Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
- Thread starter
- #21
Wana ufala mwingi sana hawa makonda. Ila kuna siku kitawaka tu.Poti waache hao hawajui fatiki imelala hapo.nyie hata ikitokea vita mnakua ni jesh la akiba mnaenda front kuweka mambo sawa.sema kakuonea mbona wale madogo wan jkt wanapandaga bure.ifike mahali waheshimu zile nguo