R Rasterman JF-Expert Member Joined Feb 24, 2015 Posts 33,894 Reaction score 44,117 Dec 24, 2021 #41 black sniper said: Yaani hakuna tu Mapaparazi yenye hela ambao kazi yao ni kuwapiga picha kila wanakokatisha Kweli tungeona upande wao wa pili wa maisha yakoje kwa sasa Click to expand... Mapaparazi wanaogopa viroboto.
black sniper said: Yaani hakuna tu Mapaparazi yenye hela ambao kazi yao ni kuwapiga picha kila wanakokatisha Kweli tungeona upande wao wa pili wa maisha yakoje kwa sasa Click to expand... Mapaparazi wanaogopa viroboto.
Last emperor JF-Expert Member Joined Mar 22, 2015 Posts 10,351 Reaction score 9,855 Dec 24, 2021 #42 KISIWAGA said: Hii sio photoduka mkuu kweli Click to expand... OG hiyo baba...sio ya leo hiyo
Last emperor JF-Expert Member Joined Mar 22, 2015 Posts 10,351 Reaction score 9,855 Dec 24, 2021 #43 makwega7 said: Hii ni siku gani? Click to expand... Nadhani ni ya kuapishwa mama
KANYAMA JF-Expert Member Joined Aug 7, 2011 Posts 1,514 Reaction score 2,325 Dec 25, 2021 #44 Memento said: Kuna mbunge Hana V8? Click to expand... Wapo
Said Stuard Shily JF-Expert Member Joined Jul 18, 2017 Posts 2,396 Reaction score 2,108 Dec 25, 2021 #45 Siasa za Tanzania bwana unamnyang'anya Polepole V8 mzalendo wa kweli unawaacha wahuni wakitanua mtaani wakipanga mikakati ya kutuibia Kodi zetu.
Siasa za Tanzania bwana unamnyang'anya Polepole V8 mzalendo wa kweli unawaacha wahuni wakitanua mtaani wakipanga mikakati ya kutuibia Kodi zetu.
M makwega7 JF-Expert Member Joined Mar 18, 2018 Posts 3,037 Reaction score 3,316 Jan 1, 2022 #46 Last emperor said: Nadhani ni ya kuapishwa mama Click to expand... Thanks