britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Weka reliable source sio vipost vya watu wa TwitterKremlin has a secret, undisclosed data repository that includes information collected about NATO and USA, on the issue of owning Hypersonic bomb many years before the world being aware of this KOMOVA said Thursday. While neither the USA nor NATO would disclose it
Ukisha futuru upite hapa upate kilo moja kwa bill yanguOngeza nyama mkuu
Russia ipo level moja na jeshi la Taliban. Hakuna namna atakua na intelligence ya kujua kinachoendelea USAKwahyo Russia miaka yote hawajajua km USA anayo hypersonic hivi ww unajua kila nchi ina majasusi kwenye upande wa mwenzie hakuna project USA atafanya Russia asijue au Russia afanye project USA asijue double agents wanavusha taarifa daily kutoka kila upande hawezi USA awe na hyo silaha miaka yote Russia asijue
Huyu US nadhani ni mtu hatari sana kivita kuliko nchi yyte ile.INABIDI MKAE MJIULIZE MLISHAWAHI ONA US ANAFANYA GWARIDE KUONESHA SIRAHA ZAKE???
πππππ€Huyu US nadhani ni mtu hatari sana kivita kuliko nchi yyte ile.
Nina imani inawezekana anazo hata technology za kujikinga na nuclea bomb ila ananyuti tu...
Mkuu hii nyuklia tunayoijua?Huyu US nadhani ni mtu hatari sana kivita kuliko nchi yyte ile.
Nina imani inawezekana anazo hata technology za kujikinga na nuclea bomb ila ananyuti tu...
Hiyo hiyo.Mkuu hii nyuklia tunayoijua?
Siyo kweli! Hayo ni maneno ya mashabiki kama wa yanga na simba kutetea hoja zao vinginevyo kila taifa lingetengeneza silaha sawa na lingine.Kwahyo Russia miaka yote hawajajua km USA anayo hypersonic hivi ww unajua kila nchi ina majasusi kwenye upande wa mwenzie hakuna project USA atafanya Russia asijue au Russia afanye project USA asijue double agents wanavusha taarifa daily kutoka kila upande hawezi USA awe na hyo silaha miaka yote Russia asijue
Na hii ndio mbinu muhimu sana, hata kwenye maisha yako ya kila siku. Usipende kumuonyesha adui yako uwezo wako wote kama anavyofanya yule kiduku kule Korea... Kama adui yako hana uhakika na uwezo wako hatokaa akusogelee.Kuna uzi nilisema mmarekani hawezi kosa silaha hii hata kidogo, japo huwa ni mzee wa kukana tu kila kitu, akiulizwa hata manati atasema ndio kwanza anataka aanze tafiti za kuunda manati
MKUU, NENDA KULE KAJIBU HOJA ZA UTAPELI.Kuna uzi nilisema mmarekani hawezi kosa silaha hii hata kidogo, japo huwa ni mzee wa kukana tu kila kitu, akiulizwa hata manati atasema ndio kwanza anataka aanze tafiti za kuunda manati
tapeliKuna uzi nilisema mmarekani hawezi kosa silaha hii hata kidogo, japo huwa ni mzee wa kukana tu kila kitu, akiulizwa hata manati atasema ndio kwanza anataka aanze tafiti za kuunda manati
We dogo Michael acha utapeli rudisha pesa za watu we kengeKuna uzi nilisema mmarekani hawezi kosa silaha hii hata kidogo, japo huwa ni mzee wa kukana tu kila kitu, akiulizwa hata manati atasema ndio kwanza anataka aanze tafiti za kuunda manati