FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Watu naona wanauliza uliza siri ya mafanikio ya baadhi ya shule binafsi za sekondari hapa nchini, siri ziko 2 tu, kwanza sio siri maana hizi mbinu japo sikubaliani nazo ila zinafahamika na zinatumika sana kwa shule binafsi zenye majina makubwa ili waendelee kupiga pesa ndefu. (Hii ni biashara kama biashara zingine).
1.) Kwa kuwa shule ina jina kubwa tayari, ili kuendelea kulinda heshima yao, huweka michujo mikali mno katika mitihani yao ya kujiunga nao. Kwahiyo from the start wanachukua vipaji maalum, yaani ile cream kabisa, na kwakuwa shule ina jina kubwa tayari, hata wanaoenda kufanya interview pale wanakuwa wameshajipima na kujua kwamba wanauwezo wa juu mno kiasi hata kuthubutu tu kwenda kufanya interview pale.
Sasa imagine mnaenda kufanya interview vipanga 1000 ambao tayari mnajiamini na uwezo wenu huko mlikotoka, halafu mnachujwa kiasi mnachukuliwa 200 tu, kwahiyo hao 200 wanaokubaliwa kujiunga ni vipanga wa vipanga tayari, kiasi hata kama wakifundishwa ‘physics’ na Speaker mtarajiwa Mwijaku, bado possibility ya kufeli haipo. Sasa hii inawezekana endapo shule yako inajina kubwa tayari, kama huna jina huwezi kupata fursa ya kuchagua cream, shule zingine zisizo na majina hulazimika kupokea makapi baada ya shule kubwa kulamba icecream yote pale juu, sasa utashindana vipi na mtu aliyeshika mpini kama huyu?! ( Nitawaeleza mwishoni).
2.) Sasa hawa jamaa ni wajanja sana, naongea hivi from experience kutokana na kwamba nami nilisoma moja ya shule binafsi zinazoogopwa ogopwa kwenye ufaulu wa mitihani, hivyo nawapa experience yangu ya mbinu (siri) wanayotumia. Hawa jamaa bwana mkofika ule mwaka wa mtihani, wanaanza mchaka mchaka wa kuwafanyisha mitihani ya taifa ndani ya shule , either kwa kutumia past papers au kwa kutunga wenyewe mitihani yenye format ya mitihani ya taifa, ili kujpima kuona ni yupi ataipaisha shule na yupi ataiangusha shule, basi unaambiwa kila mwezi ni mitihani ya taifa mnapigishwa, yaani i mean kila mwezi, hadi kuna wakati nilitaka kubwaga manyanga, it was too much! Mtu hadi unatamani kulia bhana!
Sasa ikikaribia kile kipindi cha uandikishaji na usajili wa kupata namba za mitihani ya taifa, wale wazazi wa wanafunzi ambao katika mitihani ya majaribio wanapata Div. 1 ya 11, 12 na kuendelea wanaitwa na kupewa taarifa wanafunzi wao watafanya mitihani ya taifa kwa kutumia vituo binafsi, na mzazi atakayelalamika anaweza hata kurudishiwa ada yake if the need be. Sasa nyie mnaokubaliwa kufanya mtihani kwa kutumia jina la shule ni wale mnaopata Div.1 ya 7,8,910 tu.
Sasa unakuta shule ilikuwa ina wanafunzi 400 wa kidato cha nne, ila wanaofanya mtihani mnajikuta mpo 92 tu, hadi mtu unashangaa, ni nini hiki?! Is this legal??!! Matokeo yanatoka waote mmepiga 1.7 hadi nyie wenyewe mnajiogopa. Sasa nawapa dawa ya kupambana na shule za namna hiyo, maana wanasema aliye juu mfuate huko huko, ukishidwa mrushie hata mzinga wa nyuki, stay tuned.
1) Ifahamike pasi na shaka, kwamba hakuna uhusiano kati ya kufaulu mitihani na kuwa na maarifa. Mitihani ina lengo la kupima uelewa wa wanafunzi, lakini kwa Tz lengo la mitihani si hiyo, lengo ni kutangaza biashara ya shule, hata ukitoka na maarifa ‘0’, ili mradi unaufaulu mzuri, the school is happy, parents are happy, inatosha...! Na hapo utanielewa kwenye point yangu inayofuata..
