Siri ya Meya Kinondoni kugombana na Mkurugenzi

Siri ya Meya Kinondoni kugombana na Mkurugenzi

RC Amos Makalla amewakutanisha Meya wa manispaa ya Kinondoni Songoro Mnyonge na Mkurugenzi wake Sipora Liana. Vyombo vya habari vikaripoti kuwa mgogoro umeisha 🤣....
Mkurugenzi (DED) ndiye mwajiri kwa ngazi ya halmashauri. Sasa, ikiwa ni kazi ya kuomba halmshauri, nani atapitia maombi?? Nani atakuwa mwajiri?

Ndio maana hizi ni nafasi za uteuzi mkuu. Tatizo ni madiwani kuvutia maslahi yao, na mkurugenzi naye vivyohivyo. Na ndio hasa chanzo cha migogoro mingi.
 
Kwakuwa tayari Mkuu wa Mkoa mpya wa Dar es Salaam Amos Makalla ( Mzee wa Masebene ya Congo DR ) ameshawapatanisha inatosha na hizi Ngojera zako za Majungu na Umbea wala hatuzitaki na baki nazo tu Rohoni Kwako na Moyoni Mwako pia sawa?
Kwahiyo unatetea haya mambo?

Hakika CCM hamjifichi!
 
RC Amos Makalla amewakutanisha Meya wa manispaa ya Kinondoni Songoro Mnyonge na Mkurugenzi wake Sipora Liana. Vyombo vya habari vikaripoti kuwa mgogoro umeisha 🤣....
Kila mwaka tunasherehekea siku ya uhuru, lakini ukweli ni kwamba bado tuna tawaliwa. Na mbaya zaidi tunatawaliwa na kaburu mweusi (CCM).

Yaani wezi wa fedha za wananchi wanapatanishwa ili waendelee kuiba kwa maelewano badala ya kuchukuliwa hatua?

Haijalishi ni miaka mingapi ijayo lakini uhuru wa kweli uenda ukapatikana pale CCM itakapo ondolewa madarakani.
 
Kila mwaka tunasherehekea siku ya uhuru, lakini ukweli ni kwamba bado tuna tawaliwa. Na mbaya zaidi tunatawaliwa na kaburu mweusi (CCM).

Yaani wezi wa fedha za wananchi wanapatanishwa ili waendelee kuiba kwa maelewano badala ya kuchukuliwa hatua?

Haijalishi ni miaka mingapi ijayo lakini uhuru wa kweli uenda ukapatikana pale CCM itakapo ondolewa madarakani.
CCM si KABURU , bado tunaitafutia jina, maana wezi wamepatanishwa na wameambiwa wagombane ofisini si kwenye kamera, wale taratibu bila kugusa wanyonge.
 
Back
Top Bottom