Siri ya vipaji vya kuimba ‘bafuni’ wakati wa kuoga, hasa kwa watoto na watu wazima kama wapo

Huwa anaimba nyimbo tofauti tofauti, mixer kila unaomjia kichwani... sana sana nyimbo za vijana hizi ila kuhusu mambo yetu yale huyu bado sana.
Yaani hayajui au? Cause aweza kuwa mtoto kwako ila kwa wengine kesha kua
 
Yaani hayajui au? Cause aweza kuwa mtoto kwako ila kwa wengine kesha kua

Hayajui, kuna umri wa kuhisia hizo mambo ila sio miaka saba... we ulianza kujichukulia ‘sheria mkononi’ ukiwa umri gani.?
 
Kuimba bafuni ni kukosa majukumu
Huna unachokiwaza kichwani huna stress zozote za maisha
Kinyume na hapo ni sehemu ya kuwaza na kuwazua
Hiyo nguvu ya kuimba itatoka wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayajui, kuna umri wa kuhisia hizo mambo ila sio miaka saba... we ulianza kujichukulia ‘sheria mkononi’ ukiwa umri gani.?
Dah! Saba mbona mzee huyo? Nakumbuka nlikuwa std 1 nikaandika barua ya kwanza ya kumtaka mapenzi
 
mzee watoto wanaendeleaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…