Sisi Team Polepole kinachotuuma ni mtu wetu kunyan'ganywa V8, yaani hatukubali komredi apande starlet

Sisi Team Polepole kinachotuuma ni mtu wetu kunyan'ganywa V8, yaani hatukubali komredi apande starlet

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Tunaomba mtuelewe, sisi tumeumia sana jamaa yetu kunyan'ganywa V8, tena zile mpya zilizotumika kwenye kampeni, tunaomba mtuelewe maumivu yetu. Hii krismas hataenda kijijini kwake maana watamuuliza liko wapi wakti alishawaambia alilinunua yeye
 
Kama wamempora ni Jambo la kheri.
Wakati wa kula wenzie uwa hawapigi kelele.umepewa lift unataka upige na HONI?
wewe tulia ukishushwa waambie Asante
Lakini wewe unataka uwe na haki sawa na watoto wa mwenye gari
 
Tunaomba mtuelewe, sisi tumeumia sana jamaa yetu kunyan'ganywa V8, tena zile mpya zilizotumika kwenye kampeni, tunaomba mtuelewe maumivu yetu. Hii krismas hataenda kijijini kwake maana watamuuliza liko wapi wakti alishawaambia alilinunua yeye
Mpandisheni ile chopa lenu, akienda kijijini aseme amepanda cheo ametoka kwenye v8sasa yupo viwango vya chOpa🤔.
 
Tunaomba mtuelewe, sisi tumeumia sana jamaa yetu kunyan'ganywa V8, tena zile mpya zilizotumika kwenye kampeni, tunaomba mtuelewe maumivu yetu. Hii krismas hataenda kijijini kwake maana watamuuliza liko wapi wakti alishawaambia alilinunua yeye
usichanganye kati ya nape na pole pole! aliyenyang'anywa gari siyo pole pole!
 
Polepole jasho linamtoka Sana toka siku hii
3032770_FB_IMG_1639417338930.jpg
 
Back
Top Bottom