Siridhiki kimapenzi, naomba ushauri

Acha ujinga unataka hela akupe na bado akukaze vzr tena!
 
Mmh. Hawakukosea wale waliosema ni vyema kutulizana mpaka kufikia hatua ya kupata mwenza wa maisha kwa sababu kama hizi.

Ila pia na wewe mdada mmh. Mapenzi sio vita inabidi uridhike tu kwa sababu binadamu wanatofautiana na hawawezi kulingana hata siku moja na bila kuamini hivyo utawabadisha mpaka ukome.
 

Kwani unamlipa shilingi ngapi kwa kazi hiyo unayotaka ufanyiwe.?
 

Umri umeenda, badili vipaumbele vyako, haupo na miaka 18 tena. Huo ndio ushauri wangu.
 
Maneno yake kama ME vile. Au ndio wale KE wasela sana wanashinda na ME wao vijiweni na kuangalia soccer!!
Huu mwandiko wa kiume kabisa. Kumekuwa na uhaba wa thread zawanawake hivyo wanaume wameamua kuchukua nafasi.
 
KE na bundesliga.....aaah wapi na wapi. We ni ME mwenye tabia za kishoga
 
Huyu aliyekuwa jela kwa kubaka ndo lijamaa lako lililokuwa linakufikisha sio? Aisee wewe unapenda show za kibabu...tafuta m bakaji mwingine
 
ukiwa malaya hutosheki na mwanaume......wako wenye kukufikisha.......ila ni eat & run......
 
Hela anayo, nyumba kakupangishia shida kwako iko kweny game sio,

Angekuwa vzr kweny game, hela hana na nyumba hajakupangishia napo ungesema daaah.

This verify that its very difficult to understand an attitude of a woman,
As long as they love in reality but they need to be handled with high knowladge
 
Usimwache komaa utaridhika peponi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…