Siri ya watoto kumzika baba yao akiwa hai Songea


Wewe siku yakikutokea ndio utajua
Mungu akiamua anaamua kuchukua watu wake tu
 
Kwa wale waliobahatika kuishi mazingira yasio na ushirikna Wataona hawa vijana ni makatili lakini kiuhalisia wametekeleza amri iliyopo kwenye vitabu vitakatifu kwamba "USIMWACHE MCHAWI AISHI"
 
Hatari sana vijijini watu wamechoka Wana hasira..Bora wangezika watu wengine wanaozingua kina mwiguru...timing unafanyiwa ishu za mirathi nashukuru wote wamekamatwa...afu watoto wakiwa wachache wanachanganya Bora wawe watano au sita
We unasema wewe wakiwa wengi ndio tatizo sasa.
 
Ni vipi kama walikuwa na issue za magonjwa ya kiafya kama matokeo ya kijenetiki. Unajua kuna magonjwa hubebwa na vinasaba yaani yanakuwa ni ya kurithi?!

Sasa na wewe na ukosefu wako wa elimu unakuja hapa kusema ushirikina upo. Hivi binadamu anakuwaje na nguvu ya kuplant maradhi kwa kutumia mifumo ya wireless yaani uchawi.
 
siku wa ki plant kwako ndio utajua mkuu. shida wewe umezaliwa kimara
 
Hello mkuu!
 
Unaweza kuo
Uchawi upo , siungi mkono walichofanya hao watoto

Uchawi upo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…