Siri ya Utajiri wa Vodacom Tanzania watajwa

 
wakuu nipeni mungozo japo mdogo kwani nina nia ya kununua .but nina elimu ndogo ya manunuzi y hisa je opoje..? na faida inapatikana vipi ?kila mwaka? mwezi au inakuwaje..nataka kwenda kununua kabla y dead line asante mkuu.
 
Mzee wako aangalie thamani za hisa za NICOL. Ni wazi zimepanda. Kama zimepanda ndivyo na hela yake imepanda. Anaweza kuamua kuziuza akapata pesa zake.
Alifikiri amenunua maandazi mtoto badala umsaidie Baba unakuja huku kutoka povu ungechunga ng'ombe shule haijakusaidia eeeeh
 
wakuu nipeni mungozo japo mdogo kwani nina nia ya kununua .but nina elimu ndogo ya manunuzi y hisa je opoje..? na faida inapatikana vipi ?kila mwaka? mwezi au inakuwaje..nataka kwenda kununua kabla y dead line asante mkuu.
wakuu nipeni mungozo japo mdogo kwani nina nia ya kununua .but nina elimu ndogo ya manunuzi y hisa je opoje..? na faida inapatikana vipi ?kila mwaka? mwezi au inakuwaje..nataka kwenda kununua kabla y dead line asante mkuu.

Oukay kiwango cha chini katika kununua hisa ni hisa 100

Bei ni shilingi 850

Faida za hisa

Kuwa sehemu ya mmiliki

Na kupata gawio kulingana na hisa unazomiliki

Unaweza kutumia hisa kama dhamana kupata mkopo

Na mengine mengi


Jinsi ya kununua kwa urahisi fika benki ya NBC kuna mawakala utapata maelekezo jinsi ya kununua.
 
Halafu kodi wanalipa kiasi gani? Hii mitandao ndio wanatumia weakness za TCRA kuiibia hii nchi sana, hili eneo linatakiwa liangaliwe kwa uangalifu na serikali badala ya kutumia muda mrefu kupambana na wakina Lema na Roma mkatoliki.

Ili tuache kuimba wimbo wa umaskini lazima tuache kufanya mambo kwa mazoea TRA wakitangaza wamevuka lengo pesa wanatoa wapi?
 
Jamaa unasababisha moyo wangu kutabasamu kwa hisa zangu nilizonunua voda.
 
Halafu kodi wanalipa kiasi gani? Hii mitandao ndio wanatumia weakness za TCRA kuiibia hii nchi sana, hili eneo linatakiwa liangaliwe kwa uangalifu na serikali badala ya kutumia muda mrefu kupambana na wakina Lema na Roma mkatoliki.
Kwa vodacom wapo vizuri na bila Shaka wanalipa kodi ya serikalini bila Kikwazo chochote na ndio maana imeendelea kusustended katika soko la mawasiliano nchini.
 
Nikikumbuka zile hisa za NICOL nachoka kabisa..nazo zilipigiwa debe hivi hivi.. wazee wangu wakanunua za laki tatu kipindi hicho..hadi leo wamebaki na yale makaratasi wametunza
Aisee!
 
Alifikiri amenunua maandazi mtoto badala umsaidie Baba unakuja huku kutoka povu ungechunga ng'ombe shule haijakusaidia eeeeh
Kipindi cha nyuma na kukosekana kwa mitandao nao ilikuwa ishu. Sasa ivi unanunua Hisa na unaona katika Mitandao zinavyopanda na kushuka,
 
Kila nikitaka kununua wanasema una kiwango cha kutosha wao wa nataka shiling ngap
 
Fuatilia tena kwa nguvu kwani kuna kesi mahakamani miongoni mwa viongozi. Yapo makundi mawili.
Hali ya kampuni ipo vizuri kwani thamani ya hisa inaongezeka.
Thamani ya hisa za NICOL zinaongezeka wapi ndugu yangu? Nicol haipo hata listed DSE tena hakuna taarifa yoyote kwenye tovuti ya DSE yaani ni kama imepotea kabisa na haikuwahi kuwepo. Nchi ya miujiza.
 
Kila nikitaka kununua wanasema una kiwango cha kutosha wao wa nataka shiling ngap
85000 ndo minimum na kuna hela wanakata kwenye airtime yako kama 500 kila unapotumia ile menu ya DSE.
 
Kiki gani hapo hao wengine wapo wapi??!endelea kuwamtamaji wenzio wanasonga mbele kwa kuwekeza katika fursa mbalimbali kama hii ya kununua hisa.
Deadline ya kwanza imekuja imepita, hisa hazijauzika, yapili nayo ndo leo, tutaona kama hizi promo za humu zimewasaidia kuuza hisa zote, hadi waziri mkuu naye wamemgeuza marketer hii ni hatari sana maana wananchi wanaweza kuidai serikali wakiingia hasara. Ila nikiangalia tovuti ya DSE naona dalili kuwa wanataka waongeze muda tena ila sina uhakika tuone leo watasemaje.
 
Thamani ya hisa za NICOL zinaongezeka wapi ndugu yangu? Nicol haipo hata listed DSE tena hakuna taarifa yoyote kwenye tovuti ya DSE yaani ni kama imepotea kabisa na haikuwahi kuwepo. Nchi ya miujiza.
Kuandikwa DSE sikumbuki kama NICOL iliwahi andikwa huko. Kampuni hiyo lengo kubwa ilikuwa wanunue hisa kweye makampuni na mashirika yaliyokuwa yanauzwa. Nakumbuka lengo walikuwa wanunue asililimia 4 ya hisa za NMB zilizotolewa kwa wananchi na walinunua hisa NMB ila sijui ni asilimia ngapi. Kufanya vizuri kwa NMB ni mafanikio ya NICOL pia.
Pamoja na mgogoro wa uongozi uliopo mahakamani, bado wako vizuri thamani ya mtaji wao inakuwa. Sijajua kama waliisha toa gawio.
 
NICOL ilikuwa listed DSE mpaka tarehe 6th July 2011 ambapo iliondolewa kwa kutofuata masharti ya kuripoti mahesabu yao ya mwaka.
Naona wamelaunch website yao mpya now, labda wanahisa mtuambie management wanawaambia nini? Wamepata faida? Kuna dividend inatoka? Share moja ina value gani kwa sasa hivi?
 
Sina taarifa mpya sana. Sikuwahi kuwa mwanahisa ila nimekuwa nikiwafuatilia. Mara ya mwisho nimewasikia wakiwa mahakamani na huko nilipata taarifa ya kuwa wanaendelea vizuri japo gawio walikuwa hawajatoa.
 
Nianze kushukuru kwa kupata fursa ya kuwa mmoja wa wamiliki wa Vodacom
 
Wajipange sana maana hicho chanzo chao cha mapato cha 22% nakuja kukiua, naleta huduma rahisi na nyepesi kuliko m-pesa, na yenye gharama nafuu mno, mtu utakua unahamisha milioni unalipa 500 tu sio wao wana makato ya kijinga huku tech yao yenyewe haina chochote special, ni database tu wanabadilisha namba as you move money, tena unreliable database coz inasumbua karibia kila wakati.
 
Ilete mkuu. Wanyonge tupone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…