Siri ya Malkia Elizabeth wa Usikochi (UK), Kanisa Katoliki, Nyerere na Uhuru wa Tanganyika

Siri ya Malkia Elizabeth wa Usikochi (UK), Kanisa Katoliki, Nyerere na Uhuru wa Tanganyika

Kama hujui mambo madogo tu utajuaje makubwa hayo?

Umeulizwa swali umeshindwa kujibu, huyo Malikia "Elizath" ndiyo yupi tena?

Nyerere Mzungu? kwi kwi kwi teh teh teh, au Huyo Malikia"Elizath" wa Scotland alikuwa Mzanaki?
 
Lete ukweli

Tanzania haikuwa koloni la mwingireza ilikuwa koloni la mjerumani.Baada ya mjerumani kushindwa vita ya dunia mwingereza alikabidhiwa aiangalie Tanzania (protectorate) hadi watu wake wakiwa tayari kujitawala awakabidhi nchi.Ndio akina Nyerere na wengine wakaanza kudai uhuru wa kujitawala wakapewa bila kupigana vita sababu mwingereza alikuwa akiwajibika kufanya hivyo hakupewa nchi kama koloni lake maana ule mkataba wa Berlin wa kugawa afrika Tanzania ilikuwa ya mjerumani si mwingereza.

Nyerere na wenzie walidai uhuru wakapewa
 
mbona umeishia njian au kalamu imeisha wino? sijaona SIRI yoyote ya Mwalimu Nyerere na Malkia Elizabeth, wala hujaonesha uhusiano wowote wa kifamilia!
 
nauri ya kwenda umoja wa mataifa miaka ile ilitoka kwenye familia ya RUPIA na sio kwa RC kama mleta mada anataka kutuaminisha,kumbuka jf sio ya watu mbumbu hivyo rudi ujipange upya
 
Tanzania haikuwa koloni la mwingireza ilikuwa koloni la mjerumani.Baada ya mjerumani kushindwa vita ya dunia mwingereza alikabidhiwa aiangalie Tanzania (protectorate) hadi watu wake wakiwa tayari kujitawala awakabidhi nchi.Ndio akina Nyerere na wengine wakaanza kudai uhuru wa kujitawala wakapewa bila kupigana vita sababu mwingereza alikuwa akiwajibika kufanya hivyo hakupewa nchi kama koloni lake maana ule mkataba wa Berlin wa kugawa afrika Tanzania ilikuwa ya mjerumani si mwingereza.

Nyerere na wenzie walidai uhuru wakapewa

Mkuu upo kama AG Masaju, hahaa

Unapinga uchambuzi wenye maana ya hoja tandaridhi, kisha unakubali kwakuunga mkono kwa mgongo wa jibu la hoja yako.

Hahaa tuliza kichwa, moyo na akili. Soma mantiki ya nilichoandika kisha soma upya jibu ulilonijibu hapo juu
 
nauri ya kwenda umoja wa mataifa miaka ile ilitoka kwenye familia ya RUPIA na sio kwa RC kama mleta mada anataka kutuaminisha,kumbuka jf sio ya watu mbumbu hivyo rudi ujipange upya

Duuh mkuu,

Kwanini usiombe kufunzwa mambo haya? Ruhusu mambo mapya yaingie kichwani mwako mkuu
 
Jibu hoja za wanajukwaa usilete majib ya kimipasho.
 
Wengine wenye kuifahamu historia ya Kambarage waianike hapa...
 
Sheikh mohamedsaidi TAFADHALI njoo Ondoa huu upotoshaji.
 
Last edited by a moderator:
nimesoma maelezo yako mpaka mwisho labda nitaona usahihi wa maelezo yako lakini sijaona uthibitisho wowote ila kiukweli hata historia ya Nyerere huijui umepata story za watu wanaojifanya wanamjua mwalimu na wewe ukataka uje hapa ili mradi uonekane una jambo la kusimulia
 
Ntakuwa kichwa maji maana nimeshindwa kupata mantiki ya kichwa na habari yenyewe.
 
Back
Top Bottom