Usijali... R' simsogelei tena! lol... Hata mimi sasa namuogopa.... hahaha:scared:
Mi nakuangalia tu....
Najua ndo maana naweka ulinzi shirikishi...... incase mtu haipendi dental formula yake, na do the needfulCome on Darling shem.... Kuna haja kweli?? Wajua wewe wajua, na najua na ajua kua hakunaga kama yeye si ndio? lol
wenye majina ya bishanga hawajui kuzamia haoooooo,hapo umempamba mwenzanguNi mahela pamoja na hayo ni mzamiaji mzuri wa kutafuta chumvi. (UVINZA)
AshaDii taa ikiwaka mwanga wake huwezi kufunika kwa karatasi bado itaendelea kutoa mwanga tuu
Palipo na upendo hata uweke uchafu wa aina gani love will always shine
So hata Konnie akimwaga ***** bado mwanga wa upendo utaendelea kuwepo tuu na kuonekana
Najua ndo maana naweka ulinzi shirikishi...... incase mtu haipendi dental formula yake, na do the needful
Hapo hata mimi kwa kweli nimefurahi... ngoja niserebuke kwanza..:violin:THANK God umetaja upendo na shemeji yangu ataelewa kabisa. Mimi upendo juu yako sana tu ila Mapenzi yako kwa Mupenzi.... lol
THANK God umetaja upendo na shemeji yangu ataelewa kabisa. Mimi upendo juu yako sana tu ila Mapenzi yako kwa Mupenzi.... lol
Hapo hata mimi kwa kweli nimefurahi... ngoja niserebuke kwanza..:violin:
Hahahah Nimetegeka aise hapo sina ujanja
Ila no matter what love is there and will remain there for real.
Sasa huyo ndo ODM na mama Matesha wakishangilia mavuno mazuri ya matango na matikiti maji kule Mabwepande.Hao wana mapenzi ya dhati hadi wamevaa viatu sare kwenye sherehe! Wamenigusa.... Wapo old and together...
Uzuri wa lugha yetu ya Kiswahili ni tajiri saana. Kiingereza upendo na Mapenzi yote ni Love. hahaha.... Sijakutega!!
Kuna mtu kanionea kongosho hapa? mwambieni namwita huku nimemmisi eti.....
For ladies
Napita tuu hapa Mkuu Bishanga
Ila sio kimya kimya
Unaibiwa hapo washajua wewe ni mtu wa kumwaga manoti so wanakuja kuzichuma tuu hapo
Nikupe hela kwa lipi?
Mtu mwenyewe hadi ufungwe P.O.P ndo unasimama, ushindwe!
Labda alikuwa Eliza wa Tegeta.