Siri ya kutokukosa hela tena (Kutokufulia) hii hapa. Soma hutajuta...

Siri ya kutokukosa hela tena (Kutokufulia) hii hapa. Soma hutajuta...

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Watoto hufanya kile wanachokipenda ila mtu mzima kabarikiwa uwezo wa kuujua uhalisia, kubuni mipango na kuifata.

Kuna kitu muhimu ambacho hakikwepeki mimi na wewe tunapotumia pesa, si kingine bali ni "HESABU", yawezekana ni wengi tu tunazijua hesabu lakini hapa ni kuhusu kuzitumia.

Tunajiingiza katika matarizo, mawazo, umaskini, mikopo kwa sababu hatuna wito wa kufanya hesabu kabla ya kufanya miamala.

Si ajabu mtu akawa una uwezo wa kumsomesha mwanao shule za milioni 2 lakini misaada kwa ndugu ikaongezeka na hivyo kulazimika kumeta mtoto wako saint kayumba sababu ulipuuza hesabu.

Si ajabu kijana anaepokea laki 9 ya mshahara kwenda kukopa benki milioni 10 anunue gari ila akalipaki kwasababu mshahara umepungua kwajili ya makato mapya sababu alipuuza hesabu, Haiingii akilini utapata pumziko maridhawa la kuendesha gari bila stress kwa hii mbinu.

Mtu masikini wa mawazo yeye anaponunua kitu anachofikiria kinachompa tiketi ya kununua kitu ni "nina uwezo wa kununua hiki kitu (hata kwa mkopo) huku wakisahau kama wataweza kuvitunza bila stress.

Angalia hali yako jabla ya kufanya maamuzi ya fedha na sio baada ya kufanya muamala, hesabu ni hizi za kawaida tu za shule ya msingi, usiwe nyuma bali uwe mbele ya hizi hesabu.

Una miaka 30 lakini hali yako ni mbaya vile vile tangu uajiriwe ukiwa na miaka 25 na pengine ikawa mbaya zaidi, kila unaporejesha deni baada ya miaka mingi ya mateso ya marejesho unarudia tena kukopa ili ununue gari au ufanye anasa, nakwambia ya kwamba hadi uote mvi utamtafuta mchawi kumbe ni wewe.

Unaponunua vitu ambavyo huvihitaji ama havina umuhimu sana katika maisha yako basi jua kuna siku utashindwa kununua vitu muhimu utavyohitaji. hesabu nuepesi hii.

Anza kujengga tabia ya kuchukia kutumia pesa, jifunze kutengeneza pesa hata kama ni kutunza hazina, wewe kunja noti yako mara mbili irudishe mfukoni uone ndani ya mwaka umeweza kutunza ngapi, kwa maana hii achana na matumizi yasiyo na umuhimu/

Usiishi maisha ya mboga saba kwenye kipato cha tembele

Usiishi maisha ya kufurahisha wengine au kufanya ujulikane unazo, wewe una ex wako mshamalizana ya nini kujaza lita za ziada kwenye gari ili tu ujipitishe anaposhindaga akuone?
 
yaani havieleweki
Asante kwa kuidhinisha kwamba una tatizo la kutoelewa kirahisi, ni tatizo ambalo watu wengi tangu nikiwa shuleni walikuwa nalo, waliitwa majina ya maudhi (vilaza, mbumbumbu, ngumbaru) ila binafsi hadi leo najua ni ubaguzi kwasababu hakuna aliekamilika wote tuna kasoro.

Ntajaribu kutumia lugha nyepesi mno kwa watu wenye mahitaji maalum kama yako, sio kila mtu ana uwezo wa kuelewa vitu kirahisi.
 
Watoto hufanya kile wanachokipenda ila mtu mzima kabarikiwa uwezo wa kuujua uhalisia, kubuni mipango na kuifata.

Kuna kitu muhimu ambacho hakikwepeki mimi na wewe tunapotumia pesa, si kingine bali ni "HESABU", yawezekana ni wengi tu tunazijua hesabu lakini hapa ni kuhusu kuzitumia.

Tunajiingiza katika matarizo, mawazo, umaskini, mikopo kwa sababu hatuna wito wa kufanya hesabu kabla ya kufanya miamala.

Si ajabu mtu akawa una uwezo wa kumsomesha mwanao shule za milioni 2 lakini misaada kwa ndugu ikaongezeka na hivyo kulazimika kumeta mtoto wako saint kayumba sababu ulipuuza hesabu.

Si ajabu kijana anaepokea laki 9 ya mshahara kwenda kukopa benki milioni 10 anunue gari ila akalipaki kwasababu mshahara umepungua kwajili ya makato mapya sababu alipuuza hesabu, Haiingii akilini utapata pumziko maridhawa la kuendesha gari bila stress kwa hii mbinu.

