Siri za utajiri ambazo hamna mtu anayeweza kukwambia

Siri za utajiri ambazo hamna mtu anayeweza kukwambia

Sawa mkuu inaonekana unafahamu mengi, hatakama kutakuwa hakuna ukweli kwenye ulicho kiandika.

Ila mimi nina swali moja tu, lakini unipe jibu lisilo na kona kona.

Mungu uliye ingia naye agano(pact), unamfahamu kwa jina lipi?
Wee mwombe akupe mchongo wa kuwa tajiri kuliko yeye
 
Daah,ujumbe mzito sana huu. Ila nikuhakikishie kwamba funguo yakitasa tumepoteza..ila! Mkiona sura ngeni kabisa, mjue funguo imepatikan.
 
Huu ujumbe ni special kwa ndugu Deborah9007 , maana nilikuwa kwenye mfungo, na Mungu akaniambia niongee na wana JamiiForums juu ya jambo hili.

Ili uwe tajiri na udumu katika utajiri wako, eidha wa nuruni au wa gizani ni lazima uwe na vitu viwili vikubwa.

1. MADHABAHU
2. AGANO.

Madhabahu ni sehemu ambayo unakutana na nguvu yako ya utajiri. Kama niguvu yako ni uchawi, basi hapa huwa ndipo unapatenga kwa ajili ya mambo yako, ila sisi ambao utajiri wetu umetoka kwa Mungu, MADHABAHU ni sehemu ambayo huwa nakutana na Mungu wangu, na huwa ninamtengea muda maalum. Muda huo na simu nazima kabisa, najikabidhi kikamilifu.

Namwita Mungu wangu, na huwa muda wetu wa kukutana madhabahuni ni saa tisa usiku hadi kumi na moja na nusu alfajiri kila siku.

Ninampa Mungu hesababu zangu za mapato na matumizi. Vitabu vyangu vya hesabu vinalala madhabahuni.

Namkabidhi Mungu mipango na ratiba zangu za asubuhi na siku nzima inayofuata.

MADHABAHU peke yake ndio inayoweza kukushindia vita zako zote. Kila vita yako ikabidhi madhabahu nayo vita itaisha.

2. AGANO
AGANO ni patano ambalo limebeba ahadi na sheria. Hamna tajiri ambaye hana AGANO. AGANO linakupa standing orders, do's and dont's. Ufanye nini na usifanye nini.

Kwenye agano hapa ndio kwenye masharti ya utajiri. Wengine wana majeraha yasiyopona. Hilo jeraha ndilo agano lenyewe, kwamba jeraha likipona tu utajiri umekwisha, hivyo ili uendelee kuwa tajiri ni lazima uhakikishe kidonda hakiponi.

Wengine wanaambiwa wasile vyakula fulani fulani, wengine wanaambiwa wasilale vitandani, walale kwenye sakafu mbichi iliyolowa maji.

Sisi wa nuruni pia tuna maagano yetu na aliyetutajirisha. Binafsi agano langu linatoka kitabu cha Yakobo 1:27 na Ufunuo wa Yohana 22:2.

Utajiri ni siri, siwezi kumwaga hapakila kitu kwani kwenye agano langu sitakiwi kuropoka hadi nipate ruhusa.
NB:-

CHAKULA CHA MADHABAHU NI SADAKA AMBAYO INAPATIKANA KWENYE AGANO.

KWENYE AGANO KAMA MLIKUBALIANA KILA IJUMAA YA MWANZO WA MWEZI UTATOA SADAKA YA NG'OMBE MZIMA, BASI USITOE MBUZI AU KUKU, KWANI UTAJIRI WAKO UTAPUKUTIKA.

SADAKA INA NGUVU SANA
Deborah9007 naamini kuna kitu umenasa.
 
Huu ujumbe ni special kwa ndugu Deborah9007 , maana nilikuwa kwenye mfungo, na Mungu akaniambia niongee na wana JamiiForums juu ya jambo hili.

Ili uwe tajiri na udumu katika utajiri wako, eidha wa nuruni au wa gizani ni lazima uwe na vitu viwili vikubwa.

1. MADHABAHU
2. AGANO.

Madhabahu ni sehemu ambayo unakutana na nguvu yako ya utajiri. Kama niguvu yako ni uchawi, basi hapa huwa ndipo unapatenga kwa ajili ya mambo yako, ila sisi ambao utajiri wetu umetoka kwa Mungu, MADHABAHU ni sehemu ambayo huwa nakutana na Mungu wangu, na huwa ninamtengea muda maalum. Muda huo na simu nazima kabisa, najikabidhi kikamilifu.

Namwita Mungu wangu, na huwa muda wetu wa kukutana madhabahuni ni saa tisa usiku hadi kumi na moja na nusu alfajiri kila siku.

Ninampa Mungu hesababu zangu za mapato na matumizi. Vitabu vyangu vya hesabu vinalala madhabahuni.

