Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
- Thread starter
- #61
Yericko analazimisha sana taalum hadi ili mambo ya balance anaamua kusema uongo tu
Kwasababu umepata mageni basi kwako ni uongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yericko analazimisha sana taalum hadi ili mambo ya balance anaamua kusema uongo tu
samahani mkuu,hilo swali nilililenga kwa yule mama mjahidina,ni bahati mbaya tu nilikunukuu wewe.Hujasoma nilipomwelezea?
KWANZA NAOMBA USHAHIDI WA BANDIKO LAKO KWASABABU MEENGI YANAONEKANA NI MAMBO YA KUTUNGWA NA KUNGAUNGA.
PILI SIKUJUA, KUMBE BIBLE INAONGEZWA VIONJO NA MANJONJO KILA KUKICHA KWA BARAKA ZA VIONGOZI WA KANISA???
Askofu Maranta aliletewa mapendekezo
kutoka kwa Attilio Beltramino kassi wa katoliki
aliyehudumu kule Iringa, mapendekezo ya kasisi
huyu yalikuwa ni, Umishonari makao makuu
uruhusu udurufu wa biblia zisomeke kwa makabila
ya wahusika wa eneo, ndani ya biblia hizo
yaongezwe mafundisho ya haki ya kujitambua na
kujitawala wenyewe. Pendekezo hili lilimvutia
sana Maranta hivyo akalipa baraka zake, kwa
hakika lilifanikiwa na ndio lilizaa hisia kali za
mwamko wa kudai uhuru, mfano biblia ya lugha ya
kihehe ilikuwa inaeleza wazi athari za
kutawaliwa.
SASA MPAKA IFIKE MWAKA 2200 BIBLE YAO ITAKUWA NA UHUSIANO WOWOTE NA HII YA SASAHIVI?
NAPATA MASHAKA KAMA HII BIBLE YA SASAHIVI INAUFANANO WOWOTE NA ILE YA MIAKA 2000 ILIYOPITA KWASABABU KWA MUJIBU WA MAELEZO YAKO NIMEGUNDUA KILA NCHI INAO UWEZO WA KUBADILISHA BIBLIA NA KUONGEZA AU KUPUNGUZA INACHOONA KINAFAA.
cc mohamedsaidi kakhtaan Pasco BAK ishmaeel
samahani mkuu,hilo swali nilililenga kwa yule mama mjahidina,ni bahati mbaya tu nilikunukuu wewe.
Wakuu naona Mohamed Said kagoma kuja km yule mbuzi wa msibani. Na ile formula ya dawa ya kumfanya mbuzi awe ----- hatuna. Dah nomaaaaaaa Sana. Jaribuni kumfuata pale kijiweni kwake lumumba teh teh teh teh. Hv viumbe vya aina ya Yericko vinapatikana wapi??????
Inanikumbusha thread iliyorushwa baada ya kelele nyingi sana kuhusu Mabomu ya Olasiti na haswa Pale Soweto Arusha.Kwa muda mfupi sana ile thread ilikata ukimya.Ile thread ilifanya mioyoyo ya watu ikatikisika na pumzi kubadilika.Hii thread ikiachwa na Mods mohamded Said na akina Ritz hawana pa kutokea zaidi ya kudai references.Wakati zao zina jikuuu zenyewe na stori za kijinga sijui nilimuuliza yeye,sijui nilikaa nae, sijui nini na nini...Mohamed Said ni km mwandishi anayekwenda mhoji msajii mchovu au mcheza soka aliyefulia atakvyojidai enzi zao walikuwa wanajua mpira,sijui walikuwa na uzalendo..halfu ukiwauliza walifanikiwa au kulifikisha taifa wapi majibu hutapata..ila usipowauliza utaandika habari yao km ushahidi wa ubora a ukweli wao.Haha unamkaribisha huyu mzee, yeye anajua habari za gerezani na viunga vya ghahawa tu
Inanikumbusha thread iliyorushwa baada ya kelele nyingi sana kuhusu Mabomu ya Olasiti na haswa Pale Soweto Arusha.Kwa muda mfupi sana ile thread ilikata ukimya.Ile thread ilifanya mioyoyo ya watu ikatikisika na pumzi kubadilika.Hii thread ikiachwa na Mods mohamded Said na akina Ritz hawana pa kutokea zaidi ya kudai references.Wakati zao zina jikuuu zenyewe na stori za kijinga sijui nilimuuliza yeye,sijui nilikaa nae, sijui nini na nini...Mohamed Said ni km mwandishi anayekwenda mhoji msajii mchovu au mcheza soka aliyefulia atakvyojidai enzi zao walikuwa wanajua mpira,sijui walikuwa na uzalendo..halfu ukiwauliza walifanikiwa au kulifikisha taifa wapi majibu hutapata..ila usipowauliza utaandika habari yao km ushahidi wa ubora a ukweli wao.
Mzee Mohamed Said.Mkwaju Ngoma,
Nimefika kaka yangu.
Sikuwa na taarifa kuwa natakiwa majlis.
Unachanganya mboga kwa jinsi roho inakuuma.Mohamed Said si huwa anaandika mengi huwa mnamuuliza uthibitisho?Kwani mlishwahi uliza uthibitisho km kweli Mkwawa alikuwa mkombozi wa waafrica na si kibaraka wa waarabu dhidi ya waafrica na wamissionary waliokuwa wakipinga utumwa na vita za kishenzi mkwawa ili ateke watu.
Mzee Mohamed Said.
Huyu Yericko anatafuta credit kutoka kwako siyo level yako kufanya nae minakasha tuliona ule mnakasha uliyopita kumbe mtupu kabisa kwenye masuala ya history.
Nakushauri mmpuuze ndiyo maana umeona watu wengi wamemuachia huu uzi wake.
Shukran.
Inawezeka huyo aliyekuuita na Yericko mwenyewe uzi wake umedoda una wiki hata page ya tano ujafika.Carlos...
Nimekusikia.
Nimekuja kwa kuwa jamaa hapa Majlis walikuwa wanasema nimekimbia.
Natilia shaka sana tafiti zako nyingi sana, uliku unajifungia kwenye mlengo mmoja zaidi, nivigumu kuupata ukweli wa jua na mwezi kama kama unatafiti huku umejifungia ndani ya chumba chenye tundu moja juu tu.
Malkia Elizabeth na Julius Nyerere walikuwa wamoja sana, maasi jeshi ya mwaka 1964 ni Malkia aliyekubali ombi la Julius Nyerere na kisha kutuma kikosi maalumu cha Makomandoo waliofanikisha kuzima uasi ule.
Ulishindwa hata kutumia ushahidi huo tu wakubaini usharika kati ya Julius na Malkia?
Yericko,
Malkia wa Uingereza haiendeshi serikali.
Fanya utafiti kabla ya kuandika.
Unachekesha watu.