Siri ya ufaulu ya baadhi ya shule za sekondari hii hapa

Mkuu ulichoongea ni ukweli kabisa, me nimesoma st Kayumba Ila matokeo hayakuwa mazuri Ila nilikuwa mwanafunzi mzuri tu, nasema hivi kwa kuwa imagine nilipata 3 ya mwisho, sikuwa mpenzi wa kusoma kabisa Ila nilikuwa najiamini tu na akili ya by nature Ila najiulizaga mfano kama walimu wetu wangekuwa wanafundisha kutokana na format ya mitihani ya kitaifa inavyokuja ufaulu si ungepanda sana?

Sent from my TECNO CE9 using JamiiForums mobile app
 
Tena sana!
 
 
 
Uzuri wa hii nchi yetu ni kuwa, matatizo yote tuliyo nayo wote tunayajua. Solution ya hayo matatizo yote wote tunaijua pia. Ila sasa ni nani wa kuchukua hatua ku implement hizo solution ili kutatua matatizo tuliyo nayo hapo ndio kimbembe kilipo! Kila mtu anakaa pembeni kama vile yeye hahusiki wala hilo swala yeye halimgusi kabisa..😄
 
Kwanza kabisa mjue NECTA imebadilisha mtizamo..inahakikisha by any means; matokeo hayaidhalilishi serikali..hii tabia ni mpya-wengi hawajastukia..hapo nyuma matokeo mabovu yalianza kutumiwa kama hoja ya kisiasa..pili, nataman sana walimu wakuu-public schools wateuliwe kwa kushindanishwa na kupewa malengo!
 
Hatimaye tumeeleweka sasa, haya mambo ya kufanyiana marketing yafike mwisho, video chini inajieleza

 
Hapa wametumia akili nawapongeza, Mtoto wa Feza eti analinganishwa na wa Kantalamba anayeshindia mihogo wakati mwingine hata asiipate.
 
Hizo mbinu zilikuwa enzi za utawala wa bwana yule baraza lilikua linaendeshwa ovyo na matokeo kila yalipokuwa yanatangazwa ufaulu unapanda yote kumfurahisha mkulu

Saiv tunarud enzi za kabla ya 2015 no kubebana bebana
 
Wasaga kunguni, hatimaye viziwi wamewasikia.
 
 
Wanafunzi wa Serikali hakuna wachopata ni Maarifa 0-0 Bora hat seminary Mtu unaambulia kuwa na maadili Mema na jamii yako
Hapo mwisho ume conclude vizuri andiko lako, pia serikali lengo ni watoto wafike Hadi form four wawe na uelewa hata wakila zero kikubwa kupunguza ujinga na kutoa huduma huko private ni business Ili wapate wanafunzi wapige ada
N
 
Waziri wa Ilmu dunia yupo ila huvishwa miwani ya mbao
 
Wanafunzi wa Serikali hakuna wachopata ni Maarifa 0-0 Bora hat seminary Mtu unaambulia kuwa na maadili Mema na jamii yako

N
Na seminary lazima ufaulu tu maana mwanafunzi mwadilifu lazima atoe tofauti na serikalini siasa plus tabia chafu na umalaya wa wanafunzi lazima wafeli tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…