Namkabidhi Mungu mipango na ratiba zangu za asubuhi na siku nzima inayofuata.

MADHABAHU peke yake ndio inayoweza kukushindia vita zako zote. Kila vita yako ikabidhi madhabahu nayo vita itaisha.

2. AGANO
AGANO ni patano ambalo limebeba ahadi na sheria. Hamna tajiri ambaye hana AGANO. AGANO linakupa standing orders, do's and dont's. Ufanye nini na usifanye nini.

Kwenye agano hapa ndio kwenye masharti ya utajiri. Wengine wana majeraha yasiyopona. Hilo jeraha ndilo agano lenyewe, kwamba jeraha likipona tu utajiri umekwisha, hivyo ili uendelee kuwa tajiri ni lazima uhakikishe kidonda hakiponi.

Wengine wanaambiwa wasile vyakula fulani fulani, wengine wanaambiwa wasilale vitandani, walale kwenye sakafu mbichi iliyolowa maji.

Sisi wa nuruni pia tuna maagano yetu na aliyetutajirisha. Binafsi agano langu linatoka kitabu cha Yakobo 1:27 na Ufunuo wa Yohana 22:2.

Utajiri ni siri, siwezi kumwaga hapakila kitu kwani kwenye agano langu sitakiwi kuropoka hadi nipate ruhusa.
NB:-

CHAKULA CHA MADHABAHU NI SADAKA AMBAYO INAPATIKANA KWENYE AGANO.

KWENYE AGANO KAMA MLIKUBALIANA KILA IJUMAA YA MWANZO WA MWEZI UTATOA SADAKA YA NG'OMBE MZIMA, BASI USITOE MBUZI AU KUKU, KWANI UTAJIRI WAKO UTAPUKUTIKA.

SADAKA INA NGUVU SANA
Deborah9007 naamini kuna kitu umenasa.
Umeandika upotofu mtupu maana hayo ndio secret societies Masson, illuminate na occultism hufundisha hayo, unless uje na scripture references ya hoja yako.

Mwili wa mwanadamu ni hekalu la Mungu, neno linasema basi itoeni miili yenu iwe dhabihu, iliyo hai, takatifu ya kumpendeza Mungu ndio ibada yenu yenye maana (Rumi 12:1~2).
Mwanadamu ni roho, yenye nafsi inayoishi katika mwili. Hivyo basi roho ya mwanadamu mcha Mungu huwa ni sadaka (Dhabihu) kwa Mungu refer. Zaburi 51:17
Dhabihu za Mungu ni roho iliyovunjika; Moyo uliovunjika na kupondeka, Ee Mungu, hutaudharau.
Baada ya Yesu kufa pale msalabani, pazia la hekalu kupasuka inampa mtu access ya kumwomba Mungu direct kutoka rohoni mwa mwanadamu kwa kupitia katiba ambalo ni neno la Mungu au upanga ukatao kuwili pamoja na AGANO la damu ya Yesu iliyomwagika pale msalabani. Kumbuka, hakuna agano lolote linalofanyika bila kumwagika damu kama ilivyoandikwa :-
Hii ni damu ya agano mliloamriwa na Mungu. Na ile hema nayo na vyombo vyote vya ibada alivinyunyizia damu vivyo hivyo. Na katika Torati karibu vitu vyote husafishwa kwa damu, na pasipo kumwaga damu hakuna ondoleo Waebrania 9:16-28.
Na madhabahu iliyokamilika yoyote ya nuruni au gizani lazima iwe na vitu vifuatavyo :-
1.Mungu /mungu wa hiyo madhabahu. Hapo ni either Mungu Yehova au Lucifer a. k. a joka jekundu
2.Kuhani wa madhabahu. Huyu ni mtu kabisa ambaye anasimama kama kiungo kati ya watu duniani na ulimwengu wa roho uwe nuruni au gizani.
3.Kafara ya madhabahu. Hizi ni sadaka unazo peleka mbele za Mungu au miungu yako. Inaanza na wewe, roho yako na mali zako. Vitu vya thamani tupu.Hii ipo kote, nuruni na gizani.
4.Nguvu ya madhabahu. Kila madhabahu huwa inaachilia nguvu kwa watu wanaoitegemea ila madhabahu ya nuruni huwa inanguvu isiyo mithilika hata shetani anaamini hilo na kutetemeka.
5.Wafuasi /Washirika wa madhabahu. Hawa ni wale wanaojiunganisha na kutumika pamoja kwenye hiyo madhabahu i mean waumini iwe nuruni au gizani.
Siku hizi yapo makanisa utasikia wakisema, Mungu wa hii madhabahu, au jiunganishe na hii madhabahu ukisikia hivyo kimbia mbio maana hapo unajifanyia self initiation.
Therefore, agano la damu ya Yesu kama ondoleo ya dhambi kwa wanadamu latosha kabisa kama moyo wako umeufanya kuwa dhabihu kwa Mungu.
 
