Tetesi: Siri yafichuka CCM juu ya ukatibu mkuu. Abdallah Bulembo aandaliwa kuchukua nafasi hiyo kiurafiki na uswahiba

Tetesi: Siri yafichuka CCM juu ya ukatibu mkuu. Abdallah Bulembo aandaliwa kuchukua nafasi hiyo kiurafiki na uswahiba

Ni Takribani wiki moja na siku kadhaa kumalizika kwa vikao vya juu vya chama cha Mapinduzi CCM mpaka sasa kumekuwa na minong'ono na mahojiano mbele ya wajumbe juu ya mstakabadhi wa nafasi ya ukatibu mkuu wa chama ambayo kwa sasa Ndg Abdulrahman Omar Kinana amejitabanaisha pasina shaka kuwa ahitaji kuendelea na nafasi hiyo hii ni kutokana na mambo kadhaa yalio tabanaishwa na baadhi ya wajumbe...

Mjumbe moja wa vikao vya juu vya CCM ambae hakupenda jina lake kufahamika ameueleza mtandao huu kuwa, Katibu mkuu kinana kwa sasa amesha peleka barua kwa mwenyekiti wa chama Taifa kujiondoa katika nafasi hiyo kwa kusema kwa sasa anamajukumu mengine na pia afya yake kwa sasa inamfanya kutoshiriki na kufanya majukumu yake vizuri,,

lakini undani wa swala hilo unaendana na mjumbe huyo kueleza kuwa " wanachama wa muda mrefu wa chama cha Mapinduzi wameshindwa kuelewa kwa sasa chama kinaendeshwa kwa faslafa ipi na ipi dira na malengo ya chama chao ikiwepo pia misingi ya kuanzishwa kwa chama hiki" alisikika mjumbe huyo ambae hakutaka jina lake lisemwe.

MRITHI WA KINANA.

Mjumbe huyo wa vikao vya juu vya chama cha mapinduzi ambae ameshika nafasi nyingi ndani ya serikali zikiwemo uwaziri na ukuu wa mikoa kadhaa na mwaka 2015 alikuwa kwenye kinyang'anyiro cha kuwania nafasi ya kuteuliwa na chama hicho kugombea na kukiwakilisha chama kwenye uchaguzi wa nafasi ya raisi wa Tanzania alienda mbali zaidi na kusema...

"Chama kwa sasa kimekosa dira na kufuata misingi ya kuanzishwa kwake kwa kuvunja miiko ya kimahusiano ilioachwa na waasisi wa taifa na chama chetu,, ndio maana leo nafasi ya ukatibu mkuu inaandaliwa kupewa raifiki wa karibu wa mwenyekiti wa chama"

Mjumbe huyo alienda mbali zaidi kwa kusema

"hakuwezi kukubali mtendaji mkuu wa chama kuwa Ndg. Abdallah Bulembo, kwanza hana historia iliotukuka ndani ya chama na mafanikio yasio tiliwa shaka na wanachama,, tumewaambia na tunaendelea kuwaambia,, wamemzuia asigombee nafasi ya mwenyekiti wa wazazi taifa ili wampe nafasi ya katibu mkuu wa chama kitu hicho kwetu kama wenye chama hatuko tayari kukiona kikitokea."
https://www.google.com/url?sa=t&rct...Id=274426413&usg=AOvVaw3jpMb-Yz-NUrNRjnjpTI7O
chanzo chetu kilipotaka kujua kwa ziada juu ya mpango unaoandaliwa wa Ndugu Abdallah bulembo kupewa nafasi ya kuwa katibu mkuu wa chama chanzo chetu cha taarifa "mjumbe wa vikao" alisema kwa sasa hawezi kulielezea kwa kina ila ndio lipo hivyo na wao wamejipanga kuhakikisha chama hakiendi kuangamizwa na watu wasiojua misingi ya chama.


Baada ya hapo chanzo cha taarifa hii kilitaka kufanya majukumu mengine na kuomba kwa sasa tumuacha afanye kazi nyingine,, mtandao huu ulitoa shukrani za dhati kwa mahojiano yaliofanyika kwa njia ya simu.
Mstakabadhi [emoji735]
Mustakabali [emoji736]
 
Ni Takribani wiki moja na siku kadhaa kumalizika kwa vikao vya juu vya chama cha Mapinduzi CCM mpaka sasa kumekuwa na minong'ono na mahojiano mbele ya wajumbe juu ya mstakabadhi wa nafasi ya ukatibu mkuu wa chama ambayo kwa sasa Ndg Abdulrahman Omar Kinana amejitabanaisha pasina shaka kuwa ahitaji kuendelea na nafasi hiyo hii ni kutokana na mambo kadhaa yalio tabanaishwa na baadhi ya wajumbe...

