Siri za utajiri ambazo hamna mtu anayeweza kukwambia

Jamaa amepuyanga tu mwanzo mpaka mwisho Hakuna lolote la maana la kujifunza,hovyo kbsa
 
Imebidi ni log in
Mtoa mada naomba nikukashfu HUJIELEWI pumbavu wahed kabisa.
Ndugu zangu watanzania wengi ni wajinga sana na hili linajidhihirisha kila siku.
 

hilo agano unafanyia chumbani kwako au kanisani??
Pia madhabahu unayomaanisha ni ile ya kanisani au ni ile unayojitengenezea ww
 
hilo agano unafanyia chumbani kwako au kanisani??
Pia madhabahu unayomaanisha ni ile ya kanisani au ni ile unayojitengenezea ww
Madhabahu ya kanisani sio madhabahu yako, wala huwezi kukuhanika pale
 
Acha ubishi ujifunze. Biblia hasa Ufunuo ni mafumbo tupu.
 
Baki na unachoamini.
 
Tunadanganyana tu,Utajiri wa mtu ni km kifo,kila mtu ana kifo chake inawezekana ukiwauliza wafu namna walivyokufa wanaweza wasieleze kiundani,ndivyo ilivyo hata kwenye ishu za utajiri.
 
Hiyo Madhabahu inapatikana kanisani ama wapi?
 
Skupingi kijana ata mie iyo Ratiba ndo nnayoifuata ila siku ya makutano ni alhamiss ,hua natenga muda nakutana Na yule wa sirini
 
Unakuta mtu ana kidonda kisichopona na kichafu, uwezo wa kukitibu anao ila anakubali kuteseka tu! Hayo ni maagano.
 
Nikikwambia utafaidika nini? Si bora uombe connection kama kuna sehemu unakwama nikusaidie wàtu watakaoweza kukuvusha
Chaka la Mamba utajiri ungekua hivyo watanzania wote wangekua matajiri, cha kusikitisha Nchi tajiri Ila wanaoikalia ni masikini
 
ulipo anza

"Siri za utajiri ambazo hamna mtu anayeweza kukwambia"​

nikamkumbuka ontario aka sir JEFF wa forex ili neno alilipenda sana sema yeye alikazania na vikolombwezo vya benki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…