Siri ya Malkia Elizabeth wa Usikochi (UK), Kanisa Katoliki, Nyerere na Uhuru wa Tanganyika

Siri ya Malkia Elizabeth wa Usikochi (UK), Kanisa Katoliki, Nyerere na Uhuru wa Tanganyika

Wanajamvi, hebu someni sehemu ya ngano za huyu mzee Mohamed Said, kutoka kwenye kitabu chake anavyomfifisha na kumdhihaki Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
alikuwa ana akili zipi!? wakati walishindwa mpaka alipokuja Nyerere ndio mambo yakaenda fresh...
 
Last edited by a moderator:
Wewe Yericko Nyerere.

Wachangiaji wengi tunakufahamu wewe kama ni tapeli.

1. Ulimdhulumu yule kijana fedha yake.

2. Unadanganya hapa kuwa una kampuni tatu. Kama una utajiri, mbona umemtapeli kijana laki mbili tu za ushindi? Tajiri anakunywa kahawa kwa mama ntilie? Unachekesha watu tu ila hujijui.

3. Elimu yako ni ndogo sana. Kwa mtu yoyote aliyekwenda shule hawezi hata mara moja kuandika lugha mbovu katika lugha yake ya kuzaliwa kama amesoma. Jinsi unavyoongea mitaani ndivyo jinsi unavyoandika hapa. Na inaonekana kabisa shule imekupiga chenga halafu unataka kubishana na wasomi. Kawadanganye wajinga wenzako.

4. Kila mmoja anakushangaa. Mpaka hapa hujaonyesha uhusiano wowote baina ya Malkia na Nyerere. Halafu unadai una uwezo wa kufundisha watu! Kama ni Mwalimu wako, ningekupiga bakora kwa kudanganya.

5. Kama umesoma, ungejuwa umuhimu wa kutoa kithibitisho cha uhusiano wa Nyerere na Malkia Elizabeth II. Hapa siyo kijiweni. Watu bado wanasubiri.

Kwa taarifa yako:

John Lupia = John Rupia

Anakili wazi = Anakiri wazi
 
Last edited by a moderator:
Mkuu TOKYO40,nilishasema huyu ni mchekeshaji tuu wa JF -Court jester per excellence-Atuonyeshe hata paper moja ya kitafiti/kisomi kama kazi yake,vinginevyo ni mu.huni tu.
 
Mkuu TOKYO40,nilishasema huyu ni mchekeshaji tuu wa JF -Court jester per excellence-Atuonyeshe hata paper moja ya kitafiti/kisomi kama kazi yake,vinginevyo ni mu.huni tu.

Mkuu kivava. Huyu anaonyesha dalili nyingi za ugonjwa wa "Schizophrenia".

Asilimia 97 ya wachangiaji wamemwomba uthibitisho wa uhusiano baina ya Malkia na Nyerere na ameshindwa kutoa mpaka sasa.

Wataalam wanasema ugonjwa huo unampata mtu mwenye dalili hizi:

1. Hana uwezo wa kufikiri.
2. Anaamini sana hali ya uwongo kuliko hali ya ukweli.
3. Hana uwezo wa kutumia mantiki.

Soma zaidi chini hapo kutoka kwa wataalamu wa ugonjwa huu:

One of the most obvious kinds of impairment caused by schizophrenia involves how a person thinks. The individual can lose much of the ability to rationally evaluate his or her surroundings and interactions with others. They often believe things that are untrue, and may have difficulty accepting what they see as "true" reality.

Schizophrenia most often includes hallucinations and/or delusions, which reflect distortions in the perception and interpretation of reality.

Source: psychcentral.com
 
Last edited by a moderator:
Tokyo40

Tulia ujisomee ukue kiakili

Huna uwezo wa kuelimisha mtu na ugonjwa wako.

Unahitaji dawa za "anti psychotic" ASAP.

Jaribu kutumia Thorazine au Loxapine.

Utapata nafuu na pengine utajuwa jinsi ya kutowa kithibitisho ulichoombwa na wachangiaji karibuni wote. Tuonyeshe umepona na unaelewa maana ya "kithibitisho" badala ya kuruka ruka mpaka hapa.
 
Last edited by a moderator:
Huna uwezo wa kuelimisha mtu na ugonjwa wako.

Unahitaji dawa za "anti psychotic" ASAP.

Jaribu kutumia Thorazine au Loxapine.

Utapata nafuu na pengine utajuwa jinsi ya kutowa kithibitisho ulichoombwa na wachangiaji karibuni wote. Tuonyeshe umepona na unaelewa maana ya "kithibitisho" badala ya kuruka ruka mpaka hapa.

Umeielewa mada husika?
 
Uongo wako uishie misikitini na viunga vya kariakoo tu,

Nje ya japo utakosolewa na kufunzwa hata kama hutaki.

Nimejaribu kuwa msomaji na kukufuatiza kunako changizi zako, hakika nimesikitishwa na dhereu na kejeli !

Katika Minaaqasha /mijadala ya wanataaluma kwa namna ujioneshavyo ni kama wapwaya kabisa !

Wapaswa ufahamu tafauti kati ya malumbano na mijadala !

Hakuna jambo jema kama kuwa na staha /stahamala khasa pale unapokhisi /ona kuna kutofahamiana katika jambo fulani...!? Daah!

Sasa hiyo story yako sisi /wana barza tuichukulie kama "NGANO" ama ndo upo serious ulichojaribu kutuekea hapa !?

N:B
Siku /mara nyangine ukapeleka /ukaleta khabari zako ati za kufanza argument /challenge/s jitaahidi tupate nasi reference/s za khabari zako au ...!?

