Usijali... R' simsogelei tena! lol... Hata mimi sasa namuogopa.... hahaha:scared:
AshaDii taa ikiwaka mwanga wake huwezi kufunika kwa karatasi bado itaendelea kutoa mwanga tuu
Palipo na upendo hata uweke uchafu wa aina gani love will always shine
So hata Konnie akimwaga ***** bado mwanga wa upendo utaendelea kuwepo tuu na kuonekana