Sishangai Mbowe anakutana na mabalozi wa Uingereza na Marekani kwa sababu familia yake nzima ni raia wa nchi hiyo

Sishangai Mbowe anakutana na mabalozi wa Uingereza na Marekani kwa sababu familia yake nzima ni raia wa nchi hiyo

Watoto wa Mbowe na Lissu wote ni raia wa Marekani na Uingereza.

Mbowe kukutana na mabalozi wa nchi hizo hapa nchini sio ajabu kwa sababu watoto wa Mbowe wana utii kwa nchi ya Marekani na Uingereza, sio Tanzania.

Mbowe hata akiiharibu Tanzania kwa maandamano na vita, yeye hana cha kupoteza kwa sababu watoto eake watakuwa wanalindwa na C.I.A .

Baadhi ya wanachadema wanahoji, James Mbowe, mtoto wa Mbowe, ambaye sio raia wa Tanzania, kwanini anaruhusiwa kushiriki siasa za Tanzania na hata kupewa vyeo vya kisiasa.
Ficha upumbavu wako! Ni Raia wangapi wa UK na USA wanaishi Tanzania? Je nao Balozi wanawaalika kuenda ongea nao??Lete oja ya maana na sio cheap Kama hii
 
Watoto wa Mbowe na Lissu wote ni raia wa Marekani na Uingereza.

Mbowe kukutana na mabalozi wa nchi hizo hapa nchini sio ajabu kwa sababu watoto wa Mbowe wana utii kwa nchi ya Marekani na Uingereza, sio Tanzania.

Mbowe hata akiiharibu Tanzania kwa maandamano na vita, yeye hana cha kupoteza kwa sababu watoto eake watakuwa wanalindwa na C.I.A .

Baadhi ya wanachadema wanahoji, James Mbowe, mtoto wa Mbowe, ambaye sio raia wa Tanzania, kwanini anaruhusiwa kushiriki siasa za Tanzania na hata kupewa vyeo vya kisiasa.
Wakati anapewa kesi ya ugaidi mbona hukusema hana cha kupoteza?
 
Back
Top Bottom