Ahsanta na tu-pamoya.
 
Haya maneno msemayo, mm sisadiki coz malkia elizabeth yeye ni Anglicana, Nyerere ndio katoliki
 
Mzee issue zingine anawaongopea Wanamajlis


Khabari za siku !
Nipo hapa kipembeni najaribu kupitia changizi za wana Barza hapa!

Alhabiib Mohamed Said tarikhi /historia aitoayo hutuekea na reference/s kitu ambacho kwa sahib yako Yericko Nyerere hajakifanza au weye mwanziwetu mebahatika pata japo sahifa moya ya wapi tukajirishe khabari alizotuletea hapa !?

Pia maneno muyatumiayo kama si stahiki yenyu khasa kwa namna mudhaniwavyo na hadhira au sivyo !?

Na ni kweli biniyadamu yu namapungufu yake, mfano weye na mie Mbaara, sasa yale mapungufu yangu nieleze /nisahihishe kwa kunigeiya rejea!

Shukraan na tuendelee na Darsa!
 
Last edited by a moderator:
Khabari za siku !
Nipo hapa kipembeni najaribu kupitia changizi za wana Barza hapa!

Alhabiib Mohamed Said tarikhi /historia aitoayo hutuekea na reference/s kitu ambacho kwa sahib yako Yericko Nyerere hajakifanza au weye mwanziwetu mebahatika pata japo sahifa moya ya wapi tukajirishe khabari alizotuletea hapa !?

Pia maneno muyatumiayo kama si stahiki yenyu khasa kwa namna mudhaniwavyo na hadhira au sivyo !?

Na ni kweli biniyadamu yu namapungufu yake, mfano weye na mie Mbaara, sasa yale mapungufu yangu nieleze /nisahihishe kwa kunigeiya rejea!

Shukraan na tuendelee na Darsa!
Habari za siku ni nzuri Wabara, hiyo historia ya Mohammed Said ameiandika yeye mwenyewe kwa kusimuliwa haijalishi amesimuliwa uongo au ukweli ukiomba rejea anarejea kwenye maandishi yake...

Umeona kile kipande alichokileta Yericko, kwa mantiki ya kawaida inaweza ikaingia hiyo akilini?!
 
Last edited by a moderator:
Mohamed Said katika mlango wa nyuma anakili wazi kuwepo kwa nguvu ya ukatoli katika kudai uhuru.

Uungqana ni vitendo, mtapindapinda lakini mwisho mtakubali kama hivi
Mohammed Said wapo wengi , msidhani bado tupo wakati ule , wapo vijana wengi wanafahamu vizuri historia ya nchi yao na mchango wa wazazi wao kudai uhuru. Zile story za Kivukoni sasa zimepitwa na wakati
 
Last edited by a moderator:
Wewe Yericko Nyerere.

Wachangiaji wengi tunakufahamu wewe kama ni tapeli.

1. Ulimdhulumu yule kijana fedha yake.

2. Unadanganya hapa kuwa una kampuni tatu. Kama una utajiri, mbona umemtapeli kijana laki mbili tu za ushindi? Tajiri anakunywa kahawa kwa mama ntilie? Unachekesha watu tu ila hujijui.

3. Elimu yako ni ndogo sana. Kwa mtu yoyote aliyekwenda shule hawezi hata mara moja kuandika lugha mbovu katika lugha yake ya kuzaliwa kama amesoma. Jinsi unavyoongea mitaani ndivyo jinsi unavyoandika hapa. Na inaonekana kabisa shule imekupiga chenga halafu unataka kubishana na wasomi. Kawadanganye wajinga wenzako.

4. Kila mmoja anakushangaa. Mpaka hapa hujaonyesha uhusiano wowote baina ya Malkia na Nyerere. Halafu unadai una uwezo wa kufundisha watu! Kama ni Mwalimu wako, ningekupiga bakora kwa kudanganya.

5. Kama umesoma, ungejuwa umuhimu wa kutoa kithibitisho cha uhusiano wa Nyerere na Malkia Elizabeth II. Hapa siyo kijiweni. Watu bado wanasubiri.

Kwa taarifa yako:

John Lupia = John Rupia

Anakili wazi = Anakiri wazi

Huyu Mtoto mla mbwa Yericko ni Yale makapi ya Chadema Wanayoyatumia Kuondolea Mikosi.

Anadai kafungua Kampuni Tatu kubwa kwa muda wa wiki Moja halafu tazama ofisi yake hapa.

1428878035750.jpg

1428878144519.jpg

Na hapa Yuko kwa mama ntilie anapata CHAI ya Rangi saa saba Mchana!

View attachment 242780

Halafu ati Mkuda km huyu atoe darasa JF!

teh teh teh teh.

Huyu mtoto kazi zake ndio hizo Rizki mguuni lkn Anavyo tapeli watu utafkiri ana Kiwanda.

Huyu hafai hata kuwa Karani wa Mtu. Elimu hana lkn domo reefu km miguu ya flamingo.
 
Last edited by a moderator:
hahahahaha... ukiona mada imeanzishwa na yeriko nyerere, basi si ya kuamini 100% HUYU JAMAA ANA phd YA UWONGO!!! SINTOSAHAU ALIPOSEMA MWALIMU NYERERE NI BABAYAKE....!
 
hahahahaha... ukiona mada imeanzishwa na yeriko nyerere, basi si ya kuamini 100% HUYU JAMAA ANA phd YA UWONGO!!! SINTOSAHAU ALIPOSEMA MWALIMU NYERERE NI BABAYAKE....!

Furahia mada ya uongo ya Mohamed Said,

Hahahaaa pole kijana
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom