This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Kocha wetu amefeli sana katika idara zote mfano.
1.Ameshindwa kabisa kuunganisha timu kutengeneza kikosi cha ushindi. Angalia beki ya timu wanakatika Hadi wanagombana mfano Lamine na Mamnyeto
2.Uwezo wa kocha umefika kikomo baada ya hizi droo kinachofuata ni kupoteza point tatu kila mechi.
3.Usajili wa Fiston, Ni usajili mbovu Hana viwango kabisa Ni kumbwela mbwela uwanjani tu.
Mpira wa Yanga hauvutii,haijulikana Ni mfumo gani wanacheza Ni kubutua tu mpira uende mbele.
Mwanayanga mwenzangu unaweza kuongezea hoja hapa ili huyu kocha aweze kufukuzwa. Nafuu Mwambusi au yule aliyetuita manyani arudi kuinoa timu yetu wananchi.
Tunapaswa kuwa na Ile falsafa ya watani zetu Simbaya kumiliki kwingi, pasi fupifupi, si mnaona lile pira lao biriani lile. Heko mtani wetu Simba, Si kwa utopolo huu yanga wanaocheza.
1.Ameshindwa kabisa kuunganisha timu kutengeneza kikosi cha ushindi. Angalia beki ya timu wanakatika Hadi wanagombana mfano Lamine na Mamnyeto
2.Uwezo wa kocha umefika kikomo baada ya hizi droo kinachofuata ni kupoteza point tatu kila mechi.
3.Usajili wa Fiston, Ni usajili mbovu Hana viwango kabisa Ni kumbwela mbwela uwanjani tu.
Mpira wa Yanga hauvutii,haijulikana Ni mfumo gani wanacheza Ni kubutua tu mpira uende mbele.
Mwanayanga mwenzangu unaweza kuongezea hoja hapa ili huyu kocha aweze kufukuzwa. Nafuu Mwambusi au yule aliyetuita manyani arudi kuinoa timu yetu wananchi.
Tunapaswa kuwa na Ile falsafa ya watani zetu Simbaya kumiliki kwingi, pasi fupifupi, si mnaona lile pira lao biriani lile. Heko mtani wetu Simba, Si kwa utopolo huu yanga wanaocheza.