Umeandika upotofu mtupu maana hayo ndio secret societies Masson, illuminate na occultism hufundisha hayo, unless uje na scripture references ya hoja yako.

Mwili wa mwanadamu ni hekalu la Mungu, neno linasema basi itoeni miili yenu iwe dhabihu, iliyo hai, takatifu ya kumpendeza Mungu ndio ibada yenu yenye maana (Rumi 12:1~2).
Mwanadamu ni roho, yenye nafsi inayoishi katika mwili. Hivyo basi roho ya mwanadamu mcha Mungu huwa ni sadaka (Dhabihu) kwa Mungu refer. Zaburi 51:17
Dhabihu za Mungu ni roho iliyovunjika; Moyo uliovunjika na kupondeka, Ee Mungu, hutaudharau.
Baada ya Yesu kufa pale msalabani, pazia la hekalu kupasuka inampa mtu access ya kumwomba Mungu direct kutoka rohoni mwa mwanadamu kwa kupitia katiba ambalo ni neno la Mungu au upanga ukatao kuwili pamoja na AGANO la damu ya Yesu iliyomwagika pale msalabani. Kumbuka, hakuna agano lolote linalofanyika bila kumwagika damu kama ilivyoandikwa :-
Hii ni damu ya agano mliloamriwa na Mungu. Na ile hema nayo na vyombo vyote vya ibada alivinyunyizia damu vivyo hivyo. Na katika Torati karibu vitu vyote husafishwa kwa damu, na pasipo kumwaga damu hakuna ondoleo Waebrania 9:16-28.
Na madhabahu iliyokamilika yoyote ya nuruni au gizani lazima iwe na vitu vifuatavyo :-
1.Mungu /mungu wa hiyo madhabahu. Hapo ni either Mungu Yehova au Lucifer a. k. a joka jekundu
2.Kuhani wa madhabahu. Huyu ni mtu kabisa ambaye anasimama kama kiungo kati ya watu duniani na ulimwengu wa roho uwe nuruni au gizani.
3.Kafara ya madhabahu. Hizi ni sadaka unazo peleka mbele za Mungu au miungu yako. Inaanza na wewe, roho yako na mali zako. Vitu vya thamani tupu.Hii ipo kote, nuruni na gizani.
4.Nguvu ya madhabahu. Kila madhabahu huwa inaachilia nguvu kwa watu wanaoitegemea ila madhabahu ya nuruni huwa inanguvu isiyo mithilika hata shetani anaamini hilo na kutetemeka.
5.Wafuasi /Washirika wa madhabahu. Hawa ni wale wanaojiunganisha na kutumika pamoja kwenye hiyo madhabahu i mean waumini iwe nuruni au gizani.
Siku hizi yapo makanisa utasikia wakisema, Mungu wa hii madhabahu, au jiunganishe na hii madhabahu ukisikia hivyo kimbia mbio maana hapo unajifanyia self initiation.
Therefore, agano la damu ya Yesu kama ondoleo ya dhambi kwa wanadamu latosha kabisa kama moyo wako umeufanya kuwa dhabihu kwa Mungu.
Ni upotofu kwako. Mimi ndivyo hivyo vikivyonisaidi. Kuhusu secret societies, sijui kitu wala mafundisho yao sijawahi kuyasikia.

Na kama hizo zinaitwa secret societies iweje mafundisho yake yakufikie wewe?

Mafundisho ndio yamebeba siri za taasisi yoyote
 
Ohh, safi sana. Ushirikina wangu ni upi? Mnakumbana na ugumu wa mambo sababu akili zenu na fahamu zimejaa fikra hasi
Dadili za mshirikina yeyote ni kufanya mambo kwa kuficha sana. Mambo ya imani yanayofichwa ni ushirikina. Na wewe hayo mambo yako ya kufanikiwa kifedha kama unashindwa kuyaweka wazi basi inaonekana ni ya kishirikina. La sivyo basi yaweke wazi hapa.
 
Dadili za mshirikina yeyote ni kufanya mambo kwa kuficha sana. Mambo ya imani yanayofichwa ni ushirikina. Na wewe hayo mambo yako ya kufanikiwa kifedha kama unashindwa kuyaweka wazi basi inaonekana ni ya kishirikina. La sivyo basi yaweke wazi hapa.
Kwanini Bublia imeandikwa kwa mafumbo? Je na yenyewe ni ushirikina?
 
Rakims hebu sema kitu, maana nasikia na wewe kilingeni kwako pale Ilala watu wanafurika uwatajirishe
 
Kwanini Bublia imeandikwa kwa mafumbo? Je na yenyewe ni ushirikina?
Biblia haijaandikwa kwa mafumbo imeandikwa kwa lugha nyepesi ya picha ili hata watoto wadogo waweze kuelewa. Biblia inatumia sana vielelezo vya picha (pictorial language) kuelezea ukweli flani na sio lugha ya kufumba. Kwanini wewe hutaki watu waelewe namna zako za kupata fedha kama njia zako sio za kishirikina?
 
Back
Top Bottom