OGOPASANA
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 262
- 144
Heshima kwenu GT,
Nina shauku sana ya kujua siri za mafanikio, njia halali walizotumia, mbinu na ujuzi waliotumia watu waliofanikiwa kibiashara hapa kwetu Tanzania ili wengine tujifunze kupitia kwao na kufuata nyayo zao. Kwa yoyote anayejua zinazohusu watu aina hiyo atujuze, tafadhali.
Nina shauku sana ya kujua siri za mafanikio, njia halali walizotumia, mbinu na ujuzi waliotumia watu waliofanikiwa kibiashara hapa kwetu Tanzania ili wengine tujifunze kupitia kwao na kufuata nyayo zao. Kwa yoyote anayejua zinazohusu watu aina hiyo atujuze, tafadhali.