Sisi kama SIMBA SC, kwa umoja wetu tumekubaliana kwamba TABORA UNITED ndio wakubwa wenzetu kwenye NBC premier league.

Sisi kama SIMBA SC, kwa umoja wetu tumekubaliana kwamba TABORA UNITED ndio wakubwa wenzetu kwenye NBC premier league.

Bando la wiki

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2023
Posts
911
Reaction score
3,017
Kwa kitendo chao cha kumkanda utopolo kwake tena dar es salaam kwenye uwanja wa kapeti wakiwa na mashabiki wao na wachezaji wao wote muhimu, tunasemaje Tabora United mnastahili heshima ya kuitwa timu kubwa hapa Tanzania. Tukumbuke timu kubwa hapa Tanzania zilikuwa ni mbili tu: Simba SC na Ihefu FC na kwa mbali Azam FC nae alikuwa akiingia humo. Lakini tangu yule utopolo mvaa skafu za bendera ya taifa kuinunua na kuibadili timu ya IHEFU na kuwa Singida Black stars tumeiondoa kwenye umoja wa timu kubwa Tanzania.

Kwa walichokifanya TABORA UNITED, sisi kama simba now tuko tayari kuwakaribisha hao jamaa hata kwenye matamasha yetu kama SIMBA DAY ili waje wajifunze namna bora zaidi ya kuendelea kuwa timu kubwa zaidi.

Asanteni Tabora United kutupunguzia viherehere mtaani ni mtaa kukaa kwa kutulia.
Karibuni Bunju siku moja moja tupige mazoezi kwa pamoja kwa sababu nyie sasa ni wakubwa wenzetu 👏👏👏
 
Kwa kitendo chao cha kumkanda utopolo kwake tena dar es salaam kwenye uwanja wa kapeti wakiwa na mashabiki wao na wachezaji wao wote muhimu, tunasemaje Tabora United mnastahili heshima ya kuitwa timu kubwa hapa Tanzania. Tukumbuke timu kubwa hapa Tanzania zilikuwa ni mbili tu: Simba SC na Ihefu FC na kwa mbali Azam FC nae alikuwa akiingia humo. Lakini tangu yule utopolo mvaa skafu za bendera ya taifa kuinunua na kuibadili timu ya IHEFU na kuwa Singida Black stars tumeiondoa kwenye umoja wa timu kubwa Tanzania.

Kwa walichokifanya TABORA UNITED, sisi kama simba now tuko tayari kuwakaribisha hao jamaa hata kwenye matamasha yetu kama SIMBA DAY ili waje wajifunze namna bora zaidi ya kuendelea kuwa timu kubwa zaidi.

Asanteni Tabora United kutupunguzia viherehere mtaani ni mtaa kukaa kwa kutulia.
Karibuni Bunju siku moja moja tupige mazoezi kwa pamoja kwa sababu nyie sasa ni wakubwa wenzetu 👏👏👏
ww tushakulamba gheto mara nne mfululizo so kaa kwa kutulia mai wetu
 
"UKISHABIKIA SANA SIMBA NA YANGA KICHWANI LAZIMA ZIYEYUKE KIDOGO.

SilIMBA NA YANGA ZINAANGAMIZA VIJANA.

SIMBA NA YANGA ZINAUA TANZANIA.
 
Back
Top Bottom