Siri ya utajiri wa Majizzo

Polisi haupajui?
 
Ingawa utajiri ni moja kati ya jitihada za mtu binafsi katika kujikwamua na umaskini lakini lazima njia zilizomtajirisha au zinazomtajirisha mtu ziwe halali
Nitajie mtu mwenye utajiri wa halali
 
Acha uongo,wana tangazo moja tu la Lake oil ndio linasikika mara kwa mara. Haya matangazo ya Tigo,Voda,Airtel yanasikika mara chache sana na zaidi ya hapo hawana tangazo kutoka kampuni nyingine.
hahahahahahahahaha...aiseee vijana mnachuki hatari eti hawana matangazo labda kama sio e-fm ninayo iyongelea mimi..

simpendi vibaya vibaya..
Ila nmesema kwa hii hoja nakubaliana nae..
nakubaliana na hoja sio mange kimambi.
Kwa hiyo kwakuwa kaanzisha radio na TV basi anauza madawa... halafu mkitoka hapo mnasema vijana taifa la leo..wakati hampendani..kiasi hiki.
Kama kuuza unga ni rahisi kiasi hiki kwanini nanyi msijaribu kuuza?
 
Ruttashobolwa

KAMA REDIO AMEWEKA ILI KUBUDRUDISHA JAMII BASI JAMII KAMA WADAU WANAWAJIBU WAKUJUA MTAJI WA BIASHARA HIYO.

NA KWA WALE WATETEZI KAMA NI KWELI MTAJI WA BIASHARA UMETOKANA NA BIASHARA HARAMU BASI UJUE NA WEWE UNASHIRIKI KWENYE KUENDESHA BIASHARA HARAMU KWA KUENDELEA KUSIKIZA HIYO REDIO.

ANGEWEKA REDIO CHUMBANI KWAKE ASIKILIZE NA MKEWE YEYOTE ANGEHOJI NINGEMUONA MNAFIKI LAKINI KWA KUWA NI YA JAMII ANAWAJIBU WA KUELEZA PESA NA MTAJI KAPATA WAPI.

KAMA BIASHARA NA INA MTAJI WA HALALI KWANINI ASIWE MUWAZI SABABU HATA KAMA NI MKOPO KWANINI ASIWE MUWAZI?

PIA HIZO KAMPUNI ZINAZOPELEKA MATANGAZO HAPO NA ZENYEWE KWA NJIA MOJA WANASHIRIKI KWENYE BIASHARA HARAMU KAMA MTAJI UTAKUWA UNACHANZO CHENYE UKAKASI.

ANAVYOKAA KIMYA ANAZIDI KUTUAMINISHA YANAYOSEMWA NI KWELI NA KAMA SERIKALI INAPINGA BIASHARA HARAMU BASI IANZE NA HAWA WAFANYA BIASHARA KUELEZA VYANZO VYAO VYA MITAJI.

BIASHARA LAZIMA IWE NA VYANZO NYEMA VYENYE MAADILI NA SIYO BIASHARA HARAMU.

MIMI SISEMI UNGA TU KUNA WATU WAMEANZISHA BIASHARA KUPITIA MITAJI YA BIASHARA HARAMU ZA MENO YA TEMBO, PEMBE ZA FARU, UNYANG'ANYI NA NYARA ZINGINE ZA SERIKALI LAZIMA WAWAJIBISHWE NA SERIKALI KUPITIA VYOMBO VYAKE VYA DOLA.
 
Siri ya utajiri wake anajua mwenyewe na kamwe awezi kuweka wazi ila sisi tutakuwa tunahisi lakini hatuna uhakika
 
Ukiona mwanaume anafatilia mausha ya mwnaume mwenzake jua lazma atakuwa mchawi wa kutupwa
 
Basi wewe tuwekee ushahidi hapa.
 
Ruttashobolwa

ACHA UTOTO WEWE MIMI NDIYO MWENYE BIASHARA MPAKA NIWEKE USHAHIDI?

