Siri za Familia ama Ukoo!

Siri za Familia ama Ukoo!

sio uswazi hata mashuleni yapo
mvulana ukiwa mbeya halafu wasichana wakuweke kati lol
umenikumbusha shuleni nilisoma na msichana anaitwa Mwanauani..dah
unaweza kuwa umezubaa hivi mara kundi la wasichana hiloo lol
wamemzunguka mtu wanamsuta....yaani.....
siku hizi uswazi wanasuta kwa matarumbeta na ngoma...
kama ni mwanaume wanakuletea na vipedo na blauzi wanakuvalisha lol na wapiga picha juu
pata picha....lol

The Boss! Excuse! Hilo jina ulilolitaja Mwanauani limenistua, nina Shem wangu anakwenda kwa jina hilo kwao ni Babati kwa sasa ameolewa anaishi Nairobi, nabahatisha kama awezakua ndie labda, nipe maneno!
 
basi raha zaidi uchukue 'mdada' wa uswazi
uone vurugu zake.....umewahi?
kwanza atakuuliza simu yako ina vocha..
halafu ukimpa ataanza kuwapigia 'mashosti' wake woote
na shangazi na mjomba hadi basi....utasema anasafiri lol

mambo ya uswaz usipime,ukiwa na demu uswazi kama ni jirani basi ujue daily chai au msosi wa mchana lazima atagongea kwako,yaani lazima akugeuze kigodoro
 
The Boss! Excuse! Hilo jina ulilolitaja Mwanauani limenistua, nina Shem wangu anakwenda kwa jina hilo kwao ni Babati kwa sasa ameolewa anaishi Nairobi, nabahatisha kama awezakua ndie labda, nipe maneno!

huyo wangu nilisoma nae primary
darasa la kwanza mpaka la nne
akahama sijui alihamia wapi
wewe alisoma primary wapi?
 
Back
Top Bottom