Siri ya Mwigullu Nchemba hii hapa

bahati93

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2015
Posts
1,334
Reaction score
2,463
Hatimae nahisi nimetegua Kitendawili cha Tozo!

Maumivu ni makubwa hasa kwa wale ambao ndio Kwanza wanaanza maisha achana na vizazi vilivyotangulia. Lakini kwa nini hali iwe hivi? Kwa nini kipindi hichi? Je, ni mpaka lini?

Jibu ni hili hapa.



Kabda ya kulaumu tutulize jazba na tujiulize nani katufikisha hapa?
 
Aliyetufikisha hapa ni mwendazake na bibi tozo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…