YEYE NDIYO ANASHUTUMIWA NA SABABU BIASHARA YAKE INAHUSU JAMII KIMAADILI ANATAKIWA AJISAFISHE, HAKUNA NGONJERA WALA SIASA HAPO.

ANA WAJIBU WA KUJISAFISHA NA KAMA NINGEKUWA NATAKA KUJUA UKWELI NAJUA NINI NAWEZA KUFANYA KIKAMLAZIMISHA KUJA KUELEZA UKWELI.


 
ANASHUTUMIWA KWA USHAHIDI GANI ULIOWEKWA MPAKA TUAMINI HIZO TUHUMA? HADI SASA NI MANENO TUU..HATA HUYO MANGE SI ALIANDIKA MANENO KAMA MTOA MADA?
 
Fwateni mambo yenu bhanaa...tafuta utajiri na ww acha kufwata mambo ya watu...mtu si mwanasiasa, hana wadhifa wowote serikalini..mtu yuko busy na mambo yake kumake pesa we unataka akuambie katoa wapi..we kwann usituambie umaskini wako umeutoa wapi
FANYENI KAZI VIJANA ACHANI MAJUNGU
 
hatuna hela
 
Utajiri wa vijana wengi wa kibongo ni miujiza tu....! Kuna ukweli mwingi anaousema Mange juu ya huyu kijana, serikali imchunguze tu.
 
ANASHUTUMIWA KWA USHAHIDI GANI ULIOWEKWA MPAKA TUAMINI HIZO TUHUMA? HADI SASA NI MANENO TUU..HATA HUYO MANGE SI ALIANDIKA MANENO KAMA MTOA MADA?


SIONGELEI KUHUSU KASEMA NANI? CHA MSINGI HIYO HABARI IPO MITAANI NA KAMA HIVI HAPA TUNAIZUNGUMZIA BASI INABIDI AJISAFISHE.

EFM NI RADIO INAYOHUSU JAMII HIVYO JAMII INABUDI KUJUA KAMA YANAYOSEMWA NI KWELI AMA UONGO.

NA MWENYE WAJIBU WA KUWEKA SAWA MAMBO HAYO NI YEYE MWENYEWE MWENYE MALI

UJIULIZI KWANINI VIONGOZI WANATAKIWA KUTANGAZA MALI ZAO NA KUJIELEZA KWENYE KAMATI YA MAADILI?

KITU CHOCHOTE UTAKACHOKIHUSISHA NA JAMII LAZIMA KIWE NA UWAZI SABABU ASIJE AKAWASHIRIKISHA WATU NA BIASHARA HARAMU.
 
Mwafrika ana roho ya kwanini ,anapenda udadisi na uchunguzi wa maisha ya watu

Ungekuwa south unapigwa shaba hucheleweshwi

NB:maskini anayajua maisha ya tajiri na inawezekana anafahamu chini ya kitanda cha tajiri kuna kitu gani kuliko hata huyo tajiri mwenyewe ..

Ukitaka kujua stori za tajiri muulize masikini atakuchambulia kama vile Einstein anavyoshuka na integration au differential equation
 
Kutoka kuwa Dj,hadi kuwa mmiliki wa media. Kuna kitu cha ziada alikuwa anakifanya wakati wa U dj kinyume na hapo maswali magumu yanamuhusu.
Siku millard akiibuka na Tv/radio station yake mtakuja na suspection za ajabu ajabu kama hizi,pigeni kazi ndugu zangu msingi wa mafanikio ni kujituma sio kila siku kukesha hapa jf kubishana kiba na mond nani mkali na kusahau kufanya kazi kwa maarifa teh teh teh teh.....
 
Jiulize ww utajiri wako utaupataje ya watu yatakushinda.[emoji12]
 
Iwe ukweli ama uwongo ila mnatakiwa mjue, kwenye kupata pesa akili lazima itumike kubwa sana.. Na mimi kama Davion siku zote ntawasifu wanaotajirika daima, hata kama ni wauzaji wa unga.. I respect them forever
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…