Sisi mashabiki wa Yanga tunasema Kaze afukuzwe

Naona Simba mmeamua kuanzisha nyuzi mingi kumshambulia mme wenu. Je mtamuweza?
 
Hii kansa ipo hata Simba na timu nyingi za Bongo
 
Huna lolote wewe ni Mkia FC
 
Kama umeaikiliza maelezo ya Kaze baada ya Game ya Mtibwa Suger utamuelewa, Kaze naye anaendelea kuimarika baada ya kuijua ligi, mashabiki, viongozi na media.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…