2) Hivyo basi, mwanafunzi mwenyewe inabidi ajue kutofautisha kati ya kufaulu mitihani na kuoata maarifa. Kwa teknolojia ya sasa, unaweza ukapata maarifa makubwa na mengi zaidi kwa kuangalia ‘instuctional videos’ za ‘Youtube’ndani ya mwezi mkoja kuliko maarifa utakayopata kwa kuhudhuria vipindi vya darasani mwaka mzima! Ila kumbuka maarifa haya hayawezi kukusaidi kufauli mitihani ya taifa ya Tz ambayo main goal ni kufaulu, wewe na maarifa yako tupa kule, kwenye mitihani ya Tz nobody gives f@ck na maarifa yako, nobody!!! Lengo ni kufaulu, pata maarifa kwa njia kama hizo za mtandaoni, ila kikubwa unatakiwa kufaulu, basi!!! Yes , its idiotic, but its the reality, live with it!! (Na hii ndio tunaulizana kwamba mzungu alituroga vipi waAfrika, kumbe kurogwa ndio huku), wao wanakazia maarifa sisi tunakazia kufaulu, what do you expect?! Mtoto wa primary China unaunda radio ya Fm huku kwetu anakariri formula za ‘Resistance’ na ‘Voltage’,
3) Sasa jibu ni moja tu, fanyeni kama wao wanavyofanya, nunueni mitihani bila kuwaambia wanafunzi, kisha badilisheni namba na maneno kidogo kisha wafundisheni, ikifika NECTA wanakutana na maswali yale yale ila namba tu ndio tofauti, basi, hata usaili TRA watu waliiba mitihani, ishu ni ufaulu tu, haya mengine huku mtaani ni simple sana, utatumia hata Youtube tu, mtanishukuru baadae, ibeni mitihani daadeki, kwani wao wanafanyaje mnafikiri..😂😂
==================================
Update: 21/01/2022
Sponsored ad ya Feza schools wakinadi ufaulu wao (Sio maarifa)
===========================
Update: 29/01/2023
Hatimaye tumeeleweka sasa, haya mambo ya kufanyiana marketing yafike mwisho, video chini inajieleza
1.) Kwa kuwa shule ina jina kubwa tayari, ili kuendelea kulinda heshima yao, huweka michujo mikali mno katika mitihani yao ya kujiunga nao. Kwahiyo from the start wanachukua vipaji maalum, yaani ile cream kabisa, na kwakuwa shule ina jina kubwa tayari, hata wanaoenda kufanya interview pale wanakuwa wameshajipima na kujua kwamba wanauwezo wa juu mno kiasi hata kuthubutu tu kwenda kufanya interview pale.
Sasa imagine mnaenda kufanya interview vipanga 1000 ambao tayari mnajiamini na uwezo wenu huko mlikotoka, halafu mnachujwa kiasi mnachukuliwa 200 tu, kwahiyo hao 200 wanaokubaliwa kujiunga ni vipanga wa vipanga tayari, kiasi hata kama wakifundishwa ‘physics’ na Speaker mtarajiwa Mwijaku, bado possibility ya kufeli haipo. Sasa hii inawezekana endapo shule yako inajina kubwa tayari, kama huna jina huwezi kupata fursa ya kuchagua cream, shule zingine zisizo na majina hulazimika kupokea makapi baada ya shule kubwa kulamba icecream yote pale juu, sasa utashindana vipi na mtu aliyeshika mpini kama huyu?! ( Nitawaeleza mwishoni).
2.) Sasa hawa jamaa ni wajanja sana, naongea hivi from experience kutokana na kwamba nami nilisoma moja ya shule binafsi zinazoogopwa ogopwa kwenye ufaulu wa mitihani, hivyo nawapa experience yangu ya mbinu (siri) wanayotumia. Hawa jamaa bwana mkofika ule mwaka wa mtihani, wanaanza mchaka mchaka wa kuwafanyisha mitihani ya taifa ndani ya shule , either kwa kutumia past papers au kwa kutunga wenyewe mitihani yenye format ya mitihani ya taifa, ili kujpima kuona ni yupi ataipaisha shule na yupi ataiangusha shule, basi unaambiwa kila mwezi ni mitihani ya taifa mnapigishwa, yaani i mean kila mwezi, hadi kuna wakati nilitaka kubwaga manyanga, it was too much! Mtu hadi unatamani kulia bhana!
