I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Kuna auto-tune tofauti na nje Ya bafu.Siku kama sina haraka basi ntaenda bafuni na simu kabisa kwa ajili ya kuskiliza music af nikiimba huko hua nakua na sauti flani amaizing balaa.
Tatzo nikitoka huko inakua kama sio mie dk chache zilizopita
Wanaita kujichukulia sheria mkononi 😂😂😂 so wanazuga na vocal ili kupotezea mada.Nini hii Mzee mwenzangu.?
Mimi nihodari sana wa kuimba choon.na wimbo wangu mkubwa ni “fight song”wa Rechal Platten.sasa kama kunawatu nawakera watulie tu maana hii tabia siwezi iacha.ni ya miaka nenda rudiSalamu kwenu Wanyabe!
Leo nimekuja na hili suala, nimekuwa nikiliona na kusikia siku nyingi japo sikuwahi kulipa umuhimu.
Basi kijana wangu mwenye kawaida ya kuimba kiustadi kila aingiapo maliwato ‘kuoga’ sio ile shughuli nyingine, leo ametia vokali kali sana kiasi cha kumkera mgeni wangu na akashindwa kujivunga.
Sijui yeye amepokeaje, kaonesha kutofurahishwa na ‘tabia’ hiyo... na kunishauri nimkanye mtoto asiimbe eti ‘chooni sio studio’.
Ndipo nikapata wasaa kulitafakari kwa upana wake, nikakumbuka kuwa sio watoto tu wanaopenda kuimba wakiwa kuoga, wapo baadhi ya watu wazima.
Hii ina maana gani.? Ni dalili ya nini, na haya ‘makatazo’ ya wazazi huenda vipaji vingi vimezimika kwa njia hiyo.?
Hebu tushirikishane tunaoshudia hii, na pia wale ambao ni mahodari wa kuimba, au wale ambao ‘walikoma’ watatupa sababu zao.
Karibuni.
Wakati mwingine nachapaga kimombo humo hatare, ila nikitoka lafudhi ya kimombo inapotea, basi nakuwa na kimombo kama cha mkemia wetu, si unajua.Kucheza tena, namna gani pale.?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mkuu au ndo wewe nini😂😂Nakubali, ila punguza fujo tu.
Unaeniambiaga ninyamaze😂😂😂😂Kwamba ni mimi nani.? taratibu mkuu [emoji28][emoji28][emoji28]
Nitakuachia radhi ya 1000 hutoamini🤣🤣🤣🤣Nitakuwa nakuchungulia ukioga, natia vitobo kwenye mlango. [emoji28][emoji28][emoji28]
Radhi inahitaji nguvu yakuweza kuihimili tuKwani radhi inahitaji ‘age difference’ ya miaka mingapi.? [emoji12]
"Wanyabe" hii ni mpya hapa jfKwa upande wako ikoje.?
Aisee tuko sawasawa kabisa. Mimi mara kibao tu mwanangu akipita kwenye kicorridor cha maliwatoni huwa ananizimia taa, akidhani hakuna mtu ndani (na bado hadi hapo huwa nakausha)😏Dah!me hata kuongea chooni ni ngumu sana.unaweza uniite nisiitikie...
Wanakula mkonoWengine huwa wanakwea mnazi kwa mkono mmoja