Mwakumbuka Mzee Thabit Kombo alitoa usia gani? kama unajua then ndiyo maana ya amani kuwepo Zanzibar na yeyote atakaye tengua usia wake mtajuta na kujutia!!!!!!! if you do not know ask Mr Honorable Ali Karume na wazee wengine wa heshima wa Zenj ambao wanaipenda kwa dhati the Zenj, sisemi zaidi(no more no less).Kuna siri gani mkuu?
Mbna sheli sheli ni kadogo zaidi ya zanzibar ila aman imetawala
Hayo mapungufu ya kubaguana kwa dini na kabila ni ujinga wetu binadamu tu
Akili zipi?hizi za kina sefu na mbowe au kuna nyingine tenaKuna kaukweri hivi! Sasa wananchi tumewachoka ccm tunataka akili zingine zituongozo
Maajabu ya dunia na bado ukafaulu O level na Advanced level daaaah.....Kihistoria zanzibar ni nchi tajiri iliyoibeba Tanganyika kiuchumi but currently ni kama wamekuwa tegemezi waliogawanyika kifikra wakishindwa kusimama kwa fikra zao
Huwezi KUYAJUA haya kwa sababu ya UPOFU wa akili ulionao.Wakati wazanzibari wakimiliki TV majumbani kwao ni MTANGANYIKA mmoja tu aliyekuwa na TV akiitumia kutolea maono.Kwahiyo wewe kama KIWILIWILI huna kosa lolote tatizo ni huo upofu wa ubongo uliokukumbaMaajabu ya dunia na bado ukafaulu O level na Advanced level daaaah.....
Hakuna lolote la maana uliloeleza ndugu. Zanzibar ni salama sana nje ya Muungano wala msiwatishe. Muungano una miaka 52 tu wakati taifa la Zanzibar lilikuwepo zaidi ya miaka 1000+; je kipindi chote hicho zanzibar haikuwa salama? Watanganyika tusipende kuwatisha hao watu kiasi cha kuwafanya wafanye wanayoyafanya ambapo leo yanatugharimu huku Tanganyika.Unajuwa duniani hakuna kiongozi asiependa kupata suluisho la kudumu na lenye kuleta amani kwa wana nchi wote.
Tukirudi kwenye swala ka Znz kwakweli tukubaliane sote swala la Zenj ni swala zito lililo na siri ambayo hakuna hata mtu mmoja aliekwisha kuapa kwa katiba anaweza kulizungumza.
Kwanini hawalazungumzi na kwa nini wote wakigika ikulu wanasimamia katiba na muungano.
Kwangu mimi huu ndio ukweli...
Taifa hili la Tanzania lina siri nzito ambazo hakuna mtu au mwanadam anazijuwa isipokuwa amefika pale magogoni.
m
Muungano wetu ni zaidi ya maneno ya wanasiasa wetu na waganga njaa kiukweli ukiujuwa Muungano huu kamwe huwezi ongelea kuuvunja maana ukiweza kuuvunja Muungano ni sawa na wewe umeweza kuitoa roho yako mwenyewe kwa mkono.
Zanzibar nje ya Muungano haipo salama hizi sio propaganda za viongozi wa juu wa kitaifa ila niukweli mchungu ambao kama kungekuwa na nafasi tukafanyia experment japo kwa mwezi mmoja. Tungeshuhudia ukweli.
Historia ya taifa letu imebeba mambo mazito kuhusu zanzibar kuziba masikio nakuwapotosha wananchi juu ya taifa linaitwa Tanganyika na taifa linaitwa Zanzibar nikujifanya hatujuwi hawa wote ni taifa moja tangu Mungu kuumba ulimwengu. Sisi ni taifa moja either tunataka au hatutaki na kusema ukweli hatuwezi tenda dhambi ya ubaguzi tukawa salama.
Upo ukweli makosa yalitokea ktk utawala ila marekebisho yakifanyika tutakuwa sawa.
Upo ujinga unafanywa na viongozi kuwabaguwa wa Tz. Kwa mfano wazanzibari wakienda bara wanamiliki ardhi kwa asilimia mia ila kwao wanawabaguwa wabara wakisahau bara hawabaguliwi.
Wametenga visiwa na baharieti yao. Mbona bara wanavuna madini na mbao na hakuna anaye wauliza.
Mimi nadhani waambiwe ukweli na huo ndio mwisho wa fitina
Kwa sio watanzania na je awawezi kutuongoza?Akili zipi?hizi za kina sefu na mbowe au kuna nyingine tena
Sheli sheli ni kama Pemba, au Unguja au...!kwa hiyo Zanzibar ni salama ndani ya Muungano, nje haitakuwa ZNZ, nje ya muungano ili iwe salama itakuwa nchi ya Pemba, Nchi ya Unguja na kuendelea kama alivyosema mwalimu JKNKuna siri gani mkuu?
