Darlin
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 4,796
- 10,646
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ani wonders shall never end mewaza tu kinyesi changu shughuli.... cha mwenzangu je
Chaaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] watu wana mioyo ya kipekee dea, lolAni wonders shall never end mewaza tu kinyesi changu shughuli.... cha mwenzangu je
Chaaaaaaa
Maisha yamenivuruga mdogo angu😂😂.Sijazoea kukuona iv ujue, umepatwa na jambo gan? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] watu wana mioyo ya kipekee dea, lol
Kwahiyo hivyo vipipi wanadai vinafanyakazi gani? Mtusaidie tusiojua makolokolo hayaHamna lolote mkuu, utapoteza hela yako kwa Malaya kisa vipipi!!
We gegeda vaa , sepa hayo yalimshinda samson.[emoji4][emoji4][emoji4]
Vinaleta amshamsha ila onyo fangasi za midomoKwahiyo hivyo vipipi wanadai vinafanyakazi gani? Mtusaidie tusiojua makolokolo haya
Kumbe unavitafuna kama pipi kawaida?Vinaleta amshamsha ila onyo fangasi za midomo
Hapana mkuu, Kuna namna unafanyaKumbe unavitafuna kama pipi kawaida?
Mmmh sasa kama ipo namna nyingine tofauti na kumungunya vinaletaje fangasi midomoni?Hapana mkuu, Kuna namna unafanya
Hizo pipi zinapakwa kwenye mikuyenge 🤔Kwahiyo hivyo vipipi wanadai vinafanyakazi gani? Mtusaidie tusiojua makolokolo haya
Kwamba washa washa sio??Hizo pipi zinapakwa kwenye mikuyenge 🤔
Kuanzia Leo sinunui pipi kifuaInaonekana wanawake kila wakikaa wanabuni mbinu za kututeka akili. Walianza kwenda kwa waganga sasa wamehamia kwenye pipi kifua na vix. Haya wanaume mliopitia huu uchawi njooni mtupe experience tafadha ili tuamue tunajaribisha au tukimbie kunusuru vipesa vyetu na viwanjaView attachment 1950892