samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,965
Mkuu naamini ujanielewa,UNGENIELEWA USINGEANDIKA HIVI.Siku millard akiibuka na Tv/radio station yake mtakuja na suspection za ajabu ajabu kama hizi,pigeni kazi ndugu zangu msingi wa mafanikio ni kujituma sio kila siku kukesha hapa jf kubishana kiba na mond nani mkali na kusahau kufanya kazi kwa maarifa teh teh teh teh.....