Mbna sheli sheli ni kadogo zaidi ya zanzibar ila aman imetawala
Hayo mapungufu ya kubaguana kwa dini na kabila ni ujinga wetu binadamu tu
Watanzania wana akili za kutosha sana hawawezi kuongozwa na fisadi na form six leaver banaKwa sio watanzania na je awawezi kutuongoza?
Huu uongo wako ndio unasababisha mnapora ushindi wa Maalim Seif , na hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu ataukubali , tutapambana mpaka tone la mwisho , yaani Wazanzibar wasilijue hili ila ujue wewe mlima mtama wa kondoa ?Unajuwa duniani hakuna kiongozi asiependa kupata suluisho la kudumu na lenye kuleta amani kwa wana nchi wote.
Tukirudi kwenye swala ka Znz kwakweli tukubaliane sote swala la Zenj ni swala zito lililo na siri ambayo hakuna hata mtu mmoja aliekwisha kuapa kwa katiba anaweza kulizungumza.
Kwanini hawalazungumzi na kwa nini wote wakigika ikulu wanasimamia katiba na muungano.
Kwangu mimi huu ndio ukweli...
Taifa hili la Tanzania lina siri nzito ambazo hakuna mtu au mwanadam anazijuwa isipokuwa amefika pale magogoni.
m
Muungano wetu ni zaidi ya maneno ya wanasiasa wetu na waganga njaa kiukweli ukiujuwa Muungano huu kamwe huwezi ongelea kuuvunja maana ukiweza kuuvunja Muungano ni sawa na wewe umeweza kuitoa roho yako mwenyewe kwa mkono.
Zanzibar nje ya Muungano haipo salama hizi sio propaganda za viongozi wa juu wa kitaifa ila niukweli mchungu ambao kama kungekuwa na nafasi tukafanyia experment japo kwa mwezi mmoja. Tungeshuhudia ukweli.
Historia ya taifa letu imebeba mambo mazito kuhusu zanzibar kuziba masikio nakuwapotosha wananchi juu ya taifa linaitwa Tanganyika na taifa linaitwa Zanzibar nikujifanya hatujuwi hawa wote ni taifa moja tangu Mungu kuumba ulimwengu. Sisi ni taifa moja either tunataka au hatutaki na kusema ukweli hatuwezi tenda dhambi ya ubaguzi tukawa salama.
Upo ukweli makosa yalitokea ktk utawala ila marekebisho yakifanyika tutakuwa sawa.
Upo ujinga unafanywa na viongozi kuwabaguwa wa Tz. Kwa mfano wazanzibari wakienda bara wanamiliki ardhi kwa asilimia mia ila kwao wanawabaguwa wabara wakisahau bara hawabaguliwi.
Wametenga visiwa na baharieti yao. Mbona bara wanavuna madini na mbao na hakuna anaye wauliza.
Mimi nadhani waambiwe ukweli na huo ndio mwisho wa fitina
Wazanzibar wote ni wamoja , na ndio maana kwa umoja wao waliamua kumpa urais Maalim Seif oct 25 , bali shida ya zanzibar ni ukoloni wa kisasa .Kihistoria zanzibar ni nchi tajiri iliyoibeba Tanganyika kiuchumi but currently ni kama wamekuwa tegemezi waliogawanyika kifikra wakishindwa kusimama kwa fikra zao
Ni kama vile unamaanisha WAPEMBA na si WazanzibarWazanzibar wote ni wamoja , na ndio maana kwa umoja wao waliamua kumpa urais Maalim Seif oct 25 , bali shida ya zanzibar ni ukoloni wa kisasa .
Kwa maelekezo ya tume ya uchaguzi , matokeo yote ya uchaguzi wa Rais , madiwani , wawakilishi na wabunge yalibandikwa nje ya vituo vya uchaguzi , jaribu kuyafuatilia uone kama waamuzi wa haya walikuwa wapemba au wazanzibar .Ni kama vile unamaanisha WAPEMBA na si Wazanzibar
Kweli mkuu,ni shida!!Filosofia iliyojengeka akilini mwa wazanzibari hasa wanasiasa-"Changu, changu, Chako chetu!"
Nafuatilia mkuu nitarudiKwa maelekezo ya tume ya uchaguzi , matokeo yote ya uchaguzi wa Rais , madiwani , wawakilishi na wabunge yalibandikwa nje ya vituo vya uchaguzi , jaribu kuyafuatilia uone kama waamuzi wa haya walikuwa wapemba au wazanzibar .
Nafuatilia mkuu nitarudiKwa maelekezo ya tume ya uchaguzi , matokeo yote ya uchaguzi wa Rais , madiwani , wawakilishi na wabunge yalibandikwa nje ya vituo vya uchaguzi , jaribu kuyafuatilia uone kama waamuzi wa haya walikuwa wapemba au wazanzibar .