkapa kamuacha Mbowe, Jk kamuacha Mbowe,
na hata Magu atamuacha Mbowr!!
Kifungu cha ukomo wa Mwenyekiti kilifutwa
Chumbani
wamekaa kama mke na mme
wana amua maamuzi ya Chama kizima!!
MKIONGOZWA NA ZERO
NANYI LAZIMA MUWE MA ZERO
NA HUO NDIO UKWELIJAMANI CHADEMA TUJADILI MAMBO YETU KWANI KUSHABIKIA VITU VYA CCM HAVITUSAIDII LABDA KAMA TUNAAMINI CCM NDIYO BORA KULIKO SISI
hilo liko wazi...ila na yy yupo smati..wacha tuisome namba miaka 10 tutanyooka na kuwa na akili ya kula kwa jasho!Aisee kweli hii ni siri nzito, sizonje anahofia wanaweza kumtoa 2020
Mi nafikiri wacha abadilishe tu anavotaka lkn najua atatuvusha tu..Na akimaliza kurekebisha ya ccm inafatia kuondoa ukomo wa kugombea urais. Km m7, kamee na kurunzi