Tetesi: Siri ya Zanzibar ni nzito hakuna awezaye kuisema wewe ni nani?

Tetesi: Siri ya Zanzibar ni nzito hakuna awezaye kuisema wewe ni nani?

c mlisema kingekufa 2015,afu nani kakudanganya kanu imekufa?
Ni chama cha mbeleko, kinabebwa kama katoto kadogo wakati ndio kikongwe kuliko vyengine.
Link Tetesi: - CCM inawaka moto kwa ndani, siku si nyingi yataibuka makubwa
Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amesema kuwa mpinzani yataka moyo na mtu yeyote aliyepo upinzani anatakiwa kuwa mvumilivu kwa sababu katika upande huo hakuna ‘mteremko’.

Kiongozi huyo ambaye kwa sasa yupo Chadema amesema kuwa katika chama cha upinzani ni kazi kubwa inayohitaji moyo wa uvumilivu kuliko mtu aliyepo CCM.

Link2. Sumaye: Upinzani kugumu kuliko CCM
 
Nondo acha kupotosha ...mapinduzi mpaka muungano wanaoujuwa wako kimya sana na ni srio kubwa. ...mpaka siku ulaya wakituachia uhuru ndo tutaelewa behind the scene ....kwa heri ukoloni kwa heri uhuru@1212
 
Hakuna cha siri wala nini tunadanganyana siri siri siri Muungano ni kichaka cha jamii fulani isiyotaka toka madarakani.
 
Chadema bhana kwa kupinga muungano,sijui hawajui panafricanism.amaa kweli never mix politics with viroba.
Hakuna anayepinga muungano! Muungano siku zote ni kitu kizuri, ndio maana sisi tukazaliwa kwa sababu ya muungano wa he and she! Lakini muungano huu wa kulipishwa VAT mara mbili, hell no!
 
Kuna siri gani mkuu?

Mbna sheli sheli ni kadogo zaidi ya zanzibar ila aman imetawala

Mkuu kuna Mauritius na reunion pia ni ndogo hazina. Matatizo

Hayo mapungufu ya kubaguana kwa dini na kabila ni ujinga wetu binadamu tu
 
Hizo ni Propaganda mfu, ndio ambazo vibaraka wa KiCCM wamekuwa wakiwapandikizia Watanganyika miaka yote.

Embu jiulize haya...
1/Kwanini kila mara watu wanapohoji muundo wa muungano huu, ghafla wanaitwa wachochezi wa kutaka kuuvunja muungano?

2/Kama muungano wetu ni siri, sasa nini maana ya sisi kuungana?

3/Muungano huu una faida kwa nani Kama wazanzibar wanaona unawanyonya na Watanganyika wanaona ni mzigo?
 
Mkuu mwaka 1964, CIA ilikuwa na ushawishi gani kwenye taifa lililoamini siasa za kijamaa?

Hii haitasaidia kwa sababu wanaofahamu hali halisi ya muungano na walioshuhudia jitihada za kuunganisha nchi hizi mbili, hawathubutu kuelezea tukio hili hadharani!

Kwa hiyo kizazi cha leo bila ya kuwa na wazee hatuwezi kutoa suluhisho la kudumu zaidi ya kuwa na malengo ya kulinda maslahi ya vyama vyetu vya siasa.
ndio umeambiwa hivyo? mwaka 64 Tanganyika walikua wajamaa? kwanini kwenye siasa za kidunia mshirika wetu alikua west Germany?

kajifunze vizuri! Kuanzia 67 baada ya Mwalimu kurudi na Chuen lie zake toka china ndipo mambo na milengo ya kisiasa ilianza kubadirika! Tukaana na Azimio la Arusha and the like! tafuta machapisho kama umri haukuruhusu utajifunza!

Ila waongo waliokupata na wewe wamekudanganya hivyo! soma success stories za CIA uone kama muungano wa Tanganyika na Zanzibar haupo then urudi hapa.
 
Kabla ya kuwaza muungano wa Tanganyika na Zanzibar... Inakubidi kwanza uwaze ule wa Pemba na Unguja..
 
Back
Top Bottom