Siri ya utajiri wa Majizzo

Mkuu naamini ujanielewa,UNGENIELEWA USINGEANDIKA HIVI.
 
Kweli mkuu vichwa panzi hawawezi kuelewa hii thread wanafikiri tunapinga mafinikio ya Majizzo.. Hapana tunataka kujua source ya wealth yake maana tetesi zipo mtaani..
Kwani we aliyekwambia efm ni ya majizzo nani? Mbona mkaka wa watu mnamsakama bure wakati yeye ni msimamizi wa kituo?
 
kumbe kwenye mada za nje ya siasa akili zinawarudia
 
Acha kulisha watu matangoporu.... Mmiliki wa DTV ni Azim Dewij, anamiliki na CTV, Channel Ten Na Magic FM vilevile... Majizzo alikua mfanyakazi pale, Kama alivyo mfanyakazi pale EFm na TV. Nenda kaulizie mwanamke anayeitwa Mama Sweya ni nani utapewa info za kutosha... Huyo ndo mmiliki wa mzigo wote... Issue za majizzo kuuza ngada mnamsingizia bure mkaka wa watu.
 
Kweli unaijua hii issue vilivyo. Majizo ni puppet tu pale. Nimecheka sana niliposoma Wazandiki wameandika eti ndio mmiliki wa Maisha Club zote...hahaha. Jambo usilolijua ni Kama usiku wa ngono.
 
Huyo Mama Sweya ndio yule aliyempa kiburi Mr. Nice enzi zake akiwa TBL?
 
Kweli unaijua hii issue vilivyo. Majizo ni puppet tu pale. Nimecheka sana niliposoma Wazandiki wameandika eti ndio mmiliki wa Maisha Club zote...hahaha. Jambo usilolijua ni Kama usiku wa ngono.
Tatizo humu watu wanatoa habari vijiweni na kuzileta hapa... Toka lini Majizzo kawa mmiliki wa maisha club? Wakati efm imefunguliwa walileta propaganda hapa eti in radio ya lady jay dee... Hahahaha....
 
Kufa Maskini ni kujitakia mwenyewe..nyi endeleeni kuimba taarabu hapa mwenzenu anapiga hela tu..sawa na kumwambia Mkinga wa Kariakoo anaua ndugu ndomana anahela sasa kama ni hivyo kwanini na wewe usiue upate pesa..Mwisho wa siku kuna pesa chafu na safi ila zote zinatumika
 
Mange watu huwa wanamuona chizi ila hadanganyagi akiongea kitu ukifanya tafiti unagundua kuna ukweli ndani yake binafsi utajiri wa kufumba macho na kufumbua unatia shaka ndani yake hata azam hajawa tajiri kwa kufumba na kufumbua wameanzia mbali
 
E-FM ni ya mama Sweya mmiliki wa maisha club... Majizzo wapambe tu... Kama clouds mpambe rugemalira ila mmiliki joe kusaga (kusaga family)
Tupe history ya huyo mama kidogo
 
Ndio maana Watanzania wengi walisepa nchi za ng`ambo maana ukifanikiwa wanaanza kwa ufanikiwe na tuko wote mtaani? Fitna Majungu hadi Husda zinaanza pigeni kazi angaikeni mtafanikiwa...

Kumbukeni bila jitihada tutaishia kufuatilia ya watu tuu...
 
Tafuta Cha kwako....ukishajua siri za utajiri wake alafu utafanya nini?!

Role Model wako Mange Kimambi kishakwambia anauza Unga na wewe unavyomuamini Mange umeamua kukubaliana nae sasa unatuuliza maswali ya kutuchora ili iweje?!
Ujinga huu
Kama unajua si useme tu why is that so big deal?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…