Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,577
Kama ni hivi nami nataka kuwa rais ili nikafute sheria hii ili wote wanufaike na rasilimali za taifa sio wengene waliostaafu mika ya 80 leo wanalipwa kiinua mgngo cha shilingi elfu ishirini na moja (21,000) huku wengine wakijichotea hata baada ya kuuza na kujiuzia rasilimali zetu lukuki huku yeye na mkewe wakifaidi rasilimali za taifa .