Hatimae nahisi nimetegua Kitendawili cha Tozo!
Maumivu ni makubwa hasa kwa wale ambao ndio Kwanza wanaanza maisha achana na vizazi vilivyotangulia. Lakini kwa nini hali iwe hivi? Kwa nini kipindi hichi? Je, ni mpaka lini?
Jibu ni hili hapa.
View attachment 2334830
Kabda ya kulaumu tutulize jazba na tujiulize nani katufikisha hapa?