Siri nzito za Dunia zinamilikiwa na watu wachache sana

nambie vizuri sielewi upande wapili.? wadunia.?
 
brother hata kazi hakupi😂 basi hata matibabu tu yuko ladhi ufe.! alafu mnataka dunia iwe nausawa.? hii dunia kumamamake zake
 
wa TZ wote Leo tupewe million 300. hakuna mtu atapanda daladala.! alafu hakuna mwajiliwa ataenda kazini wataacha kazi. hasa walimu 3.hakuna mtu atapanga nyumba watu watajenga nyumba zao.! 4. baa zitakosa wahudumu.! sema😂 sio tatzo mishahara itapanda watu wataajiliwa tena kwa7bu huwezi kumlipa mtu lakitatu tena.! 😂😂 sisi mafundi machenics ndo tutakua kazini kwelikweli
 
nambie vizuri sielewi upande wapili.? wadunia.?
Unajiitaje Jesus halafu hujui kama kuna ulimwengu wa kiroho, huo ndio chanzo cha ulimwengu wa kimwili na kwamba unapaswa kushinda kule kwanza kabla ya kushinda huku duniani?
 
k
Unajiitaje Jesus halafu hujui kama kuna ulimwengu wa kiroho, huo ndio chanzo cha ulimwengu wa kimwili na kwamba unapaswa kushinda kule kwanza kabla ya kushinda huku duniani?
nasikia tu ila siamini brother story zaungo tu.! siwezi kuamini story tu za watu labda nikiona nitaamini au kuishika lakni sio kusikia
 
mbona hawa wanaopiga pesa bila nguvu ndo wapo wengi unajua wenye hela ni wanasiasa na sio wale wafanya biashara.... lkn wakionekana wao ndo wenye hela hawataaminika kwa jamii yao waliyoiaminishankyuwa nwao ni wawakilishi wa shida zao
 
Mkuu Mimi Nina kuamini na Nina amini kwamba Kuna alidhi bi hind antactica snow wall

Na Kuna geti la kuingia huko na Lina lindwa Sana

Nahuko Kuna ujuzi ambao duniani haupo

Na huko ndiko iliko Siri ya ujuzi wa mtu mweupe

Wa misri wa kale wakifika huko na walikutana na watu viumbe ambao mpaka Leo picha zao Zipo kwenye majengo yao ya kale

Lakini ukitaka uamini kwamba jf bado Sana kuhusu kujishughulisha ki akili Basi waletee habari Kama hizi

Uta shangazwa Sana mkuu

Humu waambie habari ya 1+1=2 lakini usiwaulize kwanini sio 11?

Jf waambie watu kwamba binadamu alitokana na nyani

lakini usiwa ambie wakupe mfano wa nyani aliye wai kuwa nyani Kisha anageuka binadamu tangu enzi za mababu zao hawata kuelewa mkuu

Jf waambie Tanzania ili kuwa muungano mnamo 1964

lakini usiwa ulize kwanini Zanzibar tunaingia kwa passport?

Wata kwita mwehu

Jf waambie dunia Ni duala watakuelewa

Lakini usiwaulize maji yanashindwaje kumwagika?

Ukiwauliza hivyo watakuambia Kuna nguvu ya uvutano Ina zuia

Wakikujibu hivyo waulize Tena nguvu ya uvutano Ina tokana na nini?

Watakujibu sumaku,..

Sasa waulize je sumaku unaweza kuvuta/kunasa maji?

Hapo ndipo hukuludia kwa kuku pigia simu kwamba kumbe mkuu ulikuwa una ongea ukweli

Jf Wana amini hakuna videos za ukweli YouTube

Lakini ukiwauliza Ile video YouTube inayo onyesha kuhusu kuhama kwa wanyama kutoka Serengeti kwenda masai mala Ni yau kweli au uongo?

Wata kuambia wame edit lakini Hilo nitukio ambalo lipo

Kuna haja ya kuubadilisha mfumo wetu wa elimu mkuu tunazalisha vilaza Sana
 
Kwa hiyo unataka niamini kabisa kuwa wazungu wanajiandaa kuhama hii dunia na kutuacha tunaozunguka na bakuli kila kona
Kama ni hivyo basi acha nisubiri wale homeless wa kizungu wanapochukuliwa na mimi nijichanganye
 
Kwanza kabisa, thibitisha Mungu yupo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…