Nimesoma kitabu hiki na kimenisaidia kubadili mtazamo wangu na jinsi ninavyotumia mapato ninayopata.
Kama hujawahi kukisoma, tafuta muda na ukisome na uhakika kitakusaidia sana kama unahitaji kukuza kipato chako.
Ningetamani kama angepatikana mtu wa kukitafsiri kitabu hiki au sijui kama kuna aliyekwisha kukitafsri, ili watanzania walio wengi wakakisoma.
Kama hujawahi kukisoma, tafuta muda na ukisome na uhakika kitakusaidia sana kama unahitaji kukuza kipato chako.
Ningetamani kama angepatikana mtu wa kukitafsiri kitabu hiki au sijui kama kuna aliyekwisha kukitafsri, ili watanzania walio wengi wakakisoma.