Siridhiki kimapenzi, naomba ushauri

Siridhiki kimapenzi, naomba ushauri

Kuna mijitu humu ya ajabu,mi nimeomba ushauri lakni,midomoooo mara wooo ,mara wooo,itabidi nilefti coz nimeona humu hakuna jipya kulingana na majibu yao,wanaume ovyoo humu
Heeeee jaman ,, kwanza tunakutania ndo ushauri unafuata !!.

Usikasirike namna iyo..kama utakasirika Basi Wewe ni moja yawanadam wanaoruhusu kuumizwa na hisia za watu...

Wee ni teenager kwaiyo hiyo hali huwez kusema uepukane nayo,, nakusema ukweli ,, Usiporidhishwa kimapenzi Mara nying hata km unapewa nn nilazima mapenzi uyaone machungu.


Embu kaaa namwenzako ,,umwambie ,,afanye nn ili uridhike ,,mambo yakumkalia kimya alafu yeye anajua anakuridhisha kumbe hapana ndomatokeo yake Haya .

Kaaa naye mwambie akufanyie ivi naivi uliridhike..

After all ,ukiona hafai muache jamaa ajifanyie maisha yake yupo atakayeridhika namapigo yake. Kuliko kumfanya km wakipato alafu kugongowa ugongwe na mwingine...kama nimimi unanifanyie huo ujinga kuna mawili..... Nikufanyie kitu ambacho hutokisahau au nikuache tu.
 
a6b3f820ccc2a5f7c09e7730af1044be.jpg


Wacha ujinga, wewe ME kwa mujibu ya maelezo yako, sasa sjui ndio wale wale
Huyu ni Mwanamume Mkuu anachezea akili za watu...
 
Ndiyo maana ukiwa na smartphone automatic unapaswa kuwa na techno tochi au nokia tochi. NiPM nisimame kama nokia tochi.
 
Kwenye mahusiano ukipenda sana pesa ni matatizo, ukipenda sana ngono pia ni matatizo. We sio mtu ukiwa kwenye mahusiano na mtu utapwaya tu.
 
Mimi ni mwanamke,umri wangu ni miaka 25,ila sijaolewa na bado sijazaaa
Mwaka Jana nilikuwa na mpenzi ,tulipendana sana,ila Mimi nilimpenda sana kwa sababu alikuwa ananikimbiza kwenye mechi hadi namkubali kuwa hadi nampongeza kuwa hii ligi ya bundesliga kumbe anaiweza sana,
Alichokuwa ananifanyia mpaka nafika peponi ni pale tulipokuwa tunaanza mechi, goli la kwanza na la pili alikuwa anaunganisha hadi nasema asante baba,ila bahati mbaya kwa tamaa zake akampa mwanafunzi mimba yupo jela
Miezi mitatu iliyopita nilipata mwanaume mwingine yeye ana miaka 27,ila yule wa awali alikuwa na 35,
Huyu kijana mbichi,ananikera kwanza hawezi kuunganisha double goals,na ili asimame lazima nibembeleze karibia dakika 15, akianza goli la kwanza hawezi kucheza hata dakika tano, dakika moja tu chali,hadi kesho yake tena,na kesho yake ndo hivo hivo
Jaman naombeni ushauri,nimuache au ila hela kwake siyo tatizo,hata nyumba kanipangishia,
Naombeni ushauri jamani
Kaka usichezee akili za watu.... wewe ni mwanaume...huwa ninawajua tuuu...hapa nina kitufe cha kujua jinsia ya Mtu Mkuu...ukiendelea na Tabia hii na wenzako tunaajua na wameweka Avator za kike...tutawawekea "Tego"
 
Kaka usichezee akili za watu.... wewe ni mwanaume...huwa ninawajua tuuu...hapa nina kitufe cha kujua jinsia ya Mtu Mkuu...ukiendelea na Tabia hii na wenzako tunaajua na wameweka Avator za kike...tutawawekea "Tego"
Walipueni jamani wanakera
 
Hahahahahaa upuuz mwingine jamii gorum ina maana mtu antengeneZa akount mpya ndani ya dakika anatuma post ya kipuuz huu ni upuuzi uliotukuka
 
Mimi bao mbili zinatosha kabisa na mama hapo anatoka amekubali shoo....

Mapenzi si kukomoana bado...piga sho ya kiutuuzima wote mfurahi .......na si kukesha kusumbua kitumbua cha mama...ili kumkomoa...
Ukikutana na pango atakunanga mpk ujute, mapenzi ni raha na utamu wa pande zote mbili
 
Ukikutana na pango atakunanga mpk ujute, mapenzi ni raha na utamu wa pande zote mbili
hahah... akianzisha hivyo taraka itabidi imuhusu hakuna namna..... itabidi mwisho wa siku akubaliane na hali halisi mama...
 
Mimi ni mwanamke,umri wangu ni miaka 25,ila sijaolewa na bado sijazaaa
Mwaka Jana nilikuwa na mpenzi ,tulipendana sana,ila Mimi nilimpenda sana kwa sababu alikuwa ananikimbiza kwenye mechi hadi namkubali kuwa hadi nampongeza kuwa hii ligi ya bundesliga kumbe anaiweza sana,
Alichokuwa ananifanyia mpaka nafika peponi ni pale tulipokuwa tunaanza mechi, goli la kwanza na la pili alikuwa anaunganisha hadi nasema asante baba,ila bahati mbaya kwa tamaa zake akampa mwanafunzi mimba yupo jela
Miezi mitatu iliyopita nilipata mwanaume mwingine yeye ana miaka 27,ila yule wa awali alikuwa na 35,
Huyu kijana mbichi,ananikera kwanza hawezi kuunganisha double goals,na ili asimame lazima nibembeleze karibia dakika 15, akianza goli la kwanza hawezi kucheza hata dakika tano, dakika moja tu chali,hadi kesho yake tena,na kesho yake ndo hivo hivo
Jaman naombeni ushauri,nimuache au ila hela kwake siyo tatizo,hata nyumba kanipangishia,
Naombeni ushauri jamani
mtembelee gerezani kila jumamosi akawe anakupa magoli ya okwi siku hizi kuna chumba wanaruhusu.hii kitu kipo kichwani kwahiyo hata akija mwingine mwili na kichwa hakitatoa ushirikiano
 
Back
Top Bottom