huku kwetu afrika tusiongee habari ya kula kidogo sababu huku hatuli kikamilifu na watu wengi wana utapiamlo. badala yake watu wale sana tena matunda mbogamboga na protini kwa wingi. suala la kufanya mapenzi nakubaliana kabisa linasaidia kiafya lkn uwe umeoa au kuolewa au mpenzi unaemwamina