Bonjour Siku hizi imekuaje naoana madogo wanapiga sana mabanda ya kutosha, Yani division one za single digit zimekuwa nyingi sana. Yani tofauti na miaka yetu, ukipiga one utajulikana mpka ofisi ya wilaya, ila now days daaa madogo wanafahuru sana. Kuna mdogo wangu kanipigia Banda za kutosha...