Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Hii case tungeifunga ingependeza sana.✌🏿Umeanza lugha ngumu sasa, nguvu.? kuhimili.? kwani tunaongelea nini.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii case tungeifunga ingependeza sana.✌🏿Umeanza lugha ngumu sasa, nguvu.? kuhimili.? kwani tunaongelea nini.?
Kama kawa, mkono mmoja wa chapakazi!Wanakula mkono
Baby nimekumissRadhi inahitaji nguvu yakuweza kuihimili tu
Nimekumiss pia.unaendeleaje?Baby nimekumiss
Naendelea vyema aseeNimekumiss pia.unaendeleaje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hatari aiseMuda si mrefu nimetoka kuimba humo ndani, na si kuimba tu bali kucheza pia. Najisikia mwepesi.
Yaani hayajui au? Cause aweza kuwa mtoto kwako ila kwa wengine kesha kuaHuwa anaimba nyimbo tofauti tofauti, mixer kila unaomjia kichwani... sana sana nyimbo za vijana hizi ila kuhusu mambo yetu yale huyu bado sana.
Dah! Saba mbona mzee huyo? Nakumbuka nlikuwa std 1 nikaandika barua ya kwanza ya kumtaka mapenziHayajui, kuna umri wa kuhisia hizo mambo ila sio miaka saba... we ulianza kujichukulia ‘sheria mkononi’ ukiwa umri gani.?
mzee watoto wanaendeleajeSalamu kwenu Wanyabe!
Leo nimekuja na hili suala, nimekuwa nikiliona na kusikia siku nyingi japo sikuwahi kulipa umuhimu.
Basi kijana wangu mwenye kawaida ya kuimba kiustadi kila aingiapo maliwato ‘kuoga’ sio ile shughuli nyingine, leo ametia vokali kali sana kiasi cha kumkera mgeni wangu na akashindwa kujivunga.
Sijui yeye amepokeaje, kaonesha kutofurahishwa na ‘tabia’ hiyo... na kunishauri nimkanye mtoto asiimbe eti ‘chooni sio studio’.
Ndipo nikapata wasaa kulitafakari kwa upana wake, nikakumbuka kuwa sio watoto tu wanaopenda kuimba wakiwa kuoga, wapo baadhi ya watu wazima.
Hii ina maana gani.? Ni dalili ya nini, na haya ‘makatazo’ ya wazazi huenda vipaji vingi vimezimika kwa njia hiyo.?
Hebu tushirikishane tunaoshudia hii, na pia wale ambao ni mahodari wa kuimba, au wale ambao ‘walikoma’ watatupa sababu zao.
Karibuni.
ulipata housegirl??Wako poa sana, tunashukuru korona imeisha warudi shule.... nishachoka kusuruhisha kesi.