Siridhiki kimapenzi, naomba ushauri

Siridhiki kimapenzi, naomba ushauri

Huu mwandiko wa kiume kabisa. Kumekuwa na uhaba wa thread zawanawake hivyo wanaume wameamua kuchukua nafasi.
Hahaa ... mkuu naona unatupiga dogo wa kiume. Inawezekana huyu ni wa kike sema ni msela sana anashinda na wanaume muda mwingi ameathirika na tabia au lugha zetu wanaume.
 
njoo inbobo niwe nakupa friend match za siri siri... secret love always tamu
 
Ray vanny aliimba "..AKILA MIHOGO,karoti Hazipandi.."
Naona mkuu umelishwa mihogo sana karoti zinakushinda..pole lakini
 
Napata ukakasi sana kuamini kuwa hii stori ni ya kweli. Yaani mtu goli 1 ndo mpaka kesho tena??! Hivi kuna wanaume kweli wa namna hii?
 
Kwa kweli ndio maana wanaume tunakufa haraka tunasifiwa mambo ya kijinga
Nguvu inayotumika hapo miaka ya kuishi mwanaume inazidi kupungua
 
Mimi nina miaka 35 nina uwezo wa kuunganisha. Njoo kwangu ufaidi
 
Hahaa ... mkuu naona unatupiga dogo wa kiume. Inawezekana huyu ni wa kike sema ni msela sana anashinda na wanaume muda mwingi ameathirika na tabia au lugha zetu wanaume.
May be!
 
Mimi ni mwanamke, umri wangu ni miaka 25, ila sijaolewa na bado sijazaa.

Mwaka Jana nilikuwa na mpenzi, tulipendana sana, ila mimi nilimpenda sana kwa sababu alikuwa ananikimbiza kwenye mechi hadi namkubali kuwa hadi nampongeza kuwa hii ligi ya bundesliga kumbe anaiweza sana.

Alichokuwa ananifanyia mpaka nafika peponi ni pale tulipokuwa tunaanza mechi, goli la kwanza na la pili alikuwa anaunganisha hadi nasema asante baba, ila bahati mbaya kwa tamaa zake akampa mwanafunzi mimba, yupo jela
Miezi mitatu iliyopita nilipata mwanaume mwingine yeye ana miaka 27, ila yule wa awali alikuwa na 35.

Huyu kijana mbichi, ananikera kwanza hawezi kuunganisha double goals na ili asimame lazima nibembeleze karibia dakika 15, akianza goli la kwanza hawezi kucheza hata dakika tano, dakika moja tu chali, hadi kesho yake tena na kesho yake ndo hivo hivo. Jamani naombeni ushauri, nimuache au ila hela kwake siyo tatizo, hata nyumba kanipangishia.

Naombeni ushauri jamani!
Njoo pm,
Tuyajenge ili nivunje rekodi ya aliye jera.
 
Mimi ni mwanamke, umri wangu ni miaka 25, ila sijaolewa na bado sijazaa.

Mwaka Jana nilikuwa na mpenzi, tulipendana sana, ila mimi nilimpenda sana kwa sababu alikuwa ananikimbiza kwenye mechi hadi namkubali kuwa hadi nampongeza kuwa hii ligi ya bundesliga kumbe anaiweza sana.

Alichokuwa ananifanyia mpaka nafika peponi ni pale tulipokuwa tunaanza mechi, goli la kwanza na la pili alikuwa anaunganisha hadi nasema asante baba, ila bahati mbaya kwa tamaa zake akampa mwanafunzi mimba, yupo jela
Miezi mitatu iliyopita nilipata mwanaume mwingine yeye ana miaka 27, ila yule wa awali alikuwa na 35.

Huyu kijana mbichi, ananikera kwanza hawezi kuunganisha double goals na ili asimame lazima nibembeleze karibia dakika 15, akianza goli la kwanza hawezi kucheza hata dakika tano, dakika moja tu chali, hadi kesho yake tena na kesho yake ndo hivo hivo. Jamani naombeni ushauri, nimuache au ila hela kwake siyo tatizo, hata nyumba kanipangishia.

Naombeni ushauri jamani!
Huko kupenda kutiwa sn ni matokeo ya kuanza kufanya ukiwa mdg sn kati ya miaka 12 au 13.
Na hali hiyo haiondoki hadi utakapozaa pia nahisi huwa unaota ugongwa na mtu asiyejulikana ukiwa usingizini.
Huyo anaeshindwa game na umri huo ni matokeo ya kuendekeza punyeto so ww kula tu hela zake
 
Mimi ni mwanamke, umri wangu ni miaka 25, ila sijaolewa na bado sijazaa.

Mwaka Jana nilikuwa na mpenzi, tulipendana sana, ila mimi nilimpenda sana kwa sababu alikuwa ananikimbiza kwenye mechi hadi namkubali kuwa hadi nampongeza kuwa hii ligi ya bundesliga kumbe anaiweza sana.

Alichokuwa ananifanyia mpaka nafika peponi ni pale tulipokuwa tunaanza mechi, goli la kwanza na la pili alikuwa anaunganisha hadi nasema asante baba, ila bahati mbaya kwa tamaa zake akampa mwanafunzi mimba, yupo jela
Miezi mitatu iliyopita nilipata mwanaume mwingine yeye ana miaka 27, ila yule wa awali alikuwa na 35.

Huyu kijana mbichi, ananikera kwanza hawezi kuunganisha double goals na ili asimame lazima nibembeleze karibia dakika 15, akianza goli la kwanza hawezi kucheza hata dakika tano, dakika moja tu chali, hadi kesho yake tena na kesho yake ndo hivo hivo. Jamani naombeni ushauri, nimuache au ila hela kwake siyo tatizo, hata nyumba kanipangishia.

Naombeni ushauri jamani!
Ni pm tafadhali nikupe ushauri
 
Back
Top Bottom