Sasa ikikaribia kile kipindi cha uandikishaji na usajili wa kupata namba za mitihani ya taifa, wale wazazi wa wanafunzi ambao katika mitihani ya majaribio wanapata Div. 1 ya 11, 12 na kuendelea wanaitwa na kupewa taarifa wanafunzi wao watafanya mitihani ya taifa kwa kutumia vituo binafsi, na mzazi atakayelalamika anaweza hata kurudishiwa ada yake if the need be. Sasa nyie mnaokubaliwa kufanya mtihani kwa kutumia jina la shule ni wale mnaopata Div.1 ya 7,8,910 tu.
Sasa unakuta shule ilikuwa ina wanafunzi 400 wa kidato cha nne, ila wanaofanya mtihani mnajikuta mpo 92 tu, hadi mtu unashangaa, ni nini hiki?! Is this legal??!! Matokeo yanatoka waote mmepiga 1.7 hadi nyie wenyewe mnajiogopa. Sasa nawapa dawa ya kupambana na shule za namna hiyo, maana wanasema aliye juu mfuate huko huko, ukishidwa mrushie hata mzinga wa nyuki, stay tuned.
1) Ifahamike pasi na shaka, kwamba hakuna uhusiano kati ya kufaulu mitihani na kuwa na maarifa. Mitihani ina lengo la kupima uelewa wa wanafunzi, lakini kwa Tz lengo la mitihani si hiyo, lengo ni kutangaza biashara ya shule, hata ukitoka na maarifa ‘0’, ili mradi unaufaulu mzuri, the school is happy, parents are happy, inatosha...! Na hapo utanielewa kwenye point yangu inayofuata..
2) Hivyo basi, mwanafunzi mwenyewe inabidi ajue kutofautisha kati ya kufaulu mitihani na kuoata maarifa. Kwa teknolojia ya sasa, unaweza ukapata maarifa makubwa na mengi zaidi kwa kuangalia ‘instuctional videos’ za ‘Youtube’ndani ya mwezi mkoja kuliko maarifa utakayopata kwa kuhudhuria vipindi vya darasani mwaka mzima! Ila kumbuka maarifa haya hayawezi kukusaidi kufauli mitihani ya taifa ya Tz ambayo main goal ni kufaulu, wewe na maarifa yako tupa kule, kwenye mitihani ya Tz nobody gives f@ck na maarifa yako, nobody!!! Lengo ni kufaulu, pata maarifa kwa njia kama hizo za mtandaoni, ila kikubwa unatakiwa kufaulu, basi!!! Yes , its idiotic, but its the reality, live with it!! (Na hii ndio tunaulizana kwamba mzungu alituroga vipi waAfrika, kumbe kurogwa ndio huku), wao wanakazia maarifa sisi tunakazia kufaulu, what do you expect?! Mtoto wa primary China unaunda radio ya Fm huku kwetu anakariri formula za ‘Resistance’ na ‘Voltage’,
3) Sasa jibu ni moja tu, fanyeni kama wao wanavyofanya, nunueni mitihani bila kuwaambia wanafunzi, kisha badilisheni namba na maneno kidogo kisha wafundisheni, ikifika NECTA wanakutana na maswali yale yale ila namba tu ndio tofauti, basi, hata usaili TRA watu waliiba mitihani, ishu ni ufaulu tu, haya mengine huku mtaani ni simple sana, utatumia hata Youtube tu, mtanishukuru baadae, ibeni mitihani daadeki, kwani wao wanafanyaje mnafikiri..😂😂
==================================
Update: 21/01/2022
Sponsored ad ya Feza schools wakinadi ufaulu wao (Sio maarifa)
===========================
Update: 29/01/2023
Hatimaye tumeeleweka sasa, haya mambo ya kufanyiana marketing yafike mwisho, video chini inajieleza