Siku nyingi nnilikuwa nikijiuliza hivi kwanini hawa simba wana win saana apa nyumbani ?
Je ni uchawi au Nini ?
Nilichokuja kugundua ni kuwa sio uchawi bali simba wana jiamini saana wakiwa nyumbani kwao yaani wana ule msemo wa kuwa lolote na liwe ni lazima wajitume ndo uchawi wao uo
Yanga tungelikuwa najituma kimataifa kama vile tunavyo jituma tukikutana na simba
Hakika sasa hivi tungelikuwa na kombe la afrika mikononi mwetu
Sasa na sisi msimu ujao kimataifa tunakwenda na kauli
Ile ya mwinyi zahera tunakwenda kupindua meza na amini inawezekana
NA sema ivo tuanze kucheza saana ugenini kwasababu ya mashabiki wetu hawa nao wanachangia kushuka kwa timu yetu wao wanacho jua ni kutukana tu kama walivyo kuwa wanamtukana molinga
Hawajui mchezaji kuna kipindi ana shuka na kupanda
Je ni uchawi au Nini ?
Nilichokuja kugundua ni kuwa sio uchawi bali simba wana jiamini saana wakiwa nyumbani kwao yaani wana ule msemo wa kuwa lolote na liwe ni lazima wajitume ndo uchawi wao uo
Yanga tungelikuwa najituma kimataifa kama vile tunavyo jituma tukikutana na simba
Hakika sasa hivi tungelikuwa na kombe la afrika mikononi mwetu
Sasa na sisi msimu ujao kimataifa tunakwenda na kauli
Ile ya mwinyi zahera tunakwenda kupindua meza na amini inawezekana
NA sema ivo tuanze kucheza saana ugenini kwasababu ya mashabiki wetu hawa nao wanachangia kushuka kwa timu yetu wao wanacho jua ni kutukana tu kama walivyo kuwa wanamtukana molinga
Hawajui mchezaji kuna kipindi ana shuka na kupanda