Mjumbe moja wa vikao vya juu vya CCM ambae hakupenda jina lake kufahamika ameueleza mtandao huu kuwa, Katibu mkuu kinana kwa sasa amesha peleka barua kwa mwenyekiti wa chama Taifa kujiondoa katika nafasi hiyo kwa kusema kwa sasa anamajukumu mengine na pia afya yake kwa sasa inamfanya kutoshiriki na kufanya majukumu yake vizuri,,

lakini undani wa swala hilo unaendana na mjumbe huyo kueleza kuwa " wanachama wa muda mrefu wa chama cha Mapinduzi wameshindwa kuelewa kwa sasa chama kinaendeshwa kwa faslafa ipi na ipi dira na malengo ya chama chao ikiwepo pia misingi ya kuanzishwa kwa chama hiki" alisikika mjumbe huyo ambae hakutaka jina lake lisemwe.

MRITHI WA KINANA.

Mjumbe huyo wa vikao vya juu vya chama cha mapinduzi ambae ameshika nafasi nyingi ndani ya serikali zikiwemo uwaziri na ukuu wa mikoa kadhaa na mwaka 2015 alikuwa kwenye kinyang'anyiro cha kuwania nafasi ya kuteuliwa na chama hicho kugombea na kukiwakilisha chama kwenye uchaguzi wa nafasi ya raisi wa Tanzania alienda mbali zaidi na kusema...

"Chama kwa sasa kimekosa dira na kufuata misingi ya kuanzishwa kwake kwa kuvunja miiko ya kimahusiano ilioachwa na waasisi wa taifa na chama chetu,, ndio maana leo nafasi ya ukatibu mkuu inaandaliwa kupewa raifiki wa karibu wa mwenyekiti wa chama"

Mjumbe huyo alienda mbali zaidi kwa kusema

"hakuwezi kukubali mtendaji mkuu wa chama kuwa Ndg. Abdallah Bulembo, kwanza hana historia iliotukuka ndani ya chama na mafanikio yasio tiliwa shaka na wanachama,, tumewaambia na tunaendelea kuwaambia,, wamemzuia asigombee nafasi ya mwenyekiti wa wazazi taifa ili wampe nafasi ya katibu mkuu wa chama kitu hicho kwetu kama wenye chama hatuko tayari kukiona kikitokea."
https://www.google.com/url?sa=t&rct...Id=274426413&usg=AOvVaw3jpMb-Yz-NUrNRjnjpTI7O
chanzo chetu kilipotaka kujua kwa ziada juu ya mpango unaoandaliwa wa Ndugu Abdallah bulembo kupewa nafasi ya kuwa katibu mkuu wa chama chanzo chetu cha taarifa "mjumbe wa vikao" alisema kwa sasa hawezi kulielezea kwa kina ila ndio lipo hivyo na wao wamejipanga kuhakikisha chama hakiendi kuangamizwa na watu wasiojua misingi ya chama.


Baada ya hapo chanzo cha taarifa hii kilitaka kufanya majukumu mengine na kuomba kwa sasa tumuacha afanye kazi nyingine,, mtandao huu ulitoa shukrani za dhati kwa mahojiano yaliofanyika kwa njia ya simu.

Bulembo hana historia iliyotukuka kwenye chama!!??
Hujui ulicho andika
 
CCM inawanyima usingizi na kuwavuruga CHADEMA mpaka 2020 CHADEMA chali.
 
Katibu mkuu atakuwa

Roderick Mpogolo.



huyo bulembo hana shule ya kutosha, ova
 
Inatusaidia nini hiyo siri katika jamii yetu yenye yenye fikra mpya? Hizo unazoleta ni siasa na siasa mpaka 2020 badili uimize jamii kupenda kazi na kufanya kazi. Wewe unatueleza habari ya siri kweli?

Mungu atujalie aiseee ila kazi ipo kwa taswira hii noma.
 
Ni Takribani wiki moja na siku kadhaa kumalizika kwa vikao vya juu vya chama cha Mapinduzi CCM mpaka sasa kumekuwa na minong'ono na mahojiano mbele ya wajumbe juu ya mstakabadhi wa nafasi ya ukatibu mkuu wa chama ambayo kwa sasa Ndg Abdulrahman Omar Kinana amejitabanaisha pasina shaka kuwa ahitaji kuendelea na nafasi hiyo hii ni kutokana na mambo kadhaa yalio tabanaishwa na baadhi ya wajumbe...

