Sirro: Lissu ameshindwa kutoa ushirikiano kuhusu tukio lake la kupigwa risasi... Jalada la Uchunguzi kuhusu kupotea kwa Azory limefunguliwa

Weka hata picha zao basi mkuu.
 
T Hapa ina maana kamanda Barlaw alitoa ushirikiano ndio maana waliomuua wamehukumiwa kunyongwa wiki iliyopita
 
mambo ya aibu sana huyu jama bora abaki kimya kuliko kuongea hivi

TL hayupo jarada halijafunguliwa, AG hayupo pia ila jarada linafunguliwa
 
Tumia akil yako ktk siasa na wala uctumie siasa ktk akil yako
 
Mkuu,hao uliowataja ngoja tuwaombee ukichaa,waje waeleze kila kitu.
Hao wazee waache kujichora kwenye TV,wakifikiri watanzania ni mpunguani.
 
Sijui kwanini viongozi wengi kama si wote wa awamu hii ni wenye iq za chini sana na wanaamini kuwa watanzania wote ni wajinga
 
arudi ajeafungue kesi asituzingue tu naye huyu tuko busy na uchaguzi sasa hivi
Amfungulie nani kesi?. Mwenye mamlaka na madaraka ya kuchunguza kikatiba na kisheria ni tanpol
 
atoe ushirikiano ili mfanikiwe kumuua vizuri...mwacheni kaka wa watu apumzike.
 
Mkuu mbona unahasira yaani umeamua kifungua ukweli
 
Mkuu asante unaweza kuja kutoa taarifa hizi vizuri maana hii ni jinai wewe utakuwa shahidi tu. Umetusaidia Sana na hata Kama hujajitokeza nakuahidi tutakupata
 
"Sisi tunamsubiri Mhe.Tundu Lissu aje afungue kesi, kitu gani kimemtokea, mazingira gani na yule dereva wake, dereva tumemtafuta imekuwa shida, yeye mwenyewe alipopata matatizo yupo nje hatujamuona, tunamuona tu kwenye mitandao"IGP Sirro.

Hapa mimi nimeachwa hoi-upigwe risasi uwe mahututi, upone, halafu unatakiwa ufungue kesi-sasa unamshitaki nani? Naona IGP analeta cheap politics.
 
Lissu na dereva wake wapo ubeligiji hivyo hawatoi ushirikiano,kwenye jalada la Azori kuna nini? Mnasubiri arudi awape ushirikiano?kazi ya polisi Siku hizi ni rahisi sana,endeleeni kutuambia.
 
Mkuu asante unaweza kuja kutoa taarifa hizi vizuri maana hii ni jinai wewe utakuwa shahidi tu. Umetusaidia Sana na hata Kama hujajitokeza nakuahidi tutakupata
Dokta molel alisema bungeni waliompiga LISU risasi.na alisema kwenye kikao alishiriki.hamkuchukua hatua yoyote dhidi yake ili aseme walikuwa na nani kwenye kikao.au mlimtuma kusema upumbavu ule ili msukumie dhambi kwa wengine?. Damu zinanena na uzuri MUNGU atazidai mikononi mwenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…