Mtu masikini wa mawazo yeye anaponunua kitu anachofikiria kinachompa tiketi ya kununua kitu ni "nina uwezo wa kununua hiki kitu (hata kwa mkopo) huku wakisahau kama wataweza kuvitunza bila stress.

Angalia hali yako jabla ya kufanya maamuzi ya fedha na sio baada ya kufanya muamala, hesabu ni hizi za kawaida tu za shule ya msingi, usiwe nyuma bali uwe mbele ya hizi hesabu.

Una miaka 30 lakini hali yako ni mbaya vile vile tangu uajiriwe ukiwa na miaka 25 na pengine ikawa mbaya zaidi, kila unaporejesha deni baada ya miaka mingi ya mateso ya marejesho unarudia tena kukopa ili ununue gari au ufanye anasa, nakwambia ya kwamba hadi uote mvi utamtafuta mchawi kumbe ni wewe.

Unaponunua vitu ambavyo huvihitaji ama havina umuhimu sana katika maisha yako basi jua kuna siku utashindwa kununua vitu muhimu utavyohitaji. hesabu nuepesi hii.

Anza kujengga tabia ya kuchukia kutumia pesa, jifunze kutengeneza pesa hata kama ni kutunza hazina, wewe kunja noti yako mara mbili irudishe mfukoni uone ndani ya mwaka umeweza kutunza ngapi, kwa maana hii achana na matumizi yasiyo na umuhimu/

Usiishi maisha ya mboga saba kwenye kipato cha tembele

Usiishi maisha ya kufurahisha wengine au kufanya ujulikane unazo, wewe una ex wako mshamalizana ya nini kujaza lita za ziada kwenye gari ili tu ujipitishe anaposhindaga akuone?
sahh
 
Tunaongeza liability badala ya assets
Me nimeajiriwa mwaka huu mwanzoni watu wananishangaa the way ninavyoishi Wengine wananicheka ninavyojibana
Sina TV wananiona mshamba japo kuwa hizo TV na takataka zake naweza nunua in in one month salary so nawacheki wanavyoshindana kununua mapambo ya ndani mwenzao huyo this month naanza kulipia kiwanja
Inshort vitu vya muhimu ninavyo Ila makorokoro ya kuuzia sura siyataki

Nahisi labda baada ya kunywa madini ya kiyosaki
IMG_20200911_212858_624.jpg
 
Hakuna tajiri bahili ubahili ni hulka ya masikini asiye na kitu siri ya utajiri haipo kwenye ubahili bali ipo kwenye kutengeneza pesa nyingi na kuwa na vyanzo vingi vya mapato acheni kudanganya watu maskini wengi ndo hutumia pesa kwa ubahili na kujinyima sana hakuna tajiri bahili wengi ndo huongoza kwenye kufanya masherehe, kumili magari makali, nyumba nzuri, watoto kusoma shule nzuri, kusaidia etcetc in short wao ndo huongoza kwa expenditures. Kamwe usimshauri masikini ubahili. Ubahili hauleti utajiri, ubahili unaleta kuridhika na uvivu ubahili humfanya mtu asipende kufanya kazi.

Shauri watu kufanya kazi kwa bidii na kuongeza vyanzo vya mapato pesa iwe mingi expenditures ziwepo lakini pesa iwe iwe inaingia zaidi usishauri watu ubahili
 
Tunaongeza liability badala ya assets
Me nimeajiriwa mwaka huu mwanzoni watu wananishangaa the way ninavyoishi Wengine wananicheka ninavyojibana
Sina TV wananiona mshamba japo kuwa hizo TV na takataka zake naweza nunua in in one month salary so nawacheki wanavyoshindana kununua mapambo ya ndani mwenzao huyo this month naanza kulipia kiwanja
Inshort vitu vya muhimu ninavyo Ila makorokoro ya kuuzia sura siyataki

Nahisi labda baada ya kunywa madini ya kiyosakiView attachment 1566775
Kwaiyo unavyolipia kiwanja unaona umepatia kinouma maishaaa...kula bata ishi leo, kesho ukifa utaondoka na hiko kiwanja...napenda sana mtu ambaye anafurahia leo huku anapigania kesho, sasa ww ht tv wala radio hauna kisa kiwanja...raha ya nyumba ukirud kuwe na refreshing kidg, inaonekana ujaoa mzee...hmna mwanamke atakubali umuache hme pakiboya hvyoo..hayupo kabisaaa kama umeoa, jibu hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wewe jamaa unajielewa sana.
Umefuata nyayo zangu hata mimi nilikuwa naishi hvyo.
Watu walikuwa wananicheka sina vitu vya ndani kumbe nilikuwa navunga tu kama ningeamua ningetumia mshahara mmoja tu.
Sasa hivi ninavyokwambia nimejenga my dream house na bonge la flat Screen limening'inia ukutani.
Endelea na hiyo spirit utafika mbali.
Tunaongeza liability badala ya assets
Me nimeajiriwa mwaka huu mwanzoni watu wananishangaa the way ninavyoishi Wengine wananicheka ninavyojibana
Sina TV wananiona mshamba japo kuwa hizo TV na takataka zake naweza nunua in in one month salary so nawacheki wanavyoshindana kununua mapambo ya ndani mwenzao huyo this month naanza kulipia kiwanja
Inshort vitu vya muhimu ninavyo Ila makorokoro ya kuuzia sura siyataki