Mjumbe moja wa vikao vya juu vya CCM ambae hakupenda jina lake kufahamika ameueleza mtandao huu kuwa, Katibu mkuu kinana kwa sasa amesha peleka barua kwa mwenyekiti wa chama Taifa kujiondoa katika nafasi hiyo kwa kusema kwa sasa anamajukumu mengine na pia afya yake kwa sasa inamfanya kutoshiriki na kufanya majukumu yake vizuri,,

lakini undani wa swala hilo unaendana na mjumbe huyo kueleza kuwa " wanachama wa muda mrefu wa chama cha Mapinduzi wameshindwa kuelewa kwa sasa chama kinaendeshwa kwa faslafa ipi na ipi dira na malengo ya chama chao ikiwepo pia misingi ya kuanzishwa kwa chama hiki" alisikika mjumbe huyo ambae hakutaka jina lake lisemwe.

MRITHI WA KINANA.

Mjumbe huyo wa vikao vya juu vya chama cha mapinduzi ambae ameshika nafasi nyingi ndani ya serikali zikiwemo uwaziri na ukuu wa mikoa kadhaa na mwaka 2015 alikuwa kwenye kinyang'anyiro cha kuwania nafasi ya kuteuliwa na chama hicho kugombea na kukiwakilisha chama kwenye uchaguzi wa nafasi ya raisi wa Tanzania alienda mbali zaidi na kusema...

"Chama kwa sasa kimekosa dira na kufuata misingi ya kuanzishwa kwake kwa kuvunja miiko ya kimahusiano ilioachwa na waasisi wa taifa na chama chetu,, ndio maana leo nafasi ya ukatibu mkuu inaandaliwa kupewa raifiki wa karibu wa mwenyekiti wa chama"

Mjumbe huyo alienda mbali zaidi kwa kusema

"hakuwezi kukubali mtendaji mkuu wa chama kuwa Ndg. Abdallah Bulembo, kwanza hana historia iliotukuka ndani ya chama na mafanikio yasio tiliwa shaka na wanachama,, tumewaambia na tunaendelea kuwaambia,, wamemzuia asigombee nafasi ya mwenyekiti wa wazazi taifa ili wampe nafasi ya katibu mkuu wa chama kitu hicho kwetu kama wenye chama hatuko tayari kukiona kikitokea."
chanzo chetu kilipotaka kujua kwa ziada juu ya mpango unaoandaliwa wa Ndugu Abdallah bulembo kupewa nafasi ya kuwa katibu mkuu wa chama chanzo chetu cha taarifa "mjumbe wa vikao" alisema kwa sasa hawezi kulielezea kwa kina ila ndio lipo hivyo na wao wamejipanga kuhakikisha chama hakiendi kuangamizwa na watu wasiojua misingi ya chama.


Baada ya hapo chanzo cha taarifa hii kilitaka kufanya majukumu mengine na kuomba kwa sasa tumuacha afanye kazi nyingine,, mtandao huu ulitoa shukrani za dhati kwa mahojiano yaliofanyika kwa njia ya simu.
Nyie ni ma-CCM mafailure ondokeni mmeshakichafua Chama kwa muda mrefu. Kama Bulembo hawezi mbona hao hao wanaojidai kuitoa CCM shimoni hawakutufafanulia vyema lini Chama kilianza kuwa shimoni - ni kuanzia utawala wa nani? Na ni nani walikuwa Makatibu Wakuu wa CCM?
 
Huyo Zero Bulembo angejua...angebakia na Ubunge wake wa kupewa tu!!!! KM atapwaya na atakuwa screen remote wanayo wengine wasio busara kuleee beach.....
 
Habari na hadhi nyiingi
Hiii ndo siasa umetimiza nawe wajibu wako wenye chama wataamua anafaa au hafai
 
Ni Takribani wiki moja na siku kadhaa kumalizika kwa vikao vya juu vya chama cha Mapinduzi CCM mpaka sasa kumekuwa na minong'ono na mahojiano mbele ya wajumbe juu ya mstakabadhi wa nafasi ya ukatibu mkuu wa chama ambayo kwa sasa Ndg Abdulrahman Omar Kinana amejitabanaisha pasina shaka kuwa ahitaji kuendelea na nafasi hiyo hii ni kutokana na mambo kadhaa yalio tabanaishwa na baadhi ya wajumbe...

Mjumbe moja wa vikao vya juu vya CCM ambae hakupenda jina lake kufahamika ameueleza mtandao huu kuwa, Katibu mkuu kinana kwa sasa amesha peleka barua kwa mwenyekiti wa chama Taifa kujiondoa katika nafasi hiyo kwa kusema kwa sasa anamajukumu mengine na pia afya yake kwa sasa inamfanya kutoshiriki na kufanya majukumu yake vizuri,,

lakini undani wa swala hilo unaendana na mjumbe huyo kueleza kuwa " wanachama wa muda mrefu wa chama cha Mapinduzi wameshindwa kuelewa kwa sasa chama kinaendeshwa kwa faslafa ipi na ipi dira na malengo ya chama chao ikiwepo pia misingi ya kuanzishwa kwa chama hiki" alisikika mjumbe huyo ambae hakutaka jina lake lisemwe.

MRITHI WA KINANA.

Mjumbe huyo wa vikao vya juu vya chama cha mapinduzi ambae ameshika nafasi nyingi ndani ya serikali zikiwemo uwaziri na ukuu wa mikoa kadhaa na mwaka 2015 alikuwa kwenye kinyang'anyiro cha kuwania nafasi ya kuteuliwa na chama hicho kugombea na kukiwakilisha chama kwenye uchaguzi wa nafasi ya raisi wa Tanzania alienda mbali zaidi na kusema...

"Chama kwa sasa kimekosa dira na kufuata misingi ya kuanzishwa kwake kwa kuvunja miiko ya kimahusiano ilioachwa na waasisi wa taifa na chama chetu,, ndio maana leo nafasi ya ukatibu mkuu inaandaliwa kupewa raifiki wa karibu wa mwenyekiti wa chama"

Mjumbe huyo alienda mbali zaidi kwa kusema

"hakuwezi kukubali mtendaji mkuu wa chama kuwa Ndg. Abdallah Bulembo, kwanza hana historia iliotukuka ndani ya chama na mafanikio yasio tiliwa shaka na wanachama,, tumewaambia na tunaendelea kuwaambia,, wamemzuia asigombee nafasi ya mwenyekiti wa wazazi taifa ili wampe nafasi ya katibu mkuu wa chama kitu hicho kwetu kama wenye chama hatuko tayari kukiona kikitokea."
chanzo chetu kilipotaka kujua kwa ziada juu ya mpango unaoandaliwa wa Ndugu Abdallah bulembo kupewa nafasi ya kuwa katibu mkuu wa chama chanzo chetu cha taarifa "mjumbe wa vikao" alisema kwa sasa hawezi kulielezea kwa kina ila ndio lipo hivyo na wao wamejipanga kuhakikisha chama hakiendi kuangamizwa na watu wasiojua misingi ya chama.


Baada ya hapo chanzo cha taarifa hii kilitaka kufanya majukumu mengine na kuomba kwa sasa tumuacha afanye kazi nyingine,, mtandao huu ulitoa shukrani za dhati kwa mahojiano yaliofanyika kwa njia ya simu.

Timu ya mtu mbili kipindi cha kampeni nani asiyejua kazi yake? Naona mahindi yameanza kuiva karibu yatageuka pop corn. Watu wanakaba kila kona, mtatokaje kwa mfano? Lazima mjisaidie nguoni dadeeki. Mnatamani 'jangili' aendelee.
 
Ninapita tu. ngoja waje bavicha na Uvccm hapa.
Tumekuja mkuu , ni hivi , kwa sasa ccm inahitaji KATIBU MKUU atakayeweza kudumisha fikra ZOZOTE ZA MWENYEKITI , na kiukweli hapo Mheshimiwa Bulembo anafit kabisa .
 
Mgambo wanaruka na kukanyagana.

“Colonialism dug its own grave” — too bad
 
Kinana ajiandae kunyang'anywa mashamba yake maana akijiuzulu ataitwa msaliti wa jitihada, anawasaidia mabepari wa nje, mnufaika wa ufisadi na kadhalika
 
Chama cha mapinduzi kinaenda kugawana mbao muda sio mrefu kulingana na watabiri na wajuvi wa mambo ya siasa
Kinafia pale ferry na lile jemgo jeupe ajitoka jamaa ccm waliite kaburi ya jenbe ponda na
Mnyundo
 
Back
Top Bottom