Nahisi labda baada ya kunywa madini ya kiyosakiView attachment 1566775
 
Mkuu mada yako imenigusa sana.
Watanzania wengi wamekosa hii elimu.
Utakuta kijana amepata kazi ya mshahara laki 7 then ghafla anaanza maisha ya showoff kabla hata hajajiwekea misingi mizuri.
Mwisho wa siku kazi mkataba ukiisha hata saving yoyote anarudi kuwa tegemezi hata kulipia kodi ya chumba hawezi tena anaanza kuuza vitanda alivyokuwa analalia ili apate hela ya kula.
Watoto hufanya kile wanachokipenda ila mtu mzima kabarikiwa uwezo wa kuujua uhalisia, kubuni mipango na kuifata.

Kuna kitu muhimu ambacho hakikwepeki mimi na wewe tunapotumia pesa, si kingine bali ni "HESABU", yawezekana ni wengi tu tunazijua hesabu lakini hapa ni kuhusu kuzitumia.

Tunajiingiza katika matarizo, mawazo, umaskini, mikopo kwa sababu hatuna wito wa kufanya hesabu kabla ya kufanya miamala.

Si ajabu mtu akawa una uwezo wa kumsomesha mwanao shule za milioni 2 lakini misaada kwa ndugu ikaongezeka na hivyo kulazimika kumeta mtoto wako saint kayumba sababu ulipuuza hesabu.

Si ajabu kijana anaepokea laki 9 ya mshahara kwenda kukopa benki milioni 10 anunue gari ila akalipaki kwasababu mshahara umepungua kwajili ya makato mapya sababu alipuuza hesabu, Haiingii akilini utapata pumziko maridhawa la kuendesha gari bila stress kwa hii mbinu.

Mtu masikini wa mawazo yeye anaponunua kitu anachofikiria kinachompa tiketi ya kununua kitu ni "nina uwezo wa kununua hiki kitu (hata kwa mkopo) huku wakisahau kama wataweza kuvitunza bila stress.

Angalia hali yako jabla ya kufanya maamuzi ya fedha na sio baada ya kufanya muamala, hesabu ni hizi za kawaida tu za shule ya msingi, usiwe nyuma bali uwe mbele ya hizi hesabu.

Una miaka 30 lakini hali yako ni mbaya vile vile tangu uajiriwe ukiwa na miaka 25 na pengine ikawa mbaya zaidi, kila unaporejesha deni baada ya miaka mingi ya mateso ya marejesho unarudia tena kukopa ili ununue gari au ufanye anasa, nakwambia ya kwamba hadi uote mvi utamtafuta mchawi kumbe ni wewe.

Unaponunua vitu ambavyo huvihitaji ama havina umuhimu sana katika maisha yako basi jua kuna siku utashindwa kununua vitu muhimu utavyohitaji. hesabu nuepesi hii.

Anza kujengga tabia ya kuchukia kutumia pesa, jifunze kutengeneza pesa hata kama ni kutunza hazina, wewe kunja noti yako mara mbili irudishe mfukoni uone ndani ya mwaka umeweza kutunza ngapi, kwa maana hii achana na matumizi yasiyo na umuhimu/

Usiishi maisha ya mboga saba kwenye kipato cha tembele

Usiishi maisha ya kufurahisha wengine au kufanya ujulikane unazo, wewe una ex wako mshamalizana ya nini kujaza lita za ziada kwenye gari ili tu ujipitishe anaposhindaga akuone?
 
Hakuna tajiri bahili ubahili ni hulka ya masikini asiye na kitu siri ya utajiri haipo kwenye ubahili bali ipo kwenye kutengeneza pesa nyingi na kuwa na vyanzo vingi vya mapato acheni kudanganya watu maskini wengi ndo hutumia pesa kwa ubahili na kujinyima sana hakuna tajiri bahili wengi ndo huongoza kwenye kufanya masherehe, kumili magari makali, nyumba nzuri, watoto kusoma shule nzuri, kusaidia etcetc in short wao ndo huongoza kwa expenditures. Kamwe usimshauri masikini ubahili. Ubahili hauleti utajiri, ubahili unaleta kuridhika na uvivu ubahili humfanya mtu asipende kufanya kazi.
Shauri watu kufanya kazi kwa bidii na kuongeza vyanzo vya mapato pesa iwe mingi expenditures ziwepo lakini pesa iwe iwe inaingia zaidi usishauri watu ubahili
kadri pesa inavyotumika ndivyo akili ya kuitafuta huongezeka.
Hivi vitu inatakiwa viende sambamba.
 